The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Kuwa sisi ni immortals na tupo duniani kwa sababu fulani na hatukupaswa tuishi tunavyoishi sasa kwasababu tunauwezo mkubwa kuliko teknologia .

Ukweli kuwa hatukotokana na nyani,kuna bara katikati ya dunia,maana ya kifo,baada ya kifo,upendo,dunia tulivu ,kuishi na wanyama pamoja,hali ya hewa na mengi ........

INSHORT DUNIA INAELEKEA KWENYE SINKING ZONE NA HUMANS WATALOOSE HUMANITY WATAKUWA VIRTUALLY ORIENTED NA MACHINES YANI ARTIFICIAL INTELLIGENCE ITA TAKE PLACE NA HAPO NDIPO TUTAKUWA TUMEPOTEZA UHALISIA NA UZAO WETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maskini 😔

Mkuu tafadhali sana unaniangusha mkuu
 
REALITY

For sure unachanganya mambo! Sielewi unazungumzia Umaskini, Elimu, Flat Earth au Religion theories. Jikite kutoa kusudio la Thread yako!
Inshort maswali wanayo uliza yana link na hivyo vitu,thats why flat earth inapingwa sio na hawa ambao hata hawaelewi whats going on ila the ellites ambao they rule and control while staying in a shadow, wewe unadhani mtu kuanzia la kwanza anajua dunia tufe sasa atakuelewa

YOU CANT TEACH AN OLD DOG NEW TRICKS UNLESS VERY BRIGHT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.

To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...

READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact zakizembe sana hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Satellite ni hoax umeziona wapi zaidi ya picha kama mwezi unauona unashindwaje kuziona hata kwa telescope embu acha ushabiki tumia common sense.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaijua size ya satellite?

Mkuu dah basi samahani sana uko sahihi kwa kila kitu siwezi bishana na wewe tena mkuu wangu kama ulitaka uione sattelite ikiwa inazunguka kwa macho yako mawili basi mkuu wangu uko sa hihi

Nmeogopa hata kuongea mambo ya telecommunication hapa.... Aisee

Nmehuzunika sana

Lemme just log off this account
 
Inshort maswali wanayo uliza yana link na hivyo vitu,thats why flat earth inapingwa sio na hawa ambao hata hawaelewi whats going on ila the ellites ambao they rule and control while staying in a shadow, wewe unadhani mtu kuanzia la kwanza anajua dunia tufe sasa atakuelewa

YOU CANT TEACH AN OLD DOG NEW TRICKS UNLESS VERY BRIGHT

Sent using Jamii Forums mobile app
REALITY

Yakupasa kufahamu mipaka ya kutoa jawabu, mfano; Unaamini Flat Earth basi moja kwa moja and directly sema there is no Gravitational Force.
 
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watu mliotazama conspiracy videos YouTube mnatabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huzuni yangu ni kuu mkuu

Sijawahi amini kuna watu brainwashed hivi

Nina huzuni isiyomithirika

Mtu anakwambia satellite ni long towers

Machozi yananilenga
Hahahaha

Ujue at first nimeona mada nikajua itakuwa moto, at last point ana-disappoint ndio sababu ya kuacha kujumuika maana nimeona topic 8 at once.

Hivi sasa nimefahamu why (Non Spherical Earth Believers) ikiwemo mimi tunaonekana wa ajabu. Hasa alipoongeza hii ya Satellite ni Minara tu.

Endapo angelipitia mada za awali angefahamu kuna watu tulikaa kikao cha masaa 72 JF! Tukijadiri hili.
 
Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha,sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitunkinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?. Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara!!Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
Neil Armstrong na Buzz Aldrin hawakwenda nje ya dunia, hawakufika Mwezini.

Moon landing haikutokea, ile ni siasa ya wamarekani kuifanya dunia iamini vile

USSR Ilituma kifaa nje ya dunia ni kweli...ila binadamu hakufika mwezini

Kuna hoja za msingi sana zinapinga hilo, hata picha ya Armstrong tu haikuwa na kivuli

Bendera ya USA waliyoichomeka chini ilikuwa inapepea...wakati kwenye moon na red planet hakuna Oxygen wala moving wind

Ile ni studio ilifanya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom