AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,319
- 4,140
Nilimsikiliza huyu mwanasayansi maarufu. Hapa ndo nikajua hawa jamaa walitudanganya all.along. yaani huyu mwenzao nae amewaruka kuwa sio duara tena bali lipo kama parachichiMwanasayansi mahiri wa NASA Neil deGrasse Tyson alitangaza msimamo wa NASA kuwa dunia ina umbo la PEAR, ama pear shaped na sio tufe kama tunavyoaminishwa.
Alielekeza shutuma zake kwa wanajiographia kwa kutupatia uwakilishi usio halisia wa umbo la dunia. Sasa wengine tunabaki kujiuliza, VIPI KUHUSU MAMIA YA PICHA ZINAZOPIGWA KILA SIKU NA VYOMBO VYA ANGANI ZIKIONYESHA DUNIA NI TUFE?
Pia amedai kiwa urefu toka kipenyo cha dunia mpaka ncha ya kaskazini ni mfupi ukilinganisha na urefu mpaka ncha ya kusini. Kwamba kwenye equator dunia ni pana kwa sababu imejishindilia kutokana na kuzunguka miaka mingi, na ndivyo ilivyo kwenye kitako chake ncha ya kusini
View attachment 1341154View attachment 1341155
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk




Sent using Jamii Forums mobile app
