Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,237
- 44,470
Ushahidi upo wazi kuliko wa Kagoda na RA
si uuweke hadharani utatosha kunidiscredit na kufunga shughuli zote. Au ndiyo yale yale ya kina Feleshi "nawajua lakini siwezi"? I double dare you.