The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Hizi ulizo zitaja ni sababu za nje na huwa kama dharura ila kua zile sababu ambazo ni za dhati ya kifaa kinyewe. Swalila msingi ni kuwa je zikiondoka sababu hizo za nje, kifaa kinaweza kukidhi mahitaji na je ukomo utaondoka na ukamilifu utafikiwa ?

Safi kabisa, je huo umbali ni timilifu yaani unafika nchani au ukisogea mbele ya ukomo wa kifaa utaona tena mbali zaidi ?

Sijui umbali wa Mwezi kutoka hapa duniani ni kiasi gani na kadhalika sina uhakika na hicho kipenyo cha dunia, kwani majibu haya mawili yanatakiwa kuhakikiwa na kujua kama ni ya kweli au si ya kweli.
Mi nahisi lens sensor in zooming ability inauwezo kiasi gani kama ipo strong it can move far but not finity ila week hautaenda mbali ila hizo factor sio dharura ndo chanzo why we cant get far the horizon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajamshika mtu yeyote ni vile tu siwezi bishana na mtu mjinga

Da vinci kuwa muwazi you know Zurri well 😅

I will waste my energy here

Two weeks ago nlkueleza jinsi nlvyotumia AI kudevelop method flan ya kutibu mtu aliye paralyze mkono
And i was so busy nkakueleza nashindwa hata kukujibu now

Then mtu anakuja kukwambia quantum physics ni ushubwada tu aaah aisee nmemind sana kijana hizi ni dharau wazi wazi
Kaka inaonekana hujui maana ya Elimu, elimu sio dibaji na kusoma risala mbele ya mgeni rasmi, elimu ni ile ambayo uko nayo kifuani mwako, na unaweza kuitoa popote utakapo kuwepo.

Sasa unapokutana na mtu ambae anakutoa wasi wasi juu ya unachi mdhania, lakini hutosheki unaendelea kujificha kwenye kichaka cha ubishani na kwamba sitaelewa, hii ni ishara ya kuwa hicho unajifaragua kwacho hukijui, ndio maana unishia kutaja majina.

Bora kidogo chenye manufaa kuliko kingi chenye karaha.

Nipo....
 
Jamani masomo ya urubani ni free kabisa online ingia kasome ila ujue siri moja sio kuwa na malengo ya kua kuwa rubani

Hivi unajua ndege inaruka umbali mrefu sana pasipo kupaa kwa kujikunja kufuata the way dunia ilivyo but huwa inaenda straight tu?

Kama kuna satellite kwanini kuna mkonge duniani kote?
kwanini mmarekani mwenye teknolojia kubwa aliweza kupigwa na kushindw akujiokoa huko mapangoni kwa watu wa iran kisa tu hawawezi wasiliana na ndugu zao? na kumbuka wanasatellite yao binafsi?

Kwanini uwekewe mnara kwa babu yako kule upate shida ya network wakati ingeachiwa moja kwa moja kutoka juu ingefika kwa urahisi?

kwanini ndege zinawekewa rada chini duniani na hazitumii sattelite?

Siwaaaminishi muamini dunia flat ila nataka tujiulize na kujifunza kwanini baba anasema anahela laki mbili ndani lakini amekopa buku ya nauli
Kwa kuongezea ndege ina runturn moja kiuelekeo, there is something behind this! Nina proof about this lakini first nahitaji kuwafahamu watu vizuri hapa.
 
Mada ni fikirishi sana ingawa bado nasubiri facts za mtoa mada ili nichague upande.
Mkuu mtoa mada hukutakiwa kuanzisha uzi mgumu kama huu kwa kutegemea kutoa facts zako kwa kuulizwa maswali tu maana sio wote wanajua unavyojua wewe. Mfano mzuri angalia wewe na baba swalehe wote wataalamu wa quantum physics lakini bado kila mmoja anahisi mwenzake haijui vizuri quantum physics sembuse sisi tusioijua hata kuiandika?
Tunaomba utuambie ni kwa nini dunia ikiwa spherical sisi tunapunjika halafu wao wananufaika??
Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.
Hebu tusiongelee quantum physics kwa sasa bali tuelezee unayoyajua kuhusu dunia tambarare mkuu
 
Mi nahisi lens sensor in zooming ability inauwezo kiasi gani kama ipo strong ya can move far but not finity ila week hautaenda mbali ila hizo factor sio dharura ndo chanzo why we can get far the horizon

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikataka ithibati, ya kuwa ndio hizo factor zimeondoka, unaweza kuthibitisha uwezo wa Camera kufika ukamilifu na kujua ncha ya mwisho ya dunia ?
 
Shida ni pale unaweza kusema baiskel inatembea na hatuioni ikiwa katika motion

huwa najiuliza dunia inayozunguka km zaidi ya km9000 kwa saa inawezekanaje tusione ile purukushani sababu ya gravity force lakini tunawez akuliona tetemeko lililo na nguvu kidogo kuzidi ile speed tutaona upepo vimbunga na tsunami lakni sio ile speed kubwa zaidi
daaaa hapo najiuliza tu ila hakuna mwanasayansi wakukujibu kwa uthibitisho zaidi ya theory tu
Hawa ndio maana mimi huwa nawaita mashabiki wa Sayansi, yani wao huvutiwa tu na habari za Sayansi, ila kuhoji kwao ni mwiko.

Laiti watu wangeamua kuhoji haya mambo tungeheshimiana sana.
 
Mkuu sasahivi tupo stationery wao eti wanazungua thousand miles in speed halafu wanazunguka jua waache wazunguke ,na kabisa kila siku wanaliona juu linatokea huku na linazama huku linatokea huku linazama huku na wanaliona kabisa ni dogo na hawahisi kabisa kama dunia inazunguka.kufikiri ni kipaji
Jamani masomo ya urubani ni free kabisa online ingia kasome ila ujue siri moja sio kuwa na malengo ya kua kuwa rubani

Hivi unajua ndege inaruka umbali mrefu sana pasipo kupaa kwa kujikunja kufuata the way dunia ilivyo but huwa inaenda straight tu?

Kama kuna satellite kwanini kuna mkonge duniani kote?
kwanini mmarekani mwenye teknolojia kubwa aliweza kupigwa na kushindw akujiokoa huko mapangoni kwa watu wa iran kisa tu hawawezi wasiliana na ndugu zao? na kumbuka wanasatellite yao binafsi?

Kwanini uwekewe mnara kwa babu yako kule upate shida ya network wakati ingeachiwa moja kwa moja kutoka juu ingefika kwa urahisi?

kwanini ndege zinawekewa rada chini duniani na hazitumii sattelite?

Siwaaaminishi muamini dunia flat ila nataka tujiulize na kujifunza kwanini baba anasema anahela laki mbili ndani lakini amekopa buku ya nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada ni fikirishi sana ingawa bado nasubiri facts za mtoa mada ili nichague upande.
Mkuu mtoa mada hukutakiwa kuanzisha uzi mgumu kama huu kwa kutegemea kutoa facts zako kwa kuulizwa maswali tu maana sio wote wanajua unavyojua wewe. Mfano mzuri angalia wewe na baba swalehe wote wataalamu wa quantum physics lakini bado kila mmoja anahisi mwenzake haijui vizuri quantum physics sembuse sisi tusioijua hata kuiandika?
Tunaomba utuambie ni kwa nini dunia ikiwa spherical sisi tunapunjika halafu wao wananufaika??
Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.
Hebu tusiongelee quantum physics kwa sasa bali tuelezee unayoyajua kuhusu dunia tambarare mkuu

Hahaha..... Ndugu yangu ashazoea mimi ni mtu wa vichekesho

Ngoja nmuulize anajua chochote kuhusu diagram of eratosthenes na measurement zake nadhani mada ianzie hapa.
Kama hajui aniache na kazi nyingi za kufanya
 
Tumia google yako vizuri usitake kurahisisha mambo. Ingia mtandaon soma unachokitaka. Usisingizie watu wa jf

We baki kusema story watu wanadiscover vitu huko mbele.

