Third terminal at Dar es Salaam airport



Wakati Hartsfield–Jackson Atlanta International Airport na airports nyingine walishapita capacity ya 50,000,000 sisi tunazungumzia "utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia 6,000,000 kwa mwaka". Dubai wanajenga aiport mpya na UTAKAPOKAMILIKA hivi karibuni utahudumia zaidi ya abiria 160,000,000 na mizigo tani 12,000,000 kwa mwaka (Ref. Dubai opens 'world's largest' airport).

Dubai ni nchi ambayo kwa takwimu za mwaka huu (2013) ina population ya 2,106,000 while Tanzania ina almost 44,000,000 including Zanzibar.
 

Leadership haichipuwi kwenye miti. Unataka kiongozi awe Slaa? au Afande Sele? au DJ?
 
kwa maana watanzania hatuwezi kujenga uwanja kama wa oliver tambo au Schiphol....., tusigeze huko tuangalie Kenya, Zimbabwe, Ruanda kwamaand hao ndio tunao fanana nao kiuchumi......! CDM noumer!
 
I think it could be difficult for me to go through all the contributions. But the information given by our friend RITZ has some force facts. The one responsible for building terminal three (third terminal as he mentioned) is Tanzania Airports Authority not Tanzania Civil Aviation Authority. The two Institutions differ on their objectives i.e TAA an Operator for air transport and TCAA a regulator.
However photos are ok i may advise RITZ to contact TAA Legal and public relation office they can provide with him facts on the project. OR contact the project Director Eng Mohamed Millanga TAA head office.
 
Kikwete ndie resident Consultant wa ujenzi. maana yeye ndie analala kwenye Airports nyingi duniani.
Kikwete ndie aliyechora michoro ya Airpot - nadhani mchoro huuu ndio alioupenda zaidi (copy and paste Kingston - Jamaica))
 
maajabu ya maCCM wanajenga uwanja wakati shirika la ndege la taifa lina ndege 1 tena na kukodi. ukitua JNIA usiku unakuta maofisa wengi wa uhamiaji na usalama wamepiga mbonji ukidadisi kulikoni unaambiwa ndege ni chache hivyo system inakua too idle then ina hibernate
 
Hatuwezi kuwa sawa na wazungu,,they are miles ahead of us,,but that doesn't mean that we shouldn't be proud of the little we have.
 
Dubai habari ingine unataka kutufananisha nayo nchi za Ulaya na
miji ya Marekani hawawezi kuifikia Dubai kwa upande wa airport.

Unaitaja Hartsfield Jackson wakati hiyo ndiyo airport kubwa duniani unataka tujenge kama hiyo?
 
Nadhani hii terminal imechorwa kwa kuzingatia ufinyu wa eneo lenyewe la airport ya sasa ambalo limezungukwa na makazi ya watu na halina nafasi ya kupanua zaidi bila kuingia gharama kubwa ya kuwalipa fidia wananchi ili kuwabomolea makazi yao. Ila ukweli unabaki kuwa airport hii haitakidhi mahitaji ya usafiri nchini ndani ya muda mfupi ujao..
 
Wajenge tu japo tuambulie hizo maana tunaweza kukosa vyote na tusijue pesa zimekwenda wapi
 
all in all..tanzania tunataka kujenga new terminal full stop na picha ndio hizo..toa maoni yako sio hizi politics za kisheria mara umekosea jina mara objectives...changia unavyouona huo uwanja..sio unajengwa keshokutwa unakuja kulalamika uwanja mdogo mara hautoshi mara blahblah..this is your time toa maoni..sio kurekebisha hoja zisizokuwa na mashiko.

Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti...zidumuuuu
 

kwahiyo unapendekeza ujengwe wapi kwenye maeneo makubwa?..chalinze? Bagamoyo?...hai kilimanjaro?....hivi pale kia hapafai kujenga terminal kubwa ili wageni wakija wafikie kia then waende mbugani na mlimani kisha wapande ndege ndogo kuja dar??
 
Huu mradi ulipaswa uende sambamba na uimarishaji wa miundo mbinu mingine kama upanuzi wa barabara na ujenzi wa flyover ili kuufanya mji kufikika kirahisi kila upande vinginevyo mradi utakuwa hauna maana
 
Wakati unafikiria hayo unatakiwa vilevile kuzingatia location ya uwanja wa ndege wa dar es salaam. Si tu kwamba umezungukwa na makazi ya watu bali pia upo karibu sana na mjini! Kutokana na hilo huwezi tu kuu-expand utakavyo bila kuzingatia suala la location ya uwanja. In addition to that, uwanja utakuwa na uwezo wa ku-cater 6 million passengers....hii si kwamba hiyo idadi itafikia within a year or two! Kenya for instance, pamoja na kwamba uchumi wa nchi hiyo ulianza kufunguka tangu miaka ya sitini, bado hadi leo Jomo Kenyatta ndo inakaribia(haijafika) kufikia kuhudumia abiria 6 million a year!! Dar es salaam kwa sasa nadhani ndo wanakaribia abiria 2 millions; so when it's said kuhudumia 6 millions passengers ndo basi tena, uwanja ukishakamilika inafuata influx ya abiria!! But in addition, uwanja uliopo kwa sasa unahudumia wageni wanaokaribia 2 millions, huo uwanja si kwamba unabomolewa, bado upo na utaendelea kuwapo! Hata kama wanasema utatumika ku-save domestic flights, kama itaonekana ni lazima international flights ziendelee kutumia hapo basi hiyo option ipo na itaendelea! Lakini pamoja na yote hayo nadhani watu wanasahau kwamba this's not all about how big ur airport is but economic and social activities available in the country ndizo zinazo-determine ukubwa wa uwanja! Kuna wengine wanatolea mfano wa Dubai huku wakisahau kwamba angalau 50% of world population yenye uelewa; wangependa kufika dubai at least once in their life time! This also apply to US or South Africa(historia ya SA imekuwa kivutio cha world population kutamani kufika huko)! So, wakati tunafikiria suala la kuwa na uwanja kama ule wa Oliver Tambo tunatakiwa vilevile kuangalia socio-economic activities zilizopo na kufanya forecasting.
 

Rank
Airport
City
Country
Passengers Annually (2011)
1OR Tambo International AirportJohannesburgSouth Africa18,922,346
2Cairo International AirportCairoEgypt13,037,541
3Cape Town International AirportCape TownSouth Africa8,436,562
4Mohammed V International AirportCasablancaMorocco7,290,314
5Hurghada International AirportHurghadaEgypt5,875,423
6Jomo Kenyatta International AirportNairobiKenya5,803,635
7Sharm el-Sheikh International AirportSharm el-SheikhEgypt5,476,388
8King Shaka International AirportDurbanSouth Africa5,038,231
9Murtala Muhammed International AirportLagosNigeriaAround 5 Million
10Carthage AirportTunisTunisia4,606,033

When completed Terminal 3 will facilitate 6 million passengers annually – in line with the predicted growth of Dar es Salaam's international air traffic – leaving the current international Terminal 2 to deal with domestic flights.
 
Mkuu Ritz si lazima ijengwe airport kama ya Dubai, lakini hiyo picha nilioina ya hiyo terminal III bado ni aibu sana kwa nchi kama yetu kuwa na airport kama hiyo. It's a joke!
Hiyo airport ilitakiwa iwe mikoani.
 
Mkuu Bukyanagandi

Angalia hili jengo la Jomo Kenyatta.

 

Unajicontradict. One one side you agree with me on the resticted land availabilty around the airport, on the other you dispute the notion that moving and building a newer modern and spacious (land wise) as being impractical.
Bila shaka hatuwezi kujilinganisha na Dubai, lakini kama ulikuwa unafuatilia maendeleo yake, ungefahamu kuwa as recently as in early 70's Dubai kimaendeleo ilikuwa tunakwenda nayo sambamba kabisa.

Ukichukulia bahati ya natural resources zetu na upatikanaji wa bidhaa za mafuta, ungeona iko haja ya kuangalia mbali kidogo na kujiyarisha kwa kihamisha kiwanja cha ndege.
Kipawa hapatoshi na wala hapafai tena kuwa na International Airport.
That's my two cents' worth!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…