OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Turudi kwenye uzi mkuu
The party goes on..
Turudi kwenye uzi mkuu
It is more than a puzzle mkuu Mr Rocky
Bab Nyani Ngabu point bado ina hold the centre "where do we dermacate clearly????"
OLESAIDIMU yes thats what we need. Demarcation ya hizi mambo wapi ambako unaweza sema nimecheat na wapi ambako unasema ni mwaminifu
Kama umechaza na mwamamke wa watu huko club mpaka ukachafua boxer na denda umekula then umebakisha hatua moja tuu unasema wewe ni mwaminifu mhhh nina wasi wasi na definition ya uaminifu
OLESAIDIMU kuna watu natamani niwaone hapa grafani11, HorsePower; SnowBall; Asprin, The Boss; watu8, BAK, nao waseme mawazo yao aise maana ni ya muhimu sana watuambie mpaka wa uaminifu ni upiTuwaite wakongwe kaka au!!!!!!
Babu Aspirin, mtambuzi,BAK,TIMMING,Tht Boss,watu8
OLESAIDIMU kuna watu natamani niwaone hapa grafani11, HorsePower; SnowBall; Asprin, The Boss; watu8, BAK, nao waseme mawazo yao aise maana ni ya muhimu sana watuambie mpaka wa uaminifu ni upi
Mkuu unajua ni akili yako tu ndio unayotakiwa kucheza nayo....
kama ukikubali kuendeshwa na mihemko ya ngono imekula kwako, lazima utakwenda na maji, swala la kusema sijui wanawake wanavishawishi kutokana na mavazi yao yasiyo na staha wala haihuu kabisa hiyo ni sababu ya kijinga kabisa, mbona hata mwanamke akivaa na kufunika mwili wake wote gubigubi, lakini atavutia tu, kwa sababu za kimaumbile na sio swala la kuvaa nusu uchi....
Swala la kutamani lipo, lakini lazima ujiulize kwamba kuna ulazima wa kwenda mbali zaidi ya hapo?, kwa hiyo mtu mwenye kujiheshimu atatamani na kuacha, kamwe hatakwenda mbali zaiidi ya hapo maana haendeshwi na mwili bali akili.
Namuachia mzee mwenzangu ODM Asprin naye atoe nasaha zake.............
Niliwahi kujadili jambo hilo hapa, hebu bofya hii link, utajifunza mengi humo:Mutawalia mkuu Mtambuzi sasa ni kipindi gani mtu anakuwa ame cheat!!!???
Umeona heeh, ndo maana cjui nitakuwa mwaminifu mpk lini. Kuna vitu vizuri kweli nje.....
Miaka 4 mbona midogo sana uchanga wa ndoa unakusumbua. ngoja kidogo walau uwe na miaka 6 au 7 halafu urudi tena utupe feedback.
OLESAIDIMU kuna watu natamani niwaone hapa grafani11, HorsePower; SnowBall; Asprin, The Boss; watu8, BAK, nao waseme mawazo yao aise maana ni ya muhimu sana watuambie mpaka wa uaminifu ni upi
Mimi ni mwaminifu kweli kwa mke wangu ila tatizo cjui nitakuwa mwaminifu mpaka lini??
Hayang mkuu...ngatsia tsi!:tape:
Tsia tsi ularere see kipfa shemanka shifoi monowama