ladyfurahia ndo maana nimeacha kusema na kumalizia statement yangu hapo Mentor atajaza mwenyewe
Methali 6.32He he he, wee jipunje tu.
We 4 tu, mimi ni mara 3 yoko 4 na sina wazo wala mpango wa kucheat maishani mwangu, ingawa sina uhakika kama yeye hacheat. Nilichoamua ni mimi kusimama kama mimi no matter yeye ana msimamo gani
Methali 6.32
Mhhh Nyani Ngabu sasa hizo ni zaidi maana ukifuata neno la msahafu hakuna atakayekuwa mwaminifu maana kumtazama kwa kumtamani tuu ushafanya kweli
Denda je? Rukhsa?
He he he, wee jipunje tu.
Acha tuiweke kabisa hapa
"..Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake"
Saaaaaafi saaaaana; Ndio maana nyumba ndogo nyingi ni wasichana na si wanawake!!!!!!
Ki ukweli nitawapokea kwa mikono miwili. Maisha ya uaminifu mazuri sana Samaritan. Naamini yeyote atakaye kata shauri, atajengeka kutokana na uzoefu wa waaminifu wa jukwaa hili. Vilevile siyo mbaya tukaja kuandaa bonge la event la watu waaminifu tuka chill pamoja kuongezeana uzoefu.kwamtoro, na wale ambao wapo kwenye jitihada za kujikwamua kwenye janga la kucheat unawakaribisha hapa?
Mkuu Nyani Ngabu hayo majanga acha hizo mambo kabisa outing, club, zote hizo kuna mazingira ambayo mambo sio ya kawaida yanatokea japo humalizi kile kitendo ila kwa hapo unakuwa ushamcheat mkeo
Ki ukweli nitawapokea kwa mikono miwili. Maisha ya uaminifu mazuri sana Samaritan. Naamini yeyote atakaye kata shauri, atajengeka kutokana na uzoefu wa waaminifu wa jukwaa hili. Vilevile siyo mbaya tukaja kuandaa bonge la event la watu waaminifu tuka chill pamoja kuongezeana uzoefu.
Na binaadamu wote ni marehemu ila marehemu wote si binadamu!!!!!Si kila mwanamke ni msichana, ila wasichana wote ni wanawake
Na binaadamu wote ni marehemu ila marehemu wote si binadamu!!!!!
Mkuu @Olesaidimu haya mambo magumu sana aiseBabu kuwa makini,hayo mambo are enticing na member lazima atoe japo chozi!!!!
The bad news is wanakagua boxer meeen sasa huko club,harusini na other boys out things mpaka mnaloweshana boxer ni nini hii?????!!!!
Hilo swali kashaulizwa mwana akabaki kinywa wazi!!!
Mkuu @Olesaidimu haya mambo magumu sana aise
Hebu niambie sasa mpaka boxer zimechafuka kwa mambo kama hayo je kuna uaminifu hapo
Denda kama alilouliza @Nyani Ngabu hapo juu nako si kucheat pia