CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,463
Ukiangalia kwa undani sana chadema ni slaa na tundu lisu, sugu, mnyika na msigwa, hawa wengine ni njaa kali tu hasa lema sio kiongozi bali mpiga dili tu, hebu mumuangalie kwa ukaribu. wachaga ndio wameleta chadema lakini wanaingiza ukabila mbaya sana na ndio maana utaona asilimia sabini ya wanachama wake ni wachaga
Kwani wachaga wakijiunga kuna Zambi? Hebu Tuambie wewe unataka wajiunge Chama kipi? Mkuu hii iko kila Mahari Duniani Tazama chama Cha ANC wazuru karibia wote ni ANC ingawa kuna Vyama kibao vya Upinzani na Makabira kibao, Dunia nzima vyama huwa vina root yake, Uingereza ambayo inaonekana ni moja ya Mataifa yenye Demecrasia ya hali ya juu, Kuna ubaguzi kule, Huwezi Kuwa Prime minster bila kuwa Muangalikana,
So ishu ya kusema Wachaga wote wako CDM haina mshiko, na Mara nyingi haya mambo yanategemea root ya CHAMA, cheki CUF kule Pembe,
Fuatilia historia za Vyama vyote Dauniani na Utagundua vyama vyote vina sehemu vinapo ungwa Mkono kwa Nguvu zote hata USA hii ipo, kuna Majimbo yanajulikana ni ya Republican na mengine siku zote ni ya Democratic, wewe unazani hii ni kwa nini?