Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Too bad!!
acha kabisaaa @Aspirin
Too bad!!
Ukimuona nistue nije nikusaidie kumlipizia kisasi..... Ntamsokomezea gunzi kwenye naniliyu yake ya kutolea naniliyu kubwa. Shenzy zake na nusu.acha kabisaaa @Aspirin
Usijali kaka yangu utampata wakwako tu hata $1 hutotumia
mie mwenzako niliiuguza mtu hawezi kula,kunywa namvalisha pampers,namnawisha mavi,naangalia mipira ya mikojo isimwagike yeye analala mimi nakesha kumlinda
alivyotoka hospital akaja kutembelewa na rafiki yake wa kike ambae alikuja na rafiki yake aakachukua contacts na kuanza mawasiliano
kesho yake akaanza visa na kuniacha kweupe kwa matus,kejel na dharau
hospital nilichange dollar 100 kwa ajili ya kumpa mtu anitengenezee passport nikatumia kwa matumizi yake
matokeo yake ile dili ya kwenda out of country nikaikosa
hayo ndo mapenzi
duuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!
Zamani nilikuwa napenda kusoma coments za Kongosho, hata kama nilikuwa si comment wala ku like but i was reading them. However, it seems like siku hizi amekua, probably kijamaa alichokipata siku hizi kimembadilisha sana. Then nikawa nasoma za Erotica, naye tangu amepata ile mimba feki ya mapacha amekuwa kama anapoteza msisimko hivi. Siku hizi i read za huyu lara 1, she makes me laugh or smile or even both.Mimi bwana NIKUMDANGANYA MY MUM NAENDA KUSOMA KWA RAFIKI YANGU USIKU, ANANIKODIA TAX NISIPATE MATATIZO NJIANI YA KUNIPELEKA NA KUNIFUATA, ANANIPA NA HELA YA JUICE, KOO LISITUKAUKE, ANAKAA MACHO HADI SAA 9 USIKU NIKIRUDI, ANANICHEMSHIA GLASS YA MILO, NA KUNIPA POLE KIBAO NA PONGEZI AFU TUNAENDA ZETU KULALA!!!!! KUMBE NILIKUWA KWA MY LOVE TUNACHEKI MOVIE NA KUPIGA MIKISS USIKU KUCHA!!!!!!!!!!!!!
Iko siku nitamuomba msamaha!!!!!!!!!! SEMA MITUSI YAKE ATAYOITOA NDO NITAKOMA!!!!!!! (Au nitauchuna tu, what you dont know cant KILL you)
Ukimuona nistue nije nikusaidie kumlipizia kisasi..... Ntamsokomezea gunzi kwenye naniliyu yake ya kutolea naniliyu kubwa. Shenzy zake na nusu.
Zamani nilikuwa napenda kusoma coments za Kongosho, hata kama nilikuwa si comment wala ku like but i was reading them. However, it seems like siku hizi amekua, probably kijamaa alichokipata siku hizi kimembadilisha sana. Then nikawa nasoma za Erotica, naye tangu amepata ile mimba feki ya mapacha amekuwa kama anapoteza msisimko hivi. Siku hizi i read za huyu lara 1, she makes me laugh or smile or even both.
Hahahahaaa usinambie siku hizi umekuwa "TomBoy" no bhana nahisi yule mzungu yuleeeee si unamjua yule aliyekuwa anakupeleka roho puta eeh? Asee kakubadilishaje!Nilikuwa mjamaa tangu kale
Wee ndio unabadilika, kutoka kupenda wajamaa hadi kupenda masista duu kama Kim Kadashan Lara
Hahahahaaa usinambie siku hizi umekuwa "TomBoy" no bhana nahisi yule mzungu yuleeeee si unamjua yule aliyekuwa anakupeleka roho puta eeh? Asee kakubadilishaje!
Yeeeeuwiiiii! Ndio maana siku hizi kama umekuwa na viwango hafifu hivi, sa nshajua sababu dah! Pole yakoBwana yule mzungu alienda kwao
Nimeibua ingizo jipya lakini. mchina
The worst thing in My love life,
Ni pale nilipompenda sana mchumba wangu,nikamvumilia kwa hali zote hata nilipoambiwa kwao wachawi,nikawakataa wengi kwa ajili yake after 2years,ndo nikajua ana mwingine tena rafiki yangu anadai najipendekeza kwake,
Kitu kibaya nilichofanya ni kuachana nae kwa jeuri na vitisho vya laana akinifuatilia.
I feel bad but it had to happen maana imenifundisha kuwa single for life..goodbye girls best of luck
That son of bitch yaani nilikuwa mgonjwa nikamwomba anichukulie hela bank akaenda akachukua hela zote na sikuwa na nyingn kaacha 9600 akachukua mwingine wakaenda kula starehe zanzibar 5days alafu akazma cm.anarudi na beg full pamba ananiambia ni za ndugu yake kkoo.nikazichabo roho ikakataa .nilipopata nguvu naenda bank nakuta hicho kiasi hapo na ckuwa na kazi ni hela nimelipiwa mwaka mzima na serikali nilibahatika kusomeshwa na goverment.lol ila nilimkomesha imemkost maisha yake yote akiniona anaishia kulia tu