THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

Kama kweli uko bright basi zingatia masomo mambo ya wasichana yatakuja baadae. Kwani una plan yakuoa next year? Pia zingatia kuwa ukimwi upo na unakatisha ndoto za vijana wengi. Hata ukimpata kupima ni muhimu hata kama atakuambia yuko virgin kwani mabint wanazaliwa na HIV na wanakua nao hata kufikia level ya chuo kikuu. Ukiwa na sikio naamini utasikia! All the best!

sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
 
Dogo kwanza kwa nini unataka kubikiriwa? Kwa nini unadhani ni lazima uwe na msichana?? Nani kakwambia hivyo??
 
I am tired with this world,i was born in 1993, student chuo fulani hapa tanzani,..kila ninapojaribu kumpenda msichana kawahiwa,mie had leo sina hata girlfriend and i am still virgin had leo,kwa kuwa nimekuwa i have to get a girl...mfano>>wiki mbli zilizopita nilikutana na binti mmoja hapa chuoni,2mezoeana sana cha kushangaza hana upendo na mimi nilipomwambia i want to marry her,je,members ni kweli wasichana wote mnawapenzi?je,mie nina mkosi??kama kuna msaada please voluntere!i am tired.

bold: CL kaa chonjo wasije kukukamata

have you ever asked yourself about this
" WHY ALWAYS NOT ME?" or "WHY OTHERS ALWAYS?"
Soma kijana, muda haurudi, wasichana wapo tu, utawakimbia mwenyewe.
 
Kama kweli uko bright basi zingatia masomo mambo ya wasichana yatakuja baadae. Kwani una plan yakuoa next year? Pia zingatia kuwa ukimwi upo na unakatisha ndoto za vijana wengi. Hata ukimpata kupima ni muhimu hata kama atakuambia yuko virgin kwani mabint wanazaliwa na HIV na wanakua nao hata kufikia level ya chuo kikuu. Ukiwa na sikio naamini utasikia! All the best!

thanks my brother,nimekuelewa.
 
bold: CL kaa chonjo wasije kukukamata

have ever asked yourself about this
" WHY ALWAYS NOT ME?" or "WHY OTHERS ALWAYS?"
Soma kijana, muda haurudi, wasichana wapo tu, utawakimbia mwenyewe.

thanks bro,i ll study hard.
 
Hvi bado hamjaanza assignment,test na quiz zkuweke buzy hvii!eh go back to xcl mdogo anguu.....!
 
Back
Top Bottom