Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
kaatumwa na iran
Kweli kabisa haina ubishi ndio huyo ndio mpiga firimbi, RA pia ndie aliyemteua Hoseah wa TAKUKURU
Ili kuondokana huu utawala wa kishenzi, 2015 tufanye kweli sasa tutawale nchi yetu wenyewe, kwa kumuweka Dr. Slaa na CHADEMA madarakani Amen
RA is from Iran. Demographic ya Iranians ni Persians (51%), Azerbaijanis (24%), Gilaki and Mazandarani (8%), Kurds (7%), Arabs (3%), Baluchi (2%), Lurs (2%), Turkmens (2%),.
Huyu jamaa sio mhindi.
jaribu kufanya uchunguzi wa hayo yanayosemwa juu ya RA then wwe mwenyewe ndo utajua ukwelindg wana jf
Nimesikia mengi sana kumhusu mhe. huyu (RA). Mimi bado najihesabu kuwa ni mgeni humu jf na bahati mbaya si mjuzi sana na mfuatiliaji wa mambo ya siasa pengine labda kutokana na taaluma yangu ambayo hainipi mwanya sana kuchunguza maisha ya watu. Hata hivyo kama ilivyo slogan yetu (Great thinkers) huwa nalazimika wakati mwingine kujiuliza juu ya yale yanayoelezwa kuhusu mh. RA.Kuna thread nyingi sana humu jf zinazomzungumzia RA na hata zile ambazo hazitaji jina lake ndani ya michango wa wana jf huibuka jina la RA na kunifanya nijiulize ukweli wa yanayosemwa na jinsi ninavyomfahamu mhe. huyu kidogo.
Ndg wana jf
Sina comment juu ya nguvu aliyonayo mhe. huyu serikalini kwa sasa kwa kuwa sina data. Utata unakuja pale misamiati kama jasusi, pandikizi la Iran, na wengine kumfananisha na gaidi. Bahati nzuri mimi nafahamu hadi kijijini kwao na amekua namuona. Amezaliwa katika kijiji cha mwisi na amesoma na kaka yangu katika shule ya msingi Isenegeja wilayani igunga. Wazazi wake nawafahamu (Walikuwa wakijishughulisha na uuzaji wa ngozi) ingawa kwa sasa wengi hawapo hapo mwisi wamebaki ndugu wengine kama wajomba n.k. Baada ya kumaliza s/m hata kaka yangu anasema hajui alikwenda kusoma sekondari wapi na shahada ya kwanza ingawa masters ya uchumi amesomea uingereza. Aliibuka mwaka 1994 kugombea ubunge baada ya kifo cha Marehemu Charles Kabeho. Nilibahatika kuhudhuria katika kampeni zake. Si mjuzi sana wa kujieleza. Kampeni zake nyingi alikuwa na m/kiti wa CCM wa mkoa wa tbr wakati huo mzee Mkumba na kikundi cha ngoma cha Mwinamila.
Hoja
Je haya ( kuhusu ujasusi, ugaidi, pandikizi la Irani) kumhusu RA tuyachukulie kama ni chuki binafsi/wivu (wa kibiashara) au jokes
Note: achilia mbali ufisadi na nguvu yake serikalini, sina comment maana sina data
Naomba kuwasilisha.
Polisi
Senior Member, JF
Umejaribu kujieleza kwa tahadhari sana huenda inaonekana kuna jambo unahofu ndiyo maana unacomment kwa kuvizia vizia ila siku zote mtu hujijengea taswira yake mwenyewe kulingana na ayatendayo iwe kwa uzuri au kwa ubaya so huyu RA Kutokana na matendo yake ya kuihujumu nchi amejijengea taswira mbaya mbele ya wananchi jua yeye ndiyo amemuweka JK madarakani kwa hela alikwapua KAGODA amehakikisha anamweka Anna Makinda spika ili kujiwekea mazingisa ya ulaji, amehakikisha aliyekuwa mwanasheria wake vodacom zamani NGELEJA anabakia wizara ya nishati na madini ili kufunika issue ya DOWANS tena enzi za Mwl. Sijui angempa jina gani kwani hata hili la jasusi lisingemtosha.