isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Msaada! Mwenye uwezo wa kupekua profile yangu, asaidie kuweka Threads za Flat Earth na Earth Related.
Dunia ni round. Ushahidi ni kua mmoja anaweza kupanda ndege say from australia, akaenda east, mwingine akaenda west wote mkaja kukutana marekani japo alieenda west atatumia muda mrefu zaidi kwakua ni mbali zaidi..Nimemaliza comment zote lakini sijaona hoja zenye mashiko, watu wanashinda kuulizana maswali, yaani wanajibu maswali kwa maswali.
Nothing changes IF Nothing changes
Earth's surface is flat, but round. Kuna tofauti kati ya "round" na "spherical". The earth is NOT spherical.Dunia ni round. Ushahidi ni kua mmoja anaweza kupanda ndege say from australia, akaenda east, mwingine akaenda west wote mkaja kukutana marekani japo alieenda west atatumia muda mrefu zaidi kwakua ni mbali zaidi..
Sasa mnataka ushahidi gani zaidi????? Kama kitu simple namna hui huelewi.??
Katafute usome kwanza kabla ya kuzodoa msingi wa kujibu swali kwa swali.Hapana Mkuu
Sent using Intercontinental Ballistic Missile
sema sisi wabongo ni pasua kichwa kweli..
Sasa mkuu unavyomwambia mwenzako avuke aende southpole wewe umevuka lini??
Eti unakuta mtu anasema hii siri ya earth kuwa flati ni ya watu wachache tena powerful..
Sasa wewe mzee baba toka Buza umejuaje siri za watu powerful duniani au unataka kutuaminisha na wewe unatokea familia ya Rockfella??
Mambo ya kwamba chini kuna hell then juu kuna heavenukijichanganya ukakanyaga mirembe huwezi achiwa kamwe..
Watu wamewekeza matirioni kufanya research wakaenda mwezini wakakupigia hadi picha wakakutumia..
Wewe umenunua simu ya laki 5 na bando la buku jero unaanza kupinga mambo yaliyokuwa proved na calculations zote zinafavour round earth.. atleast na wewe fanya research ya maana sio kugoogle na kututumia vipicha kutoka kwenye page za bible.
Mi nadhani ni wana matusi si sayansi. Mi nilitegemea mnatoa elimu, kumbe mnatoa matusi tu.
What happens at the peripheral line of your soo called round earth?.. i believe the difference ya round na spherical ni kwamba round is in 2D while spehircal ni 3D.... you are also an architect so you understand my language!.Earth's surface is flat, but round. Kuna tofauti kati ya "round" na "spherical". The earth is NOT spherical.
Sent using Intercontinental Ballistic Missile
Athiest kiranga.. mbona umepotea na huleti zile mada zako mkuu???? KirangaNimeuliza definition ya "flat" na proof yake..
Mpaka sasa sijapata jibu la kueleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa picha dunia ni flat yenye dome bowl structure on it and not round because it can never beMnabishana kitu kidogo..Dunia ni Flat land with globe ( round) shape.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na ushahidi wote na picha kuonesha dunia duara inashangaza baadhi bado wanamini dunia umbo la sinia. sisemi mengi zaidi ya Mungu awajalie mutumbukie to wherever siku mkifika ukingoni mwa dunia.![]()
Wengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.Dunia ni round. Ushahidi ni kua mmoja anaweza kupanda ndege say from australia, akaenda east, mwingine akaenda west wote mkaja kukutana marekani japo alieenda west atatumia muda mrefu zaidi kwakua ni mbali zaidi..
Sasa mnataka ushahidi gani zaidi????? Kama kitu simple namna hui huelewi.??
"Where things can stay stationary whether in motion or not"?
What kind of crazy contradiction is that?
Do you even understand what you are writing?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo sana, wewe tu.Athiest kiranga.. mbona umepotea na huleti zile mada zako mkuu???? Kiranga
Motion paradox- motion is impossible in an instant.Since time is made entirely of instances, we can safely conclude motion is impossible!
Basi sijui mkuuHao ni wale hawana wanalojua ila wanajifanya wanajua.. Hakuna sababu ya kushindwa kuweka hoja eti kisa watu hawatakuelewa.. kama yeye aliweza kuelewa kwanini sisi tushindwe....
Hii ndio BONGO na hizo ndio FLEVA zenyewe
Can things stay stationary whether in motion or not?Yes i do but you dont that where you never comprehend anything than saying crazyness without questioning because you believe that you are right in view perspective and you humans have different perceptions in view
Sent using Jamii Forums mobile app