msinidanganye
Member
- Nov 17, 2012
- 15
- 1
du kwann ulikataa hujui kwamba atakuwa ameshajifunza kutokana na makosa na mngeishi tu vzur?
Imekula kwako!
du kwann ulikataa hujui kwamba atakuwa ameshajifunza kutokana na makosa na mngeishi tu vzur?
Alikutosa kwa kuolewa na mtu mwingine baada ya kuona unatumia kichwa kufugia nywele badala ya kufikiri. Wewe utatumiaje pesa zote hizo kwa mtu ambaye hujakubaliana naye?
ujawai kupenda mkuu
Kama kupenda ni kushindwa kutumia akili basi heri nisipende maisha! nyie ndio wale jamii inachuma dhamba pale inapoona umewekewa limbwata
Usijali kaka yangu utampata wakwako tu hata $1 hutotumia
mie mwenzako niliiuguza mtu hawezi kula,kunywa namvalisha pampers,namnawisha mavi,naangalia mipira ya mikojo isimwagike yeye analala mimi nakesha kumlinda
alivyotoka hospital akaja kutembelewa na rafiki yake wa kike ambae alikuja na rafiki yake aakachukua contacts na kuanza mawasiliano
kesho yake akaanza visa na kuniacha kweupe kwa matus,kejel na dharau
hospital nilichange dollar 100 kwa ajili ya kumpa mtu anitengenezee passport nikatumia kwa matumizi yake
matokeo yake ile dili ya kwenda out of country nikaikosa
hayo ndo mapenzi