chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,734
Hahahaha! Kwani kuna binadamu asiyependa mayuro?
Mimi hapa
Hahahaha! Kwani kuna binadamu asiyependa mayuro?
Ahsante Smiling Saint ! Uwe na usiku mwema pia mpendwa !umenifanya nikumbuke kuna mtu aliwahi kuomba jf academia na jf original kwa kigezo cha less seriousness, by the way binafsi hushangazwa na baadhi ya threads, imenifanya hata hamu ya kuwa hapa ipungue hivyo naingia kuangalia wakongwe na kuwasalimia then natoka, na tena ngoja niwatakie usiku mwema.
mwaaaaaaaaahhh!!!
Hahahaha! Na ukisema sana Nicas Mtei atakwambia unatafuta umaarufu lol! Chit chat oyeeeeee! Sasa hivi yashaanza kumshinda na kumkera Arushaone tehe tehe!
Mi nikiona ni upuuzi naipotezea tu!
Hvi kuwatukana watu na kuwazushia kifo sio kusaka cheap popularity jamani?
Need I say more Nicas Mtei?
Nakuunga mmkono Madame B, watupe sample hata 2 tu
Ahsante Smiling Saint ! Uwe na usiku mwema pia mpendwa !
Unaunga mkono??????
:smile: :rapture: