This is Dowans HQ in Costa Rica - (Pictures)

tatizo letu waswahili,ikifika kwenye swala la hela,TUNABADILIKA KABISAAAAA!bs'e tunapenda sana vitu vya bure(misaada).lakini hii dhana ya 'misaada' na 'kuombaomba' tumedesa mbali sana!hata mkubwa wa hii nchi anahaha dunia nzima kulihangaikia hilo tu!THOUGH,JF MEMBERS MUST CHANGE AND ELIMINATE THIS THINKING ATTITUDE IN OUR MINDS.hii ni kwa yoyote anaehusika!
 
mkjj,mtu anaweza kununua jarida akaliupload hapa jamii,watu wakafanya kuprint tu!vipi hilo uliliangalia?na umelisolve vipi?
 
otherwise mimi nilikuwa nashauri kitu tofauti kidogo.
Ungeweka lumpsum fulani then members tukaingia mifukoni kukinunua kwa niaba ya forums!i think thhat can be very fair ESP KWAKO WEWE
 
otherwise mimi nilikuwa nashauri kitu tofauti kidogo.
Ungeweka lumpsum fulani then members tukaingia mifukoni kukinunua kwa niaba ya forums!i think thhat can be very fair ESP KWAKO WEWE

Mtu akilipa halafu akapost hapa wakati anajua kuwa lengo ni kuraise funds.. huyo ni mhujumu wa juhudi zetu. Ukilipia jichukulie jisomee mwenyewe na mtu mwingine akitaka mwambie na yeye anunue (hii ni kwa toleo hili tu). Mengine ya baadaye tutaendelea kutoa bure.
 
tatizo letu waswahili,ikifika kwenye swala la hela,TUNABADILIKA KABISAAAAA!bs'e tunapenda sana vitu vya bure(misaada).lakini hii dhana ya 'misaada' na 'kuombaomba' tumedesa mbali sana!hata mkubwa wa hii nchi anahaha dunia nzima kulihangaikia hilo tu!THOUGH,JF MEMBERS MUST CHANGE AND ELIMINATE THIS THINKING ATTITUDE IN OUR MINDS.hii ni kwa yoyote anaehusika!

Tatizo sio kuchangia, bali ni huyo mkusanyaji wa michango huko nyuma alishawahi kuwaachia watu "manyoya".
 
Tatizo sio kuchangia, bali ni huyo mkusanyaji wa michango huko nyuma alishawahi kuwaachia watu "manyoya".
Hili sina uzoefu nalo!natumai anakujibu sasa hivi!as for me,i believe!i have a faith in this project,provided i get what i want to read
 
i am not going anywhere mpaka masatu atamke lolote hapa!..................
 
Aisee M.M naomba kuuliza je; hiyo tofauti ya bei ina mahusiano yoyote na contents zitakazo kuamo ktk toleo la kijarida chetu, au ni namna ya unapimaji wa nguvu za manunuzi tu?
 
Aisee M.M naomba kuuliza je; hiyo tofauti ya bei ina mahusiano yoyote na contents zitakazo kuamo ktk toleo la kijarida chetu, au ni namna ya unapimaji wa nguvu za manunuzi tu?

zaidi ni kutokana na ugumu wa kazi yenyewe na uzito wa kile kilichomo. Lakini zaidi pia ni kwa sababu tunataka wenye kutaka hasa kujua ndio wajue na njia pekee ni ya wao kuonesha kuunga mkono juhudi za timu nzima ya Cheche ambayo imekuwa ikijiendesha kwa kujitolea lakini hali ngumu ya uchumi inatishia kufikia makubwa zaidi.

Kutuma vi-nzi kwenda Costa Rica n.k siyo bure ni lazima mtu alipe. Sasa ni rahisi zaidi kukaa mahali na kuchukua kijarida kukisoma na kupata info za ndani sana (ambazo huwezi kuzipata kwenye chombo kinachomilikiwa na wakubwa huko Bongo) lakini ni jambo jingine kabisa kuunga mkono. NI kwa sababu hiyo, wale watakaolipia ndio watapa uhondo huo wenye kuambatana na vielelezo nyeti.

Ambaye amezoea vya bure basi akae tu pembeni asubiri matoleo yetu mengine. Hili ni toleo maalum kwa wanaotuunga mkono na njia ya kutuunga mkono ndiyo hiyo.
 
duh.. hiyo gharama ya kutoa bure nani analipia?

na zile za zamani ilikuwaje?

tatizo letu waswahili,ikifika kwenye swala la hela,TUNABADILIKA KABISAAAAA!bs'e tunapenda sana vitu vya bure(misaada).lakini hii dhana ya 'misaada' na 'kuombaomba' tumedesa mbali sana!hata mkubwa wa hii nchi anahaha dunia nzima kulihangaikia hilo tu!THOUGH,JF MEMBERS MUST CHANGE AND ELIMINATE THIS THINKING ATTITUDE IN OUR MINDS.hii ni kwa yoyote anaehusika!

mh...nadhani vitu vya bure vinapendwa na kila mtu, sio watanzania tu. Ni human nature more than anything. Ndo maana adverts nyingi utasikia buy one, get one free, nk. Long story short...dont blame everything on your nationality.

zaidi ni kutokana na ugumu wa kazi yenyewe na uzito wa kile kilichomo. Lakini zaidi pia ni kwa sababu tunataka wenye kutaka hasa kujua ndio wajue na njia pekee ni ya wao kuonesha kuunga mkono juhudi za timu nzima ya Cheche ambayo imekuwa ikijiendesha kwa kujitolea lakini hali ngumu ya uchumi inatishia kufikia makubwa zaidi.

Kutuma vi-nzi kwenda Costa Rica n.k siyo bure ni lazima mtu alipe. Sasa ni rahisi zaidi kukaa mahali na kuchukua kijarida kukisoma na kupata info za ndani sana (ambazo huwezi kuzipata kwenye chombo kinachomilikiwa na wakubwa huko Bongo) lakini ni jambo jingine kabisa kuunga mkono. NI kwa sababu hiyo, wale watakaolipia ndio watapa uhondo huo wenye kuambatana na vielelezo nyeti.

Ambaye amezoea vya bure basi akae tu pembeni asubiri matoleo yetu mengine. Hili ni toleo maalum kwa wanaotuunga mkono na njia ya kutuunga mkono ndiyo hiyo.

so pesa determines who gets to know more about their country...rite? Don't you think what you do is a public duty? And therefore you should try as much as possible to make it accessible to all without any discrimination.

My take: $20 for a 6page newpapers, compare to majira, yanayouzwa Tsh200, sio fair. Am i paying 20x the normal amount for MEREMETA or for the airfare cost za kwenda Costa Rica?
Sio nauliza kukuudhi au kuku-put down. I respect your work so much. Umefanya mengi sana na Mungu akujalie mengine mengi. I think katika field yako, tunaweza kusema kwa uhakika kabisa umebobea.
Kuna means nyingi za kuweza kuji-support katika kazi yako, lakini sio kwa ubaguzi wa pesa katika usambazaji wa kazi yako.
 
unajua wameharibu sana jina la wana usalama wetu kiasi kwamba kuoza kwa wachache kunafanya karibu wote waonekane wananuka.

Katika kazi ambazo nilipokuwa mdogo nilikuwa nazitamani UWT, was my best na hata baada ya kubadili mwelekeo, kuna siku niliwahi kutamani kumshawishi mdogo wangu mmoja ambaye kwa mtazamo wangu nilimwona kuwa anafaa kutokana na maadili aliyokuwa nayo. Lakini kwa sasa najiona fahari kutokuwa sehemu ya yanayofanywa na hawa wenzetu. Naamini kabisa kuwa UWT si wazalendo tena kama walitarajiwa kuwa.
 
Tatizo sio kuchangia, bali ni huyo mkusanyaji wa michango huko nyuma alishawahi kuwaachia watu "manyoya".

...wewe Masatu hao inzi wenye "manyoya" umewaonea wapi?
...kumbuka ubawa mmoja ukinyofoka bado inzi wengine wanaendelea kupaa, hawaishii kuchechemea tu ;)
 
na zile za zamani ilikuwaje?

mimi nilikuwa nalipia kwa mwaka mzima!


mh...nadhani vitu vya bure vinapendwa na kila mtu, sio watanzania tu. Ni human nature more than anything. Ndo maana adverts nyingi utasikia buy one, get one free, nk. Long story short...dont blame everything on your nationality.

ukweli hubakia kuwa ukweli..


so pesa determines who gets to know more about their country...rite? Don't you think what you do is a public duty? And therefore you should try as much as possible to make it accessible to all without any discrimination.

How can I make it accessible to "all" without incurring some costs or sharing some cost with others?

My take: $20 for a 6page newpapers, compare to majira, yanayouzwa Tsh200, sio fair.

It is fair kwa sababu Majira wanapata matangazo ya biashara, wanauza nakala zao mitaani, na law of diminishing returns still apply.
Am i paying 20x the normal amount for MEREMETA or for the airfare cost za kwenda Costa Rica?

for the cost that we have incurred for both.
Sio nauliza kukuudhi au kuku-put down.

You can not put me down; others have tried and have miserably failed. So huwa naelewa mitazamo tofauti.
I respect your work so much. Umefanya mengi sana na Mungu akujalie mengine mengi. I think katika field yako, tunaweza kusema kwa uhakika kabisa umebobea.

we will let time be the right judge of that. Thank you though.

Kuna means nyingi za kuweza kuji-support katika kazi yako, lakini sio kwa ubaguzi wa pesa katika usambazaji wa kazi yako.

Hii ni mojawapo. Kama unajisikia kubaguliwa sorry don't support it.
 
Back
Top Bottom