Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Mkuu mshana jr umenikumbusha tukio moja hivi lilitokea nyumbani, mtoto mdogo alimimina chumvi nyingi tu kwenye ndoo ya maji ya kunywa ya lita 20. Tulipokuja kujua kuwa maji yana chumvi yeye akasema ndo aliweka hiyo chumvi... Akasema alimuona padri kanisani anayabariki maji kwa kuweka chumvi... So na yeye alikuwa anayabariki kama padri[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejibu vyema mkuu. Epsom salt ni chumvi ya haluli.Hutumika kama dawa ya kuharisha(Kusafisha tumbo).Chumvi inayozungumziwa hapa ni Rock salt au chumvi ya mabonge au mawe.
Yup Ulaya ndo wanaogea hio inatoa uchovu, stress etc lkn sio ka anayozungumza kaka mshana hapo juu....
hio chumvi mwende madukani hata viduka vya wahindi huko vya chakula mtapata
 
Yup Ulaya ndo wanaogea hio inatoa uchovu, stress etc lkn sio ka anayozungumza kaka mshana hapo juu....
hio chumvi mwende madukani hata viduka vya wahindi huko vya chakula mtapata
Yeye anawaonesha njia tu wakuu "chumvi chumvi tu hata magadi yao yanaitwa chumvi" 😉
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom