REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #1,641
Kinachokusumbua ni perceptionNa ule ukamilifu unakuwa hujaufikia.
Tatizo letu sisi binadamu tunshindwa kujua hata ukomo wa akili tulizo nazo na vitu ambayo tunavyovisanifu matokeo yake sasa kwa kutaka kwetu kuonyesha umahiri na kusema ya kuwa hakuna linaloshindikana katika uso wa ardhi watu wanaanza kuandika na kutunga mambo ya uongo ili waonekana wamevuka mipaka, huu ni utumwa wa kujitakia na kujifurahisha tu.
Yeyote asie jua mipaka yake huyo anatumia akili vibaya na ni mtumwa wa kujitakia.
Sababu nikikuuliza nionyeshe ukomo wa Dunia kulingana na matokeo ya hiyo Camera p1000 au p900 jibu huna, kama huna jibu na hujfikia ukomo huo, vipi uhitimishe jibu kamili na jumla kwa matokeo nusu. Hapa utaona Sayansi kuna maswali haiwezi kujibu na tatizo kubwa ni katika kufikia hitimisho.
Nipo ....
Sent using Jamii Forums mobile app