sunshine1
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 539
- 289
Kama kweli uko bright basi zingatia masomo mambo ya wasichana yatakuja baadae. Kwani una plan yakuoa next year? Pia zingatia kuwa ukimwi upo na unakatisha ndoto za vijana wengi. Hata ukimpata kupima ni muhimu hata kama atakuambia yuko virgin kwani mabint wanazaliwa na HIV na wanakua nao hata kufikia level ya chuo kikuu. Ukiwa na sikio naamini utasikia! All the best!
sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright