HorsePower na Mtambuzi nimeyaona mawazo yenu kwa kweli ni muhimu sana japo utekelezaji wake ni mzigo mkubwa na changamoto ni nyingi katika kutekkeleza hayo na kujiondoa kabisa katika huu ulimwengu ambao vishawishi ni vingi
Ila muhimu ni kila mtu kucheza nafasi yake
Nakubaliana na wewe, wanasema change begins with you, hivyo mtu mmoja mmoja akibadilika maana yake society nzima nayo itabadilika! Kwa hiyo acha, kila mtu awajibike kwa nafasi yake.
Mkuu HorsePower najivunia kwa kiwango kikubwa naheshimu ndoa yangu na namheshimu mwenzangu na najitahidi kutunza hilo na japo majaribu ni mengi huwa namuomba sana aliye juu zaidi kunilinda na kuniepusha na mengi japo najua ni mengi sana
Mkuu HorsePower najivunia kwa kiwango kikubwa naheshimu ndoa yangu na namheshimu mwenzangu na najitahidi kutunza hilo na japo majaribu ni mengi huwa namuomba sana aliye juu zaidi kunilinda na kuniepusha na mengi japo najua ni mengi sana
Nalifahamu hilo, Mungu akutie nguvu majaribu yasikuzidi!
Lady doctor asante sana na namuomba sana Mungu aniepushe na mengi na mazingira ambayo yatanipeleka kwenye kuangukaumenena vyema sana Mr Rocky, ukiwa mwaminifu na ukimshirikisha Mungu pia hukuepushia majaribu!!!!!!!!
Lady doctor asante sana na namuomba sana Mungu aniepushe na mengi na mazingira ambayo yatanipeleka kwenye kuanguka
Naamini hivyo Lady doctor ila ni lazima uwe na hofu ya Mungu ndani mwako na sio kuongozwa na dunia hii na kujisemea nitashindaujue watu tunaongozwa na tamaa lakini ukishakuwa na roho ya kuipuuza tamaa ya mwili hata aje mtu wa dizain gani kuingia majaribuni ni ngumu Mr Rocky!!!!!!!!!!
Naamini hivyo Lady doctor ila ni lazima uwe na hofu ya Mungu ndani mwako na sio kuongozwa na dunia hii na kujisemea nitashinda
NI KWELI UNAPOKUWA MWAMINIFU KWA MUNGU HATA SIKU UKIMFUMANIA HUWEZI LIPA KISAS,,ILA UKIAMUA KUWA FAITH KWA AJILI YAKE SIKU UKIMFUMANIA UTAMTAFUTA RAFIKI YAKE ILI AJUE KWAMBA SI KWAMBA HUKUWA HUWEZI ILA NI KWA SABABU YAKE,,,,napitaaa!
ila bado mwaminifu kwa MUNGU kwanza na wanadamu pia
NI KWELI UNAPOKUWA MWAMINIFU KWA MUNGU HATA SIKU UKIMFUMANIA HUWEZI LIPA KISAS,,ILA UKIAMUA KUWA FAITH KWA AJILI YAKE SIKU UKIMFUMANIA UTAMTAFUTA RAFIKI YAKE ILI AJUE KWAMBA SI KWAMBA HUKUWA HUWEZI ILA NI KWA SABABU YAKE,,,,
:A S-key:
He he he, wee jipunje tu.
i dont know what u mean?
Uaminifu upo na unawezekana kabisa, na ukitaka kujua watu wanafanikiwa vipi, muulize ndugu yangu Mtambuzi atakusaidia kuchambua kwa kina namna ya kuishi maisha ya uaminifu. Ila ikumbukwe tu kuwa, uaminifu ni pamoja na kuacha tabia hatarishi!