Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,263
- 1,521
Wewe binafsi katika hilo la pili la taswira ya uumbaji umefikia wapi?Ukweli hauwezi kufichika ila unaweza kugeuzwa kwa kupandikiza uwongo.
Pili,lengo ni kufuta taswira ya uumbaji katika ulimwengu na kuaminisha watu kuwa tupo kwa bahati na hatuna hatma yetote zaidi ya kifo.
Tatu madhara yake ni kubadilisha mifumo yote ya elimu,uchumi,madawa,na tahamaki kwa ulimwengu mzima na hilo hawawezi liruhusu maana wamefika mbali kwenye mpango wao.
Nne hautakubali kuwa mtumwa maana utajua ukweli juu ya uhalisia wako kuanzia asili,mtazamo na hatma na sababu kwanini upo duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hilo la nne umefanikiwa kutokuwa mtumwa kama "sisi" umashaijua hatma yako,asili,mtazamo na kwa nini upo hapa?Nakusihi na kukuomba saaana sana round hii nijibu straight mkuu,ili uwe umesaidia wengi.Wala usijali kama majibu yako yatabadilisha uelekeo wa mjadala.Refer hapo Lifecoded nae kaeleza kuwa ni kama tunafanyiwa experiments😃😃.
