This week end: My unforgetable love songs

This week end: My unforgetable love songs

Mkuu mshana jr, uwe unatupatia mada kama hizi japo kila mwisho wa wiki kama itawezekana
 
K_CI N JOJO, Tell me its real
K_CI N JODECI Wanna love u for life
UB 40, please dont make me cry, lets kiss n say goodbye
BRANDY have u ever been
MB DOG si ulinambia
RAY C mahaba ya dhati

Mshana Jr. Lets just kiss and say goodbye by Manhattans. Have you ever loved somebody so much till you cry.... Brandy. Hakuna kitu kamaKCI and Jodeci. Hiyo ni sawa na kusema Pemba,Unguja na Zanzibar! I stand to be corrected.
 
Mshana Jr. Lets just kiss and say goodbye by Manhattans. Have you ever loved somebody so much till you cry.... Brandy. Hakuna kitu kamaKCI and Jodeci. Hiyo ni sawa na kusema PembaK,Unguja na Zanzibar! I stand to be corrected.

yeah ni kwamba UB 40 wana LETS KISS N SAY GOODBYE hata saa hii naisikiliza hapa nilipo, kuhusu KCI N JOJO, mwanzoni kabisa kabla haeajatengana na mwenzao mmoja walijulikana kama KCI N JODECY hii ni kwa kumbukumbu zangu lakini naweza nikawa nimekosea kidogo
 
Dah, umemiumiza moyo, na hivi kasafiri

Kwa walio mbali na Wapenzi wao, poleni sana ila msivunjike moyo.

Brandy anakuja na kibao kilichoandikwa na Bruno Mars kiitwacho LONG DISTANCE.

 
Last edited by a moderator:
roni - bobby brown
weak - swv
surrender - kut klose
going for mine - keith sweat
I will never lie - immature
work me slowly - xscape
rain - swv
za whitney karibu zote....
...to mention a few..ni nyingi mno nizipendazo....
 
Said i loved you, but i lied - Michael Bolton,

The weakness in me- Keysha White

Love will never Lie - Michael Learns

Greatest Love of All-Whitney Houston
 
yeah ni kwamba UB 40 wana LETS KISS N SAY GOODBYE hata saa hii naisikiliza hapa nilipo, kuhusu KCI N JOJO, mwanzoni kabisa kabla haeajatengana na mwenzao mmoja walijulikana kama KCI N JODECY hii ni kwa kumbukumbu zangu lakini naweza nikawa nimekosea kidogo

Ni kweli Mshana Jr. Wimbo ni huo huo isipokuwa UB 40 wameupiga kama sweet reggae wakati original composer waliupiga kama Blues. Nakumbuka Manhattans ndo waliupiga kwanza. Then ukaja rudiwa na hawa wengine. Ni kama wimbo wa Georgina wa Marijani Rajabu au Malaika. Nadhani hakuna local bendi hawajawahi kuupiga nyimbo hizi mbili. Mwingine uliorudiwa sana na different reggae artists ni Red Red Wine wa UB 40. One of the hits of all time.
 
Blues yangu kwanza kuipenda was back in the 80's inaitwa Andate Andate by ABBA Group. Then later on Secret lovers by Atlantic Starr.
 
Umenikuna kwelikweli na hizi nyimbo. Hao Kut klose nawahusudu zaidi kwenye wimbo huu hapa chini uitwao Giving You All My Love: Kut Klose - Giving You My Love Again (HQ) - YouTube
Pia ukishawataja Kut Klose, huwezi kumsahau Producer wao, Keith Sweat ambao alishirikiana na Marehemu Roger Troutman, mtu aliyeubadilisha wimbo wa Tupac (California Love): Keith Sweat ft. Roger Troutman - Put Your Lovin' Through The Test (HQ) - YouTube
Keith Sweat pia alitengeneza wimbo wa Silk: Silk - Freak Me - YouTube Let me lick you up and down till you say STOP.....
Duu, naona R Kelly hatujamuweka: R. Kelly - Your Body's Callin - YouTube (Your Body's callin')

Namalizia kwa Mzee Mwenyewe, Barry White: Barry White - Can't Get Enough Of Your Love Baby. - YouTube
roni - bobby brown
weak - swv
surrender - kut klose
going for mine - keith sweat
I will never lie - immature
work me slowly - xscape
rain - swv
za whitney karibu zote....
...to mention a few..ni nyingi mno nizipendazo....
 
Ni kweli Mshana Jr. Wimbo ni huo huo isipokuwa UB 40 wameupiga kama sweet reggae wakati original composer waliupiga kama Blues. Nakumbuka Manhattans ndo waliupiga kwanza. Then ukaja rudiwa na hawa wengine. Ni kama wimbo wa Georgina wa Marijani Rajabu au Malaika. Nadhani hakuna local bendi hawajawahi kuupiga nyimbo hizi mbili. Mwingine uliorudiwa sana na different reggae artists ni Red Red Wine wa UB 40. One of the hits of all time.
Thanx bro kwa ufafanuzi
 
Wewee, unavyokuja kwenye Reggae, Love Song alikuwa anafunga kazi GREGORY ISAAC (RIP).

Hadi juzijuzi wanamuziki wa Kijamaica, wameziimba tena nyimbo zake kumuenzi. Kuna huyu dada ameimba na Mkenya wimbo wa Nakupenda Pia anaitwa ALEINE, namhusudu sana na hiki kibao chake hiki hapa chini:

Alaine Tune In We Remember Gregory Isaacs - YouTube

Kwa wanaopenda MIZIGO MIKUBWA kama Shehe wetu, yaani wazee wa SUGAR BUM BUM:


kaka acha kabisa UB 40 ni habari nyingine, ukiacha RED RED WINE.....goes in ma head...! kuna PLEASE DON MAKE ME CRY na LETS KISS N SAY GOODBYE
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom