Thomas Nyimbo, ajitoa CHADEMA!

Thomas Nyimbo, ajitoa CHADEMA!

Nani anajuwa kwamba wewe siyo Nyimbo?Na angepata ubunge kwa kupitia chadema angejitoa?Si alikuwa mbunge kwa kupitia ccm kwa miaka 10?Hana lolote huyo,makosa ni ya chadema kusifia watu hovyo hovyo na kukaribisha makapi bila kuyapima,eti mlezi.Vitu vingine bana!
Bado wewe na wanazi wa CDM mko katika shimo kubwa la kukosa kusadikika kisiasa.
Hujajibu hoja yangu wala ya Nyimbo kuwa CDM haina lolote wala chochote zaidi ya chuki dhidi ya CCM. Na watu wake.

Nawe warudia kosa lile lile, la kutoonyesha CDM kule watanzania tunakotaka kuelekea.
Ni wazi hakuna anayependa rushwa, CCM iko rushwa kama ilivyokuwko CDM.

CDM. Ni mbadala ya watu wale wale wanaotaka kunufaika binafsi na rasilmali za wananchi.

If anything to go by, CDM haijaonyesha mfano wowote kuwa wana uongozi wenye uadilifu uliotukuka..
 
Huyo alikuwa kazini kuidhoofisha CHADEMA, ama ameshapata mshiko wake. Iko kazi sana nchi hii. Mambo yanaenda kimafia mafia. CHADEMA wajifunze, lakini wasikate tamaa, maana katika msafara wa mamba na kenge wapo!
 
naona wengi hammjui huyu mzee,nimefanya naye shughuli za chama muda mrefu sana toka awepo cdm ni moja ya wazee wanaopenda kuabudiwa kama mfalme ,anapenda hadi viongozi wa cdm wa taifa wafuate aina ya siasa zake,kwa kifupi ni hivi.wiki iliyopita mh.mbowe(m/kiti)alikuwa na ziara ya kuwanadi wagombea udiwani kupitia cdm ktk mikoa ya mbeya na njombe,alipotoka iringa alipitiliza kwenda mbeya bila kupitia kwake ,hapo ndo povu lilipoanza kumtoka mzee nyimbo kuwa viongozi wa kitaifa hawa mheshimu ,alipiga simu kwa dr,slaa kulalamika juu ya hili lkn dr.slaa alimjibu kuwa kwenye ratiba hakukuwa na ratiba ya m/kiti kupitia kila jimbo na muda ulikuwa mdogo sana na sehemu za kupitia zilikuwa nyingi sana.mzee nyimbo akawa analalamika sana juu ya kutopitiwa nyumbani ili aongozane naye huko mby na makete then ludewa .kama humjui unaweza ukasema jamaa ni jembe sana lkn kiukweli kwa aina ya siasa za sasa huyu mzee haziwezi kabisa na ni mbabe anayetaka analosema yeye ndo la kufuatwa hata kama linamakosa .kila lakheri kuko aendako sisi alitukuta tukipigania kukijenga chama chetu ametuacha bado tunasonga mbele,tunatangulia ktk mapambano huyu mzee atatukuta mbele tukiwa tayari yunafaidi matunda ya nchi yetu

Ki scenario kwa kuwa Mheshimiwa Mbowe Freeman alikuwa ziarani katika mikoa hiyo, maelezo yako yanaonekana kuwa ya kweli kwa asilimia fulani ingawa kwa kweli yanahitaji ushahidi usio wa mashaka lakini pia yanakosa mantiki ya kisiasa ndani yake na kubwa zaidi yanaibua tatizo la collectivity katika uongozi wa CDM.

Kama kweli Mzee Thomas Nyimbo alikuwa mlezi wa Chama katika mikoa ya kusini na nyanda za juu inawezekanaje Mwenyekiti wa Chama taifa apite katika eneo lake bila yeye kushirikishwa wala kupewa taarifa? Hoja ya Dkt. Slaa kwamba ratiba ilikuwa imebanana ni sawa lakini Je Mzee Nyimbo asingeweza kushiriki hata katika baadhi ya mikutano? Hili ni tatizo kubwa.

Ieleweke kwamba appreciation ni moja ya sifa ya kiongozi. Sasa kama viongozi wa CDM wanaona appreciation ni kumkweza Mzee Nyimbo hili ni tatizo lingine pia. Kuwa na viongozi wa chini katika chama maana yake ni kuwatambua na kuwapa hadhi stahiki. Ni lazima kuwa motivate na kuwapa courage ya kupambana zaidi. Hauhitaji kuwapa fedha lakini kupitia kuwashirikisha na kutambua uwepo wao wanarizika.

Watu wamekuwa wakipiga kelele juu ya haja ya viongozi wa CDM kuanza ku rehearsal na kubehave kama viongozi wenye uwezo wa kuongoza dola lakini halionekani kufanyiwa kazi. Hivi Mbowe angekuwa Rais kwa mfano angeweza kufunga ziara katika mikoa hiyo bila kuwataarifu viongozi wa maeneo husika hasa mlezi wa kanda mbili za utawala?

Lakini pia kuna hili. Kama huoneshi appreciation kwa viongozi wa chini kama walezi wa vyama utawezaje kujenga mtandao wa chama kuanzia chini? Sisemi ni tabia ya uongozi wa CDM kutokutambua viongozi wa chini lakini kumekuwa na malalamiko ya wapenda mageuzi wengi kwamba CDM bila uongozi wa juu ni sawa na haipo hivyo ijikite katika kujenga mtandao na makada wengi iwezekanavyo huko mikoani.

Let us be realistic na fair kwa Mzee Nyimbo. Amekuwa akitumia fedha zake nyingi kufungua matawi ya chama na hata kugharamia mikutano mingi tu labda viongozi wa CDM wanaweza kuja kukanusha hili lakini ni wazi tumekuwa tukipata taarifa zake kupitia humu jamvini. Anaweza kuwa na matatizo yake lakini si katika kujitoa.

Kunaweza kuwa na makapi kweli yanayotoka CCM kuingia CDM lakini Nyimbo anaonekana si wa aina hiyo labda kama tutashawishiwa vinginevyo. Leo Kamanda Mawazo na James Millya kwa mfano kila mtu anawasifia kwa utendaji wao lakini kesho wakichoka na mwenendo wa masuala fulanifulani wakaachia ngazi tutawatukana na kuwapaka hivihivi.

Ingawa Mzee Nyimbo alipaswa kuwa mvumilivu na msikivu (kama kweli alielezwa na Dkt. Slaa juu ya kilichotokea) maana ni sifa nyingine ya kiongozi lakini katika hili uongozi wa CDM umeteleza. Haukumtendea haki.
 
haya madhaifu katika uongozi wa CDM ni ya muda mrefu yanazungumzwa na wanachama wake na hata jumuiya zake. watu wengi wanashabikia majina ya watu. Demokrasia haionekani ndani ya chama (kuchagua na kuchaguliwa katika ngazi mbalimbali bila kuingiliwa na wakubwa wa chama). ukiangalia mfano wa wagombea ubunge 2010, kuna wana chadema waliokuwa wamejiandaa vyema kugombea wakiwa na sifa madhubuti na upeo mkubwa kwa chama lakini walikuja kung'olewa na kupisha wale waliodondoka toka CCM. na hali hii inaonekana itaendelea kwani vigogo wa juu ni kama hawajiamini. Hilo lingine la sera ya kitaifa mimi naliunga mkono kwa dhati kwani ukiangalia hivi vyama watu wanaropoka tu kuhusu sera bila utafiti madhubuti. ni vizuri iamriwe sera ya kitaifa ili vyama vipambane vitatekeleza vipi
 
Bado wewe na wanazi wa CDM mko katika shimo kubwa la kukosa kusadikika kisiasa.
Hujajibu hoja yangu wala ya Nyimbo kuwa CDM haina lolote wala chochote zaidi ya chuki dhidi ya CCM. Na watu wake.

Nawe warudia kosa lile lile, la kutoonyesha CDM kule watanzania tunakotaka kuelekea.
Ni wazi hakuna anayependa rushwa, CCM iko rushwa kama ilivyokuwko CDM.

CDM. Ni mbadala ya watu wale wale wanaotaka kunufaika binafsi na rasilmali za wananchi.

If anything to go by, CDM haijaonyesha mfano wowote kuwa wana uongozi wenye uadilifu uliotukuka..


Hapo kwenye red ungetuwekea na mifano hai vinginevyo utakuwa NYIMBO type
 
Huyu jamaa alianzia chama cha Pona mara baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza baadae akarudi CCM ambako aliptia ubunge kabla ya kujiunga na CDM baada ya kushindwa kwenye kura za maoni.Sitashangaa kama akijitoa CDM kwani kikubwa kilichompeleka CDM ni cheo n kutegemea angepata nafasi ya ubunge lakini wapiga kura wa huko ndio wanamwelewa zaidi.
 
Haya ndio matokeo ya kuokoteza makpi yaliyotupwa na ccm, come 2015 huu mchezo ukome!
 
Huyu jamaa alianzia chama cha Pona mara baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza baadae akarudi CCM ambako aliptia ubunge kabla ya kujiunga na CDM baada ya kushindwa kwenye kura za maoni.Sitashangaa kama akijitoa CDM kwani kikubwa kilichompeleka CDM ni cheo n kutegemea angepata nafasi ya ubunge lakini wapiga kura wa huko ndio wanamwelewa zaidi.

Mambo ya hewala hewala hayana nafasi katika siasa, bora abalo ma votega uchumi vyake kuendesha maisha huko ubwana mkuwa ni wa uhakika, siasa ni maji taka, ataka asitake anatakwa awe chini ya wote hata kulamba vumbi kwa wapiga kura. Alichotegemea sicho kinachotakiwa kwenye utumishi wa umma, na uamuzi wake ni mwafaka kwa muda huu kwani vema ameweka msimamo wake mapema na amesoma mwelekeo kuna wanaochipukia ataaibika zaidi.
 
MI NAONA BORA MAGAMBA YAMEANZA KUJIONYESHA MAPEMA ,HUYU MZEE UKIWA NJE YA SIASA UNAWEZA UKAONA KUWA NI MWASIASA MZURI NA MPAMBANAJI WA UKWELI LKN KIUKWELI HUYU MZEE NI MBINAFSI SANA,KWA SISI VIONGOZI WA JIMBO LA NJOMBE KASKAZINI TULIOFANYA NAYE SIASA KWA HII MIAKA 2 TUNAONA AFADHARI ALIVYOAMUA KUACHANA NA SIASA ZA CDM MAANA NI MBINAFSI SANA HUYU MZEE ,ushahidi wa haya ni jinsi alivyokiendesha chama kule njombe magharibi kama mali yake na si chama cha wanachadema ,kumbuka kule njombe magharibi kuna viongozi wa jimbo lakn hawakuwa na sauti na hata kuitisha mkutano wa wananchi ama wanachama kama viongozi walikuwa hawawezi bila idhini yake,hivyo basi jimbo lile linaviongozi wasiona mvuto wa wananchi zaidi ya yeye nyimbo ,lkn angalia majimbo mengine yaliyo kwenye mkoa huu wa njombe ambayo hayakumuegemea yeye kwa kila kitu yanajiendesha na viongozi wana mvuto hata mbele ya wananchi na wanachama kitu kinachopelekea kuwa chama haikiwezi kuyumba kwa sababu ya mtu mmoja,mwezi wa sita aliyekuwa katibu wa cdm jimbo la njombe kaskazini alisimamishwa kufanya shughuli za chama lkn hatukuweza kuyumba zaidi ya kuongeza wanachama zaidi na zaidi.amini nikuambiayo cdm iliyojengwa kwenye mioyo wa watu haiwezi kuyumba sababu ya mtu mmoja lkn kama imejengwa kwa mtu mmoja itayumba hata upepo mdogo ukipita.
 
Ndikalage nde lipuma, nde ndonge vakundiga uukindi ndilema avanyanyi vaginile vilyaa mpaka vakwidekela mumyenda. Vileka avayao vafula nde ligubi lyana. Umung'inetu va dr. Slaa ipupa mapesa gavene, umuvina mbowe ipupa mafwanyi gavangunju, tubite tukalye kwiya? Inoo dont blame munu yoyote mbevali vilya vya vabofu. Open your ayes inyi yibiduka.
 
DSC00795.JPG


Hii picha ya mwandishi wa habari aliyeko kusoto aliyesuka nywele zake imenikumbusha mbali
 
tumia akili japo kidogo,amekwambia amepigiwa simu,unataka sosi ya nini tena au kwa kuwa gwanda limeraruka unaanza kuweweseka
kwa hiyo simu ndo sosi!!!!aliyempigia simu nadhani ndo sosi!!!!
 
Ndikalage nde lipuma, nde ndonge vakundiga uukindi ndilema avanyanyi vaginile vilyaa mpaka vakwidekela mumyenda. Vileka avayao vafula nde ligubi lyana. Umung'inetu va dr. Slaa ipupa mapesa gavene, umuvina mbowe ipupa mafyanyi gavangunju, tubite tukalye kwiya? Inoo dont blame munu yoyote mbevali vilya vya vabofu. Open your ayes inyi yibiduka.

Che mwepe, kuholemoyo palungi! Arudi kwao Mbinga akagombee ubunge akiwa mgombea wa kujitegemea aonje joto ya jiwe tokwa kwa mnyalukolo mwenzake Komba wa Tanzania one.
 
Yuko kazini huyo!huwa hawaachi kazi zao kabisa,wanazuga na kupewa assignments...na kuhamia sehemu ingine,mwinbgine yule alikuwa Mwenyekiti CDM Mbeya,Sintambala kama sijakosea wote wako kazini wasitudanganye
 

Ki scenario kwa kuwa Mheshimiwa Mbowe Freeman alikuwa ziarani katika mikoa hiyo, maelezo yako yanaonekana kuwa ya kweli kwa asilimia kubwa ingawa kwa kweli yanahitaji ushahidi usio wa mashaka lakini pia yanakosa mantiki ya kisiasa ndani yake na kubwa zaidi yanaibua tatizo la collectivity katika uongozi wa CDM.


Kama kweli Mzee Thomas Nyimbo alikuwa mlezi wa Chama katika mikoa ya kusini na nyanda za juu inawezekanaje Mwenyekiti wa Chama taifa apite katika eneo lake bila yeye kushirikishwa wala kupewa taarifa? Hoja ya Dkt. Slaa kwamba ratiba ilikuwa imebanana ni sawa lakini Je Mzee Nyimbo asingeweza kushiriki hata katika baadhi ya mikutano? Hili ni tatizo kubwa.

Ieleweke kwamba appreciation ni moja ya sifa ya kiongozi. Sasa kama viongozi wa CDM wanaona appreciation ni kumkweza Mzee Nyimbo hili ni tatizo lingine pia. Kuwa na viongozi wa chini katika chama maana yake ni kuwatambua na kuwapa hadhi stahiki. Ni lazima kuwa motivate na kuwapa courage ya kupambana zaidi. Hauhitaji kuwapa fedha lakini kupitia kuwashirikisha na kutambua uwepo wao wanarizika.

Watu wamekuwa wakipiga kelele juu ya haja ya viongozi wa CDM kuanza ku rehearsal na kubehave kama viongozi wenye uwezo wa kuongoza dola lakini halionekani kufanyiwa kazi. Hivi Mbowe angekuwa Rais kwa mfano angeweza kufunga ziara katika mikoa hiyo bila kuwataarifu viongozi wa maeneo husika hasa mlezi wa kanda mbili za utawala?

Lakini pia kuna hili. Kama huoneshi appreciation kwa viongozi wa chini kama walezi wa vyama utawezaje kujenga mtandao wa chama kuanzia chini? Sisemi ni tabia ya uongozi wa CDM kutokutambua viongozi wa chini lakini kumekuwa na malalamiko ya wapenda mageuzi wengi kwamba CDM bila uongozi wa juu ni sawa na haipo hivyo ijikite katika kujenga mtandao na makada wengi iwezekanavyo huko mikoani.

Let us be realistic na fair kwa Mzee Nyimbo. Amekuwa akitumia fedha zake nyingi kufungua matawi ya chama na hata kugharamia mikutano mingi tu labda viongozi wa CDM wanaweza kuja kukanusha hili lakini ni wazi tumekuwa tukipata taarifa zake kupitia humu jamvini. Anaweza kuwa na matatizo yake lakini si katika kujitoa.

Kunaweza kuwa na makapi kweli yanayotoka CCM kuingia CDM lakini Nyimbo anaonekana si wa aina hiyo labda kama tutashawishiwa vinginevyo. Leo Kamanda Mawazo na James Millya kwa mfano kila mtu anawasifia kwa utendaji wao lakini kesho wakichoka na mwenendo wa masuala fulanifulani wakaachia ngazi tutawatukana na kuwapaka hivihivi.

Ingawa Mzee Nyimbo alipaswa kuwa mvumilivu na msikivu (kama kweli alielezwa na Dkt. Slaa juu ya kilichotokea) maana ni sifa nyingine ya kiongozi lakini katika hili uongozi wa CDM umeteleza. Haukumtendea haki.

WOWOWO. Heshima kwa ko kwa observation yenye muono wa mizani inayojitosheleza.

Kulewa madaraka si katika maneno tu bali hata vitenda. Viongozi wa CDM wameshaanza kulewa hata kabla madaraka makubwa hayajawapata.

Nina mfano mzuri wa kujinyenyekeza kwa viongozi , kwa waliochini yao.

Miaka ya mwishoni mwa ' 60 , baba yangu aliyekuwa afisa wa jeshi tulienda naye mess ya NS Mgulani(National Service), baada ya kutoka kwenye halaiki ya kitaifa Uwanja wa Taifa.

Ndani ya mess tulikuwa na mana yangu mzazi aliyekuwa akimnyonyesha mdogo wagu wa mwaka mmoja.

Ghafla walinzi waliingia ndani ya mess na kututaka tuondoke, wakati tunafikiri kinachoendelea akaingia Mwalimu Nyerere akiwa na tabasamu kubwa usoni.
Aliniuliza kama nilikuwo pale uwanjani nami nikamjibu kuwa nilikuwepo kwenye halaiki ile.

Halafu akamsalimia mama yangu SHIKAMOO MAMA!!!

Baada ya hapo akaendele na shughuli zake na kutokomea na walinzi wake wengi.
Tukio zima lilinipumbaza kwa muda. Nilikuwa nimeongea na R ais!!

Sikuelewa mantiki ya somo lenyewe mpaka nilipoingia sekondari na kufikiria kwa makini tukio lile.

Nikaja kugundua kuwa Mwalimu alikuwa na umri mkubwa kuliko mama yangu kwa wakati ule, lakini alimuamkia shikamoo mama!

Hii ni hekima ya hali ya juu, kwa kiongozi wa kitaifa kujishusha na kujinyenyekeza mbele ya watu wake,na wala hakujipunguzia wadhifa wake.

Leo viongozi wengi wanaenda kwa kujikweza sana na hivyo kutoona kuwa wanawakwaza hata wananchi wao.
Kwa Mbowe kukimbilia kufung u matawi Mbeya na kumwacha Mzee Nyimbo, kwanza its a snub, dharau.

Mtu akidharaulika mbele ya kadamnasi kwa kiongozi wake kukosa unyenyekevu, options kwa watu kama Nyimbo ni chache, hatakiwi CDM.
 
Nilitegemea hili, watu waliishawahi kucomment kuwa huyo bwana ametumwa kuvuruga, ila timing yake mbovu!
 
Funguka,ulipewa rushwa huko chadema?Ama uliitoa?


Hapo kwenye red ungetuwekea na mifano hai vinginevyo utakuwa NYIMBO type

Ni watu wa aina hii ambao wakibanwa on a matter of principle wanaji side track na kutaka mifano.
Mifano ipo mingi tu na ipo humu JF.

Cha msingi ni wanachama wa CDM kukubali kuwa chama chao kina mapungufu, hata kama anayesema hivyo ana mapungufu.
 
Back
Top Bottom