The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

mazojms, Dunia ni center of universe and in all circular points kuna massive lands existing boundaries by boundaries thats why ni only nearly 1% percent ni discovery ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mazojms,
- Hamna kitu Gravity, I don't know ndio mnaita Gravitational Force. Just an Illusion

- Probably inaweza ika-sound lakini nachofahamu ni Foundation (Msingi) Uliopo.

- On other side kuna Mataifa kama ilivyo Dunia ndio same utakutana Nibiru, Vesta, Pulsar, Sedna, Ogle Tr, Mars etc. Baadhi ya hayo hayajawa na wakazi.

- Kusema "Mathematics Calculations" tayari inaonesha ni masuala yepi yaliokuathiri hadi kushindwa kutanabaisha haya.

Sergio
 
Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?
 
Gravity wanaielezea hivi
Kwakuwa upo Kwenye flat disc inaaccelerate upwards with an acceleration of 9.8m/s2. Hii inatengeneza illusion ya kuwa unavutwa chini Kumbe earth ndo inaenda juu. mazojms, Although kusema ukweli HAKUNA tofauti ya muokota makopo Milembe na flat earther

Flat earthers wengi hata hawaamini flat earth lakini ni clout chasers tu
 
mazojms, Mkuu unataka proof ok jisomee hizi points kwanza ukimaliza nakupa kitabu cha ushahidi ukimaliza nakupa hidden secrets za nje ya mipaka ya dunia yetu halafu wanadamu tumeumbwa tuweze kusurvive kwenye level scale,maji hata uyaweke wapi yatatafuta level meaning yawe straight in horizon,kingine meli zinatumia circumnavigation yani kuzunguka kwa kutumia duara sio mpira ,do you know why ndege zinaitwa air"PLANES"?

do you wanasayansi wote duniani wanatumia straightgeometry kujenga chochote na sio curvature ni kwasababu wanasababu za kukudanganya na mi nazielewa kwahiyo we fatilia taratibu dont believe in systems hiyo ni political and contrOl dogma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Earth kuaccelerate kwenda juu sio proof ya flat earthers hiyo assumption ilitolewa na shirika linajiita FES yani flat earth society ili kuonesha kuwa flat earthers wanatoa sababu za kijinga sisi tunaamini katika density na tuko intact na ardhi ya dunia
Gravity wanaielezea hivi
Kwakuwa upo Kwenye flat disc inaaccelerate upwards with an acceleration of 9.8m/s2. Hii inatengeneza illusion ya kuwa unavutwa chini Kumbe earth ndo inaenda juuAlthough kusema ukweli HAKUNA tofauti ya muokota makopo Milembe na flat earther
Flat earthers wengi hata hawaamini flat earth lakini ni clout chasers tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unataka kitabu ninacho internet wamefuta documents nyingi za flat earth na sasahivi ukituma video kuhusu flat earth unapigwa ban youtube hawataki kabisa watu wajue ukweli wa ulimwengu wao wanawalisha miziki,migames na movies kila siku ndani ya ubongo.
Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna video moja ilionyesha hili ilichukuliwa na mabaharia sijui ni wa nchi gani. Walionyesha vilevile mwezi ukionekana mpevu na mkubwa na upande mwengine kwa mbali kabisa nalo Jua likionekana ile umefika kwenye bahari yenyewe huoni chochote si mbele wala nyuma si kulia wala kushoto zaidi ya maji tu.

Upande wa Jua wingu likiwa na mwanga huku upande wa mwezi ukiwa na mwanga kidogo (giza kiasi). Jua na Mwezi vilionekana sawa na clip uliyoiweka inayoonyesha Jua na mwezi zikiizunguka Dunia. Nilishangaa sana!
 
Mkuu unataka kitabu ninacho internet wamefuta documents nyingi za flat earth na sasahivi ukituma video kuhusu flat earth unapigwa ban youtube hawataki kabisa watu wajue ukweli wa ulimwengu wao wanawalisha miziki,migames na movies kila siku ndani ya ubongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unitumie Mkuu.
 
Kuna video moja ilionyesha hili ilichukuliwa na mabaharia sijui ni wa nchi gani. Walionyesha vilevile mwezi ukionekana mpevu na mkubwa na upande mwengine kwa mbali kabisa nalo Jua likionekana ile umefika kwenye bahari yenyewe huoni chochote si mbele wala nyuma si kulia wala kushoto zaidi ya maji tu.

Upande wa Jua wingu likiwa na mwanga huku upande wa mwezi ukiwa na mwanga kidogo (giza kiasi). Jua na Mwezi vilionekana sawa na clip uliyoiweka inayoonyesha Jua na mwezi zikiizunguka Dunia. Nilishangaa sana!
Asante mkuu ,watu wamekuwa watumwa,mimi nilisoma science mpaka chuo ila namshukuru Mungu ufahamu wangu ulipenda sana kuhoji because am SKEPTICAL ikanifungua mengi sana sasa hivi sina hata wasiwasi kama nilivyokuwa kwenye ulimwengu wa dunia inayozunguka jua zaidi ya speed ya mwanga.kumbe ni michezo ya nasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah...mnajua mechanism za planet formation?

Sifa za planets mnzijua?
Ukijua basics kidogo to za astrophysics utaona kuwa flat earthers haina tofauti na wale wanaoamini kuna dunia chini ya bahari atlanters
 
Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi😃😃.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha,sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitunkinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?😃😃😃. Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara!!Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
April fool watu wameianza mapema sana mwaka huu tofauti na miaka mingine
 
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nakubaliana na wewe hayo yote ila kwenye umbo la dunia na kinzana na wewe.
 
- Mna mathematical calulations zozote zinazo sapoti concept yenu?
Kwanza kwanini unaweka "Mathematical Calculations" kama kigezo,kuna hesabu za kisayansi ambazo zina uhalisia nje ya makaratasi ?
 
Hahah...mnajua mechanism za planet formation??
Sifa za planets mnzijua?
Ukijua basics kidogo to za astrophysics utaona kuwa flat earthers haina tofauti na wale wanaoamini kuna dunia chini ya bahari atlanters
Mkuu sasahivi tanzania tupo upside down halafu dunia inazunguka kwa kasi sana yani astrophysics imetusaidia mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom