This week end: My unforgetable love songs

This week end: My unforgetable love songs

Officially Missing You-Tamia
Hero-Maria Carey
My all-Maria
Against all odds
 
Nobody knows but me, ile version ya kwanza acha ya babyface.nadhani ni isle brothers kama sijakosea...bonge moja la RnB..
 
Umenikuna aisee My BF is a hundred Miles away...........

So hard

Kwa hili nahisi kama unafall kwenye category ya mademu wengi masistaduu wa kibongo, amabao ukiwauliza kama wana boy, husema hawana walio nae yuko majuu....!

Ila sista maandishi yako hayakuhararishi uwepo kwenye hiyo category ya masista duu uchwara, u seems decent, lovely, romantic and sweet.

Don't jst get me wrong boo!
 
​I need need you-Mark Anthony
I will be there for you-Back street boys
Sacrifice-Elton John
 
Say I love u but I lie _Michael Borton
 
Chezea kitu Old Skul..
Ila yote ya yote mimi kuna mdada anaitwa ENYA pale funga kazi.. album yake nzima imesimama

yeah kwa watu wa meditation nyimbo za ENYA zinafaa mno
 
uende salama, betii, unikumbuke mamaa, Mungu akipenda tutaonana tena (beti ooh)....(hivi umesema tuimbe au tutaje?)

Hahaaaas Mapi yote sawa tu umenikumbusha mbali mno enzi za.JUMA KAKERE na SINTA ambaye aliact kama BETTY
 
Na kuna hii mpya kaimba mdada mmoja Mburundi anaitwa ALICIOUS kamshirikisha Mganda JULIANA KAYOMOZI sikia moja ya mashairi yake wimbo unaitwa MPITA NJIA
Juliana weee
sijui nikwambie nini
yule bwana eeh
mimi naye tuna hadithi ndefu
yeye hupenda cheza, mchezo wa patapotea
remember....mimi nawe ni marafiki toka zamaniiii
siwezi kukudanganyaaaa
nia yangu ni kukulinda na mwizii...mwizi wa mapenziiii
mpita njia, mpita njiaaa.....


..............kwako hatakaa milele,.kesho atapata mwingine, mpita njiaaa mpita njiaaa
ni mpita njia atakuumiza......!
 
Chezea kitu Old Skul..
Ila yote ya yote mimi kuna mdada anaitwa ENYA pale funga kazi.. album yake nzima imesimama

Enya mi nimeanza kumsikiliza tokea 1988. Wimbo wake wa Orinoco Flow (Sail away) ulibamba sana UK enzi hizo. Nakumbuka performance yake kwenye Top of The Pops. Was the shit back then.

 
Last edited by a moderator:
Kwa hili nahisi kama unafall kwenye category ya mademu wengi masistaduu wa kibongo, amabao ukiwauliza kama wana boy, husema hawana walio nae yuko majuu....!

Ila sista maandishi yako hayakuhararishi uwepo kwenye hiyo category ya masista duu uchwara, u seems decent, lovely, romantic and sweet.

Don't jst get me wrong boo!

Humble African mbona sioni tatizo kwenye post ya Heaven on earth?
 
Enya mi nimeanza kumsikiliza tokea 1988. Wimbo wake wa Orinoco Flow (Sail away) ulibamba sana UK enzi hizo. Nakumbuka performance yake kwenye Top of The Pops. Was the shit back then.



Nina VHS yake hadi leo mkuu!
Leo full nostalgia humu ndani, halafu nilivyo na maumivu!!
 
Last edited by a moderator:
Enya mi nimeanza kumsikiliza tokea 1988. Wimbo wake wa Orinoco Flow (Sail away) ulibamba sana UK enzi hizo. Nakumbuka performance yake kwenye Top of The Pops. Was the shit back then.


Nyani Ngabu cd ya ENYA ndio ya kwanza kabisa kuinunua katika maisha yangu ilikuwa 1996 South Africa, you really made my Sunday
 
Last edited by a moderator:
Nina VHS yake hadi leo mkuu!
Leo full nostalgia humu ndani, halafu nilivyo na maumivu!!

Pole na maumivu.

Enya ananikumbusha mbali sana. Baadhi ya contemporaries wake kwenye miaka ya 80 ni Kylie Minogue na The Bangles.

And Kylie is like fine wine. Man oh man!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom