This is Dowans HQ in Costa Rica - (Pictures)

This is Dowans HQ in Costa Rica - (Pictures)

Ndio hivyo tena na pia Ndio viongozi wetu tuliwachagua kwa kutumia mafiga matatu na tena kwa ushindi mkubwa sana
 
ukweli hubakia kuwa ukweli..
ukweli kwamba watanzania wanapenda vya bure?

How can I make it accessible to "all" without incurring some costs or sharing some cost with others?


It is fair kwa sababu Majira wanapata matangazo ya biashara, wanauza nakala zao mitaani, na law of diminishing returns still apply.



for the cost that we have incurred for both.

kwa nini na wewe usifuate business plan yao? In the end we have to call a spade a spade. Hii ni biashara na ku-charge hela ni njia ya kuji-support. A steadier longterm plan would be more beneficial badala ya kubana watu na kuwa-charge pale unapokuwa na critical news tu ambazo ni haki ya wananchi wote kuzijua. Au sio?
 
A steadier longterm plan would be more beneficial badala ya kubana watu na kuwa-charge pale unapokuwa na critical news tu ambazo ni haki ya wananchi wote kuzijua. Au sio?

simbani mtu na unasema kana kwamba nimewahi kuwacharge watu tangu kijarida kianze (matoleo zaidi ya 44 ambayo ndani yake kuna habari "critical") Ukiangalia hilo pendekezo la kati ya 20/25 (leaning towards 25) ni kidogo sana ukilinganisha na gharama ya matoleo yote yaliyowahi kutokea.. It is less then 56 cents (USD)!

Long term plan ni kucharge kwa kila toleo kama yanavyofanya magazeti mengine au kuanza kupokea matangazo ya biashara.
 
MKJJ, nataka kulipia hiyo nakala,please naomba maelekezo ya jinsi ya kulipia,or should I pay kupitia kwa account ya Maxence? Na je naweza kulipia kwa Tshs equivalent of $25?
 
Ambaye amezoea vya bure basi akae tu pembeni asubiri matoleo yetu mengine. Hili ni toleo maalum kwa wanaotuunga mkono na njia ya kutuunga mkono ndiyo hiyo.

simbani mtu na unasema kana kwamba nimewahi kuwacharge watu tangu kijarida kianze (matoleo zaidi ya 44 ambayo ndani yake kuna habari "critical") Ukiangalia hilo pendekezo la kati ya 20/25 (leaning towards 25) ni kidogo sana ukilinganisha na gharama ya matoleo yote yaliyowahi kutokea.. It is less then 56 cents (USD)!

Long term plan ni kucharge kwa kila toleo kama yanavyofanya magazeti mengine au kuanza kupokea matangazo ya biashara.

From the earlier statements, you didn't appear to have that goal. But it's alright, now its clear and understandable...we all have cover our costs somehow, afterall nothing is for free in this world. Kila la kheri katika kazi yako mkuu. Nadhani CHECHE litakubalika hata katika hali ya kibiashara.
 
tatizo letu waswahili,ikifika kwenye swala la hela,TUNABADILIKA KABISAAAAA!bs'e tunapenda sana vitu vya bure(misaada).lakini hii dhana ya 'misaada' na 'kuombaomba' tumedesa mbali sana!hata mkubwa wa hii nchi anahaha dunia nzima kulihangaikia hilo tu!THOUGH,JF MEMBERS MUST CHANGE AND ELIMINATE THIS THINKING ATTITUDE IN OUR MINDS.hii ni kwa yoyote anaehusika!

Mimi nakuunga mkono kuwa Watanzania tunahitaji kubadilika.Sasa ikiwa tuko serious tuanze na kugharamikia kijarida cha cheche chenye habari ya Meremeta,tukilipia nafikiri tutapata uchungu wa kuhakikisha kuwa habari hii inasambaa kwa upana unaostahili.

Tuanze mabadiliko hapa jamvini kwa kununua kijarida hicho na kukisambaza,mbona majarida mengine yasiyo na habari za maana tunanunu sembuse cheche yenye Meremeta na Tangold.Mkulu tueleze tutakipataje kijarida hicho wengine tuko tayari kukigharamikia.
 
Kinachonifurahisha ni jinsi tabia ya kutopenda kulipia vitu imegeuzwa kuwa tabia ya watanzania!! Can imaginary borders really create a personality?
 
You guys, dont spin

Semeni utaratibu wa kulipata 'Cheche special edition' wengine tuko tayari kununua,

Watanzania ni wagumu sana wa kuchangia hata maswala yanayowasaidia wao wenyewe na familia zao,

Please, advice on how to go about getting this important doc,

M.
 
MKJJ, nataka kulipia hiyo nakala,please naomba maelekezo ya jinsi ya kulipia,or should I pay kupitia kwa account ya Maxence? Na je naweza kulipia kwa Tshs equivalent of $25?

Nyamizi.. tukishakamilisha mipangilio tutawajulisha; na yes itawezezekana kutumia Tshs.
 
Tatizo sio kuchangia, bali ni huyo mkusanyaji wa michango huko nyuma alishawahi kuwaachia watu "manyoya".

Mozo awe sigago mkaruka. Katika hiyo michango ya nyuma wewe ulitoa kiasi gani? Waliochanga kama kweli ziliyeyuka hawajasema hapa wewe ambaye hukutoa nini kinakuuma. Wafuasi wako Mkama P na GT wamekaa kimya kwa kuwa wanafahamu hawakutoa. Na kuonyesha ni majungu hakuna hata mtu mmoja aliyekuunga mkono kuhusu uzandiki wako huu.
 
Nyamizi.. tukishakamilisha mipangilio tutawajulisha; na yes itawezezekana kutumia Tshs.

Thanx mkuu,once again I salute kwa kazi mnayofanya wewe na team yako nzima.Nasubiri maelekezo ya jinsi ya kulipia.God bless u and the entire dedicated team of CHECHE!
 
Nadhani kuna haja ya viongozi wetu kuwa serious na jambo hili. Dowans katuongezea umasikini Tanzania kwa kuongeza mzigo Tanesco na kulifanya shirika lishindwe kupunguza gharama za umeme. Hawa watu ni wauaji wakubwa!
 
Mzee Mwanakijiji, umefanya kazi nzuri sana ya kutafuta ukweli kuhusu Dowans. Nitashangaa sana kama Serikali itakaa kimya au kutokuchukua hatua dhidi ya Dowans ikiwa ni pamoja na kuichukua mitambo yao yote. Kwanza wanadaiwa na Tanesco na TRA, hivi ni kitu gani kinachelewesha kuichukua mitambo hiyo? Hvi karibuni "msirika" mkubwa wa Dowans alikuwa anaongea na wafanyabiashara mbali mbali kutaka kuiuza mitambo ile, je, Serikali inasubiri mpaka auze ndio waamke?
 
Nakubaliana na wewe Tumain, lakini kuna haja ya kuwa na mkakati mzuri. Mzee Mengi alijitokeza hadharani akaanika mafisadi hadharani kwa majina yao. Kuna wananchi wenzetu wakajitokeza kuwatetea mafisadi kwa visingizio mbali mbali vikiwamo vya ubaguzi na vinginevyo. Hoja hapa ni hujuma zinazofanywa na watanzania wenzetu kwa Taifa bila kujali rangi, kabila, dini au jinsia yake. Watanzania, tujifunze kuwa na uchungu na nchi yetu.
 
Hivi yule Mwarabu wa UAE aliyejitokeza na kudai kuwa Dowans ni kampuni yake, ameipata habari hii kweli? Natamani sana kumsikia atakuja na ngonjera gani safari hii. Najua jamaa zangu wa pale NBS Ubungo wanahaha sasa hivi kuvuta kwa wamiliki halali wa Dowans ili wawasafishe ktk vyombo vya habari na ktk mitandao mbali mbali.
 
umh! mambo haya ni makubwa. Thanks Enigma.
Hivi mamiradi makubwa yenye maslahi na usalama wa Taifa, huwa hukuna vet ya usalama wa Taifa? ok, usalama working for some peoples.

Hili ni balaa siu hizi hakuna usalama wa taifa ni jina limebaki.
 
Enigma pongezi kwa kazi nzuri na pole sana.

Kama mambo yako hivi tena wazi kabisa hawa jamaa wanataka walazimishwe kwa mtutu kuseize mali za dowans. Inabidi kuipigia kelele tu mpaka hapo watakapo chukua hatua.

Pia kazi mliyofanya ni kubwa, trip za huko its expensive plus risk maana hizo ndege zinavyoanguka mhh(joke). Vitu kama hivi vinafanyika kwa gharama za watu wachache lakini tunafaidi wengi. Mimi nadhani kwa burning issue kama hizi kawekwe kaamount fulani watu tuchangie ili jamaa warudishe japo gharama kidogo walizoingia.

Endeleza mapambano mpaka kieleweka hakuna kulala.
 
MMJJ mkimaliza maandalizi mnijulishe jinsi ya kupata kopi. Unaweza pia kutumia utaratibu wa mail zile kuwatumia page inayoonyesha contents ili aliyeinterested aweze kuapply. Poleni kwa kazi ngumu tupo pamoja. Achana na watu wanaopinga kwani huwa lazima wawepo. Wapenda kutafuniwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom