Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Huyu bwana ni mshirikina kwelikweli. Thread zake nyingi ni za namna hii tu. Harika ombe.
 
mshana naomba kuuliza kuhusu types za chumvi je unamaanisha zile mabonge?
pia,katika kuoga unaoga siku ya saba then week moja baadaye? maana yake mara tatu kwa mwezi kama tukichagua jumapili kuwa siku ya kuogea chumvi.
Naomba ufafanuzi hapo.
 
mshana naomba kuuliza kuhusu types za chumvi je unamaanisha zile mabonge?
pia,katika kuoga unaoga siku ya saba then week moja baadaye? maana yake mara tatu kwa mwezi kama tukichagua jumapili kuwa siku ya kuogea chumvi.
Naomba ufafanuzi hapo.
Ya mabonge ni recommendation tu or I can say its more powerful lakini nyingine pia zinafaa.... Hii ni remedy haina formula lakini kwa matokeo bora zaidi na kukumbuka fuata siku 7, 14, 21 etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya mabonge ni recommendation tu or I can say its more powerful lakini nyingine pia zinafaa.... Hii ni remedy haina formula lakini kwa matokeo bora zaidi na kukumbuka fuata siku 7, 14, 21 etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ukiwa MP inaruhusiwa au mpaka umalize masharti yake nini hasa ili mtu usije ukakosea likakikuta balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom