The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Sawa mkuu. What is a purpose of life,regardless of earth being flat or spherical?
What is reality, is reality actual or a relative concept?
Swali la lengo la maisha, halijibiwi nje ya imani za kidini, na hapa ndio kuna majibu sahihi.

Miongoni mwa maswali ambayo Sayansi haiwezi kujibu ni hilo swali la "purpose of life".
 
Purpose of life is experiencing a gift of we immortals ,to experience this gift we have to be mortals meaning we should have a body and soul.

A good example is we can mate but angels can't so we experience things that other immortals cant experience.

We are supposed to live in humanity order perfectly matching our intelligence substance within us thus creating a pure man kind structure ,free of thoughts,conductivity and organization,love and survival.

The artificial world today is irrelevant to all the above.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali rahisi sana, lakini najiuliza kwanini hujajibu inavyotakiwa na kwa usahihi.

Lengo la maisha au sisi kuishi ni ili tumuabudu Mola muumba wa mbingua ardhi na vyote vilivyomo. Kinyume na jibu hili ni uongo na wasi wasi wa shetani.
 
Niambie ukomo wa kufikia utimilifu ni wapi?ili twende sawa
Kwahiyo unakubali ya kuwa Camera haiko au haijstengezwa kwa kukupa hitimishl la utimilifu bali msaada kufikia ukamilifu/utimilifu. Kama hali iko hivyo kwanini unatumia kitu kisocho kamili kuhitimisha juu ya utimilifu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo jinsi nilivyojibu ila ukimjibu straight hivyo na yeye anatawaliwa na mifumo ya sayansi inakuwa ngetwa kukuelew ila inshort jibu ndo hilo ulilolitoa .
Hili swali rahisi sana, lakini najiuliza kwanini hujajibu inavyotakiwa na kwa usahihi.

Lengo la maisha au sisi kuishi ni ili tumuabudu Mola muumba wa mbingua ardhi na vyote vilivyomo. Kinyume na jibu hili ni uongo na wasi wasi wa shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu rahisi hapo ni utofauti wa ukomo tu kati ya viwili hivyo.

Unauliza swali ambalo jibu unalo, tunatakiwa tuwe tunafikiri kwanza kabla ya kuhoji. Camera ina uwezo wa kukileta kitu cha mbali kuwa karibu yako,na kinacho ona ni macho na si Camera, ila maho kulingana na uwezo wake utaona hivyo ila kadiri ukiwa unaisogelea meli utaona inaonekana tu mpaka itakapo tokomea machoni mwako.

Pili, tunakuja kujadili uwezo wa Camera, kiuhalisia Camera nayo ina ukomo wake kama yalivyo macho. Kwahiyo Camera haiwezi kuwa marejeo ya ukamilifu sababu nayo imetengenezwa kwa kuzingatia kanuni fulani katila mipaka fulani. Kwahiyo kutokuweza kwa Camera kufikia ukomo halisi sio marejeo kupata hitimisho. Camera inakuletea kile ambacho kimesanifiwa na msanifu na si zaidi ya hapo.
Fafanua kwanza haya:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.

Refer the evidence below so that you can come up with new vision
676-earth-technosphere-future-timeline-technology-globe.jpeg
17524-polar-city-building-2.jpeg
3d-cartoon-planet-summer-3d-model-max.jpeg
3d-cartoon-planet-summer-3d-model-max.jpeg
Planet_Aden_Circle_by_microbot23.jpeg
stock-photo-concept-globe-showing-diversity-transport-and-green-energy-in-a-cartoon-style-148...jpeg
concept-miniature-globe-building-forest-19732483.jpeg
17641379-circle-panorama-of-building-of-an-housing-estate-on-globe-earth-collage.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua kwanza haya:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.

Refer the evidence below so that you can come up with new vision View attachment 1342105View attachment 1342106View attachment 1342107View attachment 1342108View attachment 1342109View attachment 1342110View attachment 1342111View attachment 1342112

Sent using Jamii Forums mobile app
See how simple for a FLAT EARTH.!
downloadfile-4.jpeg
downloadfile-3.jpeg
685640753_640.jpeg
another_attempt_to_prove_why_earth_isnt_flat_640_01.jpeg
3-flatearth-rz0penn.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu rahisi hapo ni utofauti wa ukomo tu kati ya viwili hivyo.

Unauliza swali ambalo jibu unalo, tunatakiwa tuwe tunafikiri kwanza kabla ya kuhoji. Camera ina uwezo wa kukileta kitu cha mbali kuwa karibu yako,na kinacho ona ni macho na si Camera, ila maho kulingana na uwezo wake utaona hivyo ila kadiri ukiwa unaisogelea meli utaona inaonekana tu mpaka itakapo tokomea machoni mwako.

Pili, tunakuja kujadili uwezo wa Camera, kiuhalisia Camera nayo ina ukomo wake kama yalivyo macho. Kwahiyo Camera haiwezi kuwa marejeo ya ukamilifu sababu nayo imetengenezwa kwa kuzingatia kanuni fulani katila mipaka fulani. Kwahiyo kutokuweza kwa Camera kufikia ukomo halisi sio marejeo kupata hitimisho. Camera inakuletea kile ambacho kimesanifiwa na msanifu na si zaidi ya hapo.
See how simple for a FLAT EARTH.!
downloadfile-4.jpeg
685640753_640.jpeg
downloadfile-3.jpeg
another_attempt_to_prove_why_earth_isnt_flat_640_01.jpeg
3-flatearth-rz0penn.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeuliza swali zuri ambalo ilitakiwa uulizwe wewe.

Mfano mimi nikitumia camera kuangalia gari nitasema naiona gari kupitia camera yani macho yangu yanaangalia camera na camera inaangalia gari.

Labda kuhusu kitu ili kiwe kinaona kikidhi vigezo gani je hivyo vigezo vijengeke kwenye msingi wa marejeo yapi ?

Kiada tu za watu vile wanavyotumia maneno?

Kisayansi?

Ama kidini?

Ili uone kuna tofauti naomba ujibu swali hili.

Ili kitu kiitwe kinaona au kimeona kinatakiwa kikidhi vigezo gani ? Ifikie hatua tuache mbwembwe za maelezo yaliyojengeka katika dhana, mfano mzuri leo hii ukimuuliza Mwanasayansi nini maana ya mbingu au mbingu ni nini,majibu yake yataanza "Ooo unajua katika sky sijui kuna charge fulani mara ile color ya mbingu imetokana na nini" maneno yanakuwa mengi.

Mfao kuna maelezo uliyatoa kuhus mchakato wa miyale/miale hakika hayalengi shabaha ya uhalisia.

Kwahiyo mimi nipo kati na kati na ninatofautiana na nyinyi kwa ile namna mnayotumia kuyaelezea haya mambo na kufikia hitimisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi,basi kama hali inatatulika ndani ya ukomo flani kimisingi basi tunaishia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah hatuwezi kuenda mbele zaidi ambako hatujui.

Kinachofanyika ni sisi kutumia hoja ya camera kwa mujibu wa yale masafa yenye uwezo wa kuona peke yake.

Kwa maana ili uone kitu kwenye camera lazima camera uielekeze kule kilipo kitu halisi,sasa kitu halisi kitatoa mwanga kuelekea kwenye camera,na camera ila lens mule ndani za kukuza kile kinachoonekana kwenye camera.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua kwanza haya:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.

Refer the evidence below so that you can come up with new vision View attachment 1342105View attachment 1342106View attachment 1342107View attachment 1342108View attachment 1342109View attachment 1342110View attachment 1342111View attachment 1342112

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako yote ni ya uongo sababu hayaongelei kile ninachokizungumzia mimi.

Pili, picha ulizoziweka zinaonyesha kinyume na hali halisi, ninaposema Dunia ni kubwa kiasi ambacho ukomo wake hakuna anae udiriki na ukubwa huo ndio unatuonyesha ya kuwa dunia ni kama tandiko hivi yaani tambarare. Hizo picha hazina uwiano na dunia duara ninayo izungumzia mimi.

Kwahiyo karekebishe kwaza unachokiandika ili uulize swali kulingana na ninacho kiamini mimi kwa hoja zenye nguvu na upembanuzi wa ajabu.

Siku nyingine usilete picha bunifu ili kuupata ukweli.
 
Safi,basi kama hali inatatulika ndani ya ukomo flani kimisingi basi tunaishia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule ukamilifu unakuwa hujaufikia.

Tatizo letu sisi binadamu tunshindwa kujua hata ukomo wa akili tulizo nazo na vitu ambayo tunavyovisanifu matokeo yake sasa kwa kutaka kwetu kuonyesha umahiri na kusema ya kuwa hakuna linaloshindikana katika uso wa ardhi watu wanaanza kuandika na kutunga mambo ya uongo ili waonekana wamevuka mipaka, huu ni utumwa wa kujitakia na kujifurahisha tu.

Yeyote asie jua mipaka yake huyo anatumia akili vibaya na ni mtumwa wa kujitakia.

Sababu nikikuuliza nionyeshe ukomo wa Dunia kulingana na matokeo ya hiyo Camera p1000 au p900 jibu huna, kama huna jibu na hujfikia ukomo huo, vipi uhitimishe jibu kamili na jumla kwa matokeo nusu. Hapa utaona Sayansi kuna maswali haiwezi kujibu na tatizo kubwa ni katika kufikia hitimisho.

Nipo ....
 
Mpaka nukta hii hakuna mwenzangu, na huyu nimeshampa haki yake, mimi nipo kati kati na tofauti yangu na nyinyi ni ile namna ya kufikia hitimisho ya jambo fulani, hili ni tatizo linaoikumba Sayansi kwa ujumla wake, kama umeichunguza kwa umakini Sayansi utaona Sayansi inakumbwa na tatizo hili sugu.

Humu nahisi niko peke yangu, sababu kuna yale ambayo nakubaliana na mtoa mada na kuna sehemu na napingana na mtoa mada na hii ipo pia kwa wengine natofautiana nao kwa mtindo huo.
 
Umeuliza swali zuri ambalo ilitakiwa uulizwe wewe.

Mfano mimi nikitumia camera kuangalia gari nitasema naiona gari kupitia camera yani macho yangu yanaangalia camera na camera inaangalia gari.

Labda kuhusu kitu ili kiwe kinaona kikidhi vigezo gani je hivyo vigezo vijengeke kwenye msingi wa marejeo yapi ?

Kiada tu za watu vile wanavyotumia maneno?

Kisayansi?

Ama kidini?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu vina hali moja kwa kila hali, mathalani, ukiambiwa Jua liko juu yako au? Hapa unaweza kulijibu kwa kuzingatia mlengo gani ?

Kwahiyo hata hili la kuona halifungamani na mlengo fulani.
 
Ukamilifu unaokusudia ni upi

Kwani kati ya microscope na macho yetu ya kawaida ni kipi kinauwezo wa kukupa picha ya bacteria mbali mbali wa magonjwa ya damu ?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ungekuwa umesoma nilichokiandika huko nyuma swali hili usingeuliza.

Rejea nilipokuwa naelezea ukomo wa Camera na kazi yake na ukomo wa macho, kisha uje kuuliza swali upya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom