This is too Much: Mchina atesa jijini!

No, huwa wanapambanishwa watu watu wa fani mbali mbali wakiwemo karate, judo, na kung fu. Siku hizi fighters wengi wanakuwa wako trained ktk fani zaidi ya moja kwa hiyo mara nyingi kumkuta mtu aliyeko one dimensional inakuwa vigumu kidogo. The sport has really progressed over the las decade....


enheee umekuja mulemule nilikokutaka
sasa nyani unachobisha kiko wapi wewe?hiyo michezo yote ina vikorombwezo vya martial art ya mchina na mjapani,kwahiyo kinachotofautiana ni styles tu hapo.kama wewe two knuckles unazi position laterally kwenye ring mimi nazi point dorsally nk
ndiyo kusema wanaochapana UFC wote wana ideas na martial art kwahiyo karateka anayechapwa anachapwa na mtu anayejua karate pia na siyo muangaliaji wa karate kama wewe nyani ngabu,kwi kwi kwi!
 
enheee umekuja mulemule nilikokutaka
sasa nyani unachobisha kiko wapi wewe?hiyo michezo yote ina vikorombwezo vya martial art ya mchina na mjapani,kwahiyo kinachotofautiana ni styles tu hapo.kama wewe two knuckles unazi position laterally kwenye ring mimi nazi point dorsally nk
ndiyo kusema wanaochapana UFC wote wana ideas na martial art kwahiyo karateka anayechapwa anachapwa na mtu anayejua karate pia na siyo muangaliaji wa karate kama wewe nyani ngabu,kwi kwi kwi!

Yaani wewe mjinga kweli. Unathibitisha kile nilichokuwa nakidhania.

Ninachosema mimi ni kuwa, watu walio one dimensional, say karateka, kwenye Octagon ya UFC hawajawa na mafanikio kama baadhi ya watu wanavyodhani. Ukiangalia ma champion wengi, kama vile Randy Couture, Chuck Lidell, Tito Ortiz, na wengineo, wengi wao wana background ya graeco roman wrestling na jiu-jitsu.

Nitajie karateka yoyote yule aliyewahi kuwa champion katika UFC na Pride? Nitajie hata mmoja tu...

Unavyozidi kubisha ndio unazidi kuonyesha ujinga (ignorance) wako kuhusu mixed martial arts!
 
Yaani wewe mjinga kweli. Unathibitisha kile nilichokuwa nakidhania.

Ninachosema mimi ni kuwa, watu walio one dimensional, say karateka, kwenye Octagon ya UFC hawajawa na mafanikio kama baadhi ya watu wanavyodhani. Ukiangalia ma champion wengi, kama vile Randy Couture, Chuck Lidell, Tito Ortiz, na wengineo, wengi wao wana background ya graeco roman wrestling na jiu-jitsu.

Nitajie karateka yoyote yule aliyewahi kuwa champion katika UFC na Pride? Nitajie hata mmoja tu...

Unavyozidi kubisha ndio unazidi kuonyesha ujinga (ignorance) wako kuhusu mixed martial arts!

nyani,nadhani wewe ndiye mjinga kwa kudhani kuangalia UFC ndiyo kujua martial arts na huelewi tunachobishana nini au your memory is defective huwezi kukumbuka.
uliandika hivi "Hata kama akiwa anajua, kwenye streetfight hakuna cha kung fu, karate, muay thai au jiu jitsu....kwenye streetfight anything goes.....from hand to hand combat, to kung'ata, kupiga au kupigwa mtama, kabali (guillitone choke), ngumi, kubinya kende, ground and pound, and the list goes on....cha muhimu ni kuwa na ujasiri wa kuzipiga tu"
una maana kwenye ngumi za mtaani hakuna utaalam hata mtu wa jiu jitsu(wacha karate na kung fu) ambayo imetoa mabingwa UFC kama ulivyodai anaweza kunyukwa na mtu yeyote tu ili mradi awe na ujasiri wa kuzipiga.hapa ndipo ubishi ukaanza.nikakubishia kuwa haiwezekani.
unielewe-mimi hoja yangu ni kuwa mtu aliyepitia staili yoyote ya martial arts japo kwa kiwango cha wastani na akawiva hawezi kunyukwa na layman kama wewe nyani usiyejua hata kusimama katika stance moja ya kimichezo.ndiyo hoja yangu hiyo.
wewe ukaanza blabla za UFC na kuleta links ukidhani ninavyokuuliza maswali eti sijui wakati mimi nakuchora tu na upupu wako.
 
Ni bora jamaa ameangukia kwa mchina kuliko angeangukia mikononi mwa weusi maana butcher lingejengwa hapo hapo.
 
una maana kwenye ngumi za mtaani hakuna utaalam hata mtu wa jiu jitsu(wacha karate na kung fu) ambayo imetoa mabingwa UFC kama ulivyodai anaweza kunyukwa na mtu yeyote tu ili mradi awe na ujasiri wa kuzipiga.

Unaona sasa! Yaani hukunielewa kabisa. Zero..zip..nada! Soma tena hayo maneno yangu. Keywords wapo ni "anything goes". Ndiyo, wewe kama una advanced training ya Martial Arts utakuwa na competitive advantage dhidi ya layman asiye na ujasiri. Unaweza ukamdunda kwa kutumia psychological warfare peke yake bila hata kurusha overhead roundhouse kick. Lakini kumbuka nazungumzia streetfight hapa na kama nilivyosema anything goes. Sasa mimi nikiwa na mchizi wangu YNISM na kichaa wangu Masanilo na Koba, halafu eti wewe unaleta zako za kuleta. Mimi nakudindia, tunaanza kuzipiga....soon unastukia YNIM kakupiga mtama na umelamba sakafu, mchizi wangu Masa naye anakuja anakuvunjia chupa ya Heineken kichwani....Koba anatoka chooni anakurushia stool halafu anaanza kukutimba na Timbalands zake....sasa hebu nambie huo Usensei wako utau-apply saa ngapi?

hapa ndipo ubishi ukaanza.nikakubishia kuwa haiwezekani.
unielewe-mimi hoja yangu ni kuwa mtu aliyepitia any style of martial arts can not be defeated by a layman like you nyani usiyejua hata kusimama katika stance moja ya kimichezo.

Kusema martial artist "can not be defeated by a layman" in a streetfight ni uongo. Hata kwenye octagon, cage, au ring huwezi kusema hivyo. Hata Vegas oddmakers bado watampa chance huyo layman. In a fight (provided it is a fair fight) you always have a fighting chance. Kusema "can not be defeated" is a stretch!
 
Unaona sasa! Yaani hukunielewa kabisa. Zero..zip..nada! Soma tena hayo maneno yangu. Keywords wapo ni "anything goes". Ndiyo, wewe kama una advanced training ya Martial Arts utakuwa na competitive advantage dhidi ya layman asiye na ujasiri. Unaweza ukamdunda kwa kutumia psychological warfare peke yake bila hata kurusha overhead roundhouse kick. Lakini kumbuka nazungumzia streetfight hapa na kama nilivyosema anything goes. Sasa mimi nikiwa na mchizi wangu YNISM na kichaa wangu Masanilo na Koba, halafu eti wewe unaleta zako za kuleta. Mimi nakudindia, tunaanza kuzipiga....soon unastukia YNIM kakupiga mtama na umelamba sakafu, mchizi wangu Masa naye anakuja anakuvunjia chupa ya Heineken kichwani....Koba anatoka chooni anakurushia stool halafu anaanza kukutimba na Timbalands zake....sasa hebu nambie huo Usensei wako utau-apply saa ngapi?


Kusema martial artist "can not be defeated by a layman" in a streetfight ni uongo. Hata kwenye octagon, cage, au ring huwezi kusema hivyo. Hata Vegas oddmakers bado watampa chance huyo layman. In a fight (provided it is a fair fight) you always have a fighting chance. Kusema "can not be defeated" is a stretch!


psychological warfare iko wapi wewe wakati mmekutana mtaani tu hamjuani>manake martial art ni silaha iliyojificha huwezi jua kama jamaa kacheza au vipi.tunazungumza man to man fight wewe unataja sijui nani,hivi wewe nyani ulishafanya martial art au unabisha tu ili uonekane unabisha?
duh yani ndivyo unavyoamini hivyo 100% kuwa mtu aliye train self defence akawiva anachapwa na mtu wa ngumi za kienyeji provided ngumi za kienyeji man ana guts za kutosha kumkabili jamaa?nyani hapo hakuna swala la anything goes,issue ni whether you got the fighting skills or not.Huna ujuzi utachezea kichapo hata kama utaita washkaji zako na mje na panga!
 
NN hiyo story yako umenikumbusha sensei mmoja anaitwa Charles alikuwa anafundisha pale shule ya Kisutu, katoka zake kunywa pombe na mwanakarate mwenzake wanatembea along Shekilango road watoto wa kihuni wakawaotea kutaka kuwaibia. Walipeana kichapo we watoto wa kihuni wakaishia kutoa dozi na master aliacha kupita ile njia kwa mguu.

Mfano mwingine nina rafiki yangua naye alikuwa anafanya hiyo michezo ya kuruka ruka tangu primary naye siku ya siku kaviziwa pale Keko ngazi mbili karusha rusha mateke na ngumi jamaa akamuotea na kipisi cha nondo cha usoni akazirai.
 
nyani hapo hakuna swala la anything goes,issue ni whether you got the fighting skills or not.

Hakuna rules kwenye streefighting...hakuna referee atakayesimamisha mpambano kama umezidiwa, hakuna rounds wala nini.....hiyo ndiyo maana ya anything goes....now what part of that don't you understand?

Na streeft fight most likely itakuwa ni brawl i.e. man to man, hand to hand , and everything else around you....hiyo ndio maana ya anything goes....kipi kigumu kuelewa hapo?
 
Last edited:
Mfano mwingine nina rafiki yangua naye alikuwa anafanya hiyo michezo ya kuruka ruka tangu primary naye siku ya siku kaviziwa pale Keko ngazi mbili karusha rusha mateke na ngumi jamaa akamuotea na kipisi cha nondo cha usoni akazirai.

Mwambie huyo Icadon...kwenye streefighting hakuna cha usensei au u master.....anything goes....kuanzia vitofa....visu...chupa....hadi mkia wa taa....
 
Hakuna rules kwenye streefighting...hakuna referee atakayesimamisha mpambano kama umezidiwa, hakuna rounds wala nini.....hiyo ndiyo maana ya anything goes....now what part of that don't you understand?

Na streeft fight most likely itakuwa ni brawl i.e. man to man, hand to hand , and everything else around you....hiyo ndio maana ya anything goes....kipi kigumu kuelewa hapo?


ndiyo maana nasemaje kinachomata ni ujuzi,kama huna utanyukwa awepo refa asiwepo,kuwe na round kusiwe na round,uwe na panga usiwe na panga,ngumi za mtaani au ulingoni.
haya mambo ya kumkabili mtu mwenye silaha,kupigana na mtu zaidi ya mmoja yote yanafundishwa kwenye martial arts
wewe hujawahi kwenda dojo ndiyo mana huyajui yote haya.kwa taarifa yako mazoezi ya viungo ya dojo kama mwalimu mzuri ni tosha kabisa kumdhibiti mtu asiye na mazoezi wacha zile teknikali zenyewe za mchezo.
 
ndiyo maana nasemaje kinachomata ni ujuzi,kama huna utanyukwa awepo refa asiwepo,kuwe na round kusiwe na round,uwe na panga usiwe na panga,ngumi za mtaani au ulingoni.
haya mambo ya kumkabili mtu mwenye silaha,kupigana na mtu zaidi ya mmoja yote yanafundishwa kwenye martial arts
wewe hujawahi kwenda dojo ndiyo mana huyajui yote haya.kwa taarifa yako mazoezi ya viungo ya dojo kama mwalimu mzuri ni tosha kabisa kumdhibiti mtu asiye na mazoezi wacha zile teknikali zenyewe za mchezo.

Hivi utakikabili vipi kitofa kilichoelekezwa kwako? Utakabili vipi chupa?
 
hebu cheki hii [ame]http://www.youtube.com/watch?v=KTM4KxJ67aI[/ame]

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=tbiXiBUUohk"][/ame]
 
Hivi utakikabili vipi kitofa kilichoelekezwa kwako? Utakabili vipi chupa?


teknikali ni kabla ya zana yoyote kutupwa kiungo kinachotaka kutupa lazima kidhibitiwe.kitendo cha kunyanyua mkono upige panga basi unafanyiziwa kitu mbaya palepale kwenye makwapa yako
nenda dojo mkuu utajifunza mengi sana huko!
 
Si bora huyo kakwida tu, wa-bongo wenzake wangemtia tairi wakamchoma moto!
 
Back
Top Bottom