Kama ukiwa huamin sayans na utabir wa hali ya hewa usiuamin na ukiambiwa tetemeko linakuja usiamin. Kuna juha mwenzako hapo juu anasema et Hakuna satellite ni uongo tu. Hv mmekula maharage ya wap nyie viumbe???

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 huyo raia alipokataa sattelite, nikajua kuna tatizo kubwa sana hapa aisee.Dah watu tunaenda mbele,karne hii mtu analeta kitu kama hiki cha flat earth kwa evidence za youtube😃😃.Yani hii ni kama story ya Hamida, na Gwaju
 
Mkuu sasahivi tupo stationery wao eti wanazungua thousand miles in speed halafu wanazunguka jua waache wazunguke ,na kabisa kila siku wanaliona juu linatokea huku na linazama huku linatokea huku linazama huku na wanaliona kabisa ni dogo na hawahisi kabisa kama dunia inazunguka.kufikiri ni kipaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo huwa nawacheka hawa jamaa, halafu wanajiona wana akili kuliko wengine.
 
Man am tired of this people

Tumeongea sana hii mada ipo humu

Mods unganisheni hii mada aisee
😂😂😂😂 huyo raia alipokataa sattelite, nikajua kuna tatizo kubwa sana hapa aisee.Dah watu tunaenda mbele,karne hii mtu analeta kitu kama hiki cha flat earth kwa evidence za youtube😃😃.Yani hii ni kama story ya Hamida, na Gwaju
 
Wakuu mleta mada ana itikadi zake za kiimani nahisi ana force ngoma iendane na vitabu vyao. Halafu suala la kutuambia nyie mmesomea sayansi mpaka chuo na kutaja ma vitu magumu hata kuyaandika hakuwezi kufanya tukubaliane😃. Leta ukweli ambao uko wazi.Tueleze huo mkataba uli sainiwa wapi, na hizo nchi kumi na nne ni zipi? Tueleze kirahisi hata kwa ku compare na ku contrast nadharia za dunia mfano wa duara na dunia kama meza, tueleze kitabu kilichoandikwa kaandika nani, kasoma wapi, na ana reputation gani katika ulimwengu wenu wa wasomi wa sayansi, asije kuwa ni story teller aina ya wakina Shigongo😃. Kuna mtu kakanusha kuhusu "satelaiti"😃, pia tusaidie mkuu hilo camera la P9 umewahi kulitumia na ukapata matokeo tofauti na ya Galileo?
 
😂😂😂😂 huyo raia alipokataa sattelite, nikajua kuna tatizo kubwa sana hapa aisee.Dah watu tunaenda mbele,karne hii mtu analeta kitu kama hiki cha flat earth kwa evidence za youtube😃😃.Yani hii yni kama story ya Hamida, na Gwaju
Unaanzaje kubishana na mtu anayekwambia sattelite ni uongo

Mtu ambaye nikijaribu kumwelezea trigonometrical parallel ataishia kunitukana na kuniona nmemeza 😂😌

Mtu ambaye nikijaribu kumweleza olbers paradox kwamba sky ingekuwa permanent bright kama universe ni infinity

Sijui kama amesoma hubbles law maskini na kama amesoma kwa nini anaandika huu upumbavu

Mtu anaidharau quantum physics.... Yaani jamaa angu mustafi aliyepobpale cern super proton synchroton yupo anafanya mapenzi 😂👌🦅
Mimi mkuu nawaacha bwana endeleeni na haya mambo mafundi wenyewe ma flat earthers ngoja wengine tukacheze gololi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom