The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Sijakuelewa hapa unamaanisha nini ?

Kwanza nani alikwambis Camera inaona ?

Kuna tofauti gani kati ya kutu unachokiona kwa macho tubila msaada wa kifaa na kitu unachokiona kwa macho kwa msaada wa kifaa ?

Hapa pia sijakuelewa, embu nieleweshe niweze kukujibu.
Camera inaona,kwanini ukiweka cctv camera baadae unakuja kuliona tukio toka kwenye kumbukumbu ya ile camera,je wewe ndo ulikuwa unaliona lile tukio kwa wakati ule ama camera?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu globalists wanasema kuna curvature ya inch 8 kila baada ya mile moja ,yani meli ikifika mile moja inashuka kwenye tufe kwa nchi 8 ,inaamanisha kama ni mile 50 itakuwa metre 10 toka kwenye point ya kwanza ya mkunjo kwenda chini.hivyo kwa nadharia yao huwezi kuiona kwasababu dunia ni mpira.

Hiyi hoja haipo maana ilikuwa ni upeo wa moja pamoja na sababu zingine ikiwemo humidity,hivyo basi 2015 ikaja camera ya nikon p900 na tolea jipya ni p1000 ,ambayo iliweza vuta mile zilezile hamsini na kuona meli ipo juu ya horizon,kama principle ya curvature ingekuwepo,hata ungevuta namna gani usingeweza kuiona kwasababu ipo chini ya mkunjo na camera inachukua vision ya straight line.
Inazamishaje meli kwa kiwango hicho ? Elezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliza kichwa
Sio watu hawaonekani mkuu. Mjadala wa kipekee kama huu, mtoa hoja na waunga hoja wakiulizwa maswali hawajibu au wanajibu nusu nusu "inakera na kuboa".Reality anasema tunakuwa controlled na Jews hasemi kivipi,kaja jamaa yenu mwingine anasema afwatwe katika uzi wake, yeye "Nibiru" anaijua nje na ndani na haelezei. Mwamba ana application yake nadhani inafanya Simulations tu lakini anakwambia kapiga picha dunia flat usiku huu na kuona jua linaangaza vipi katika flat earth.
Hapo hapo hajamaliza anaongea habari za Dome na hakuelezi kwa ushahidi,au nani mwasisi wa hiyo kitu...anakupa mifano ya ajali na ma rocket. Anasema tuko jela na yeye tunaona tupo nae humu humu jela. Anauliza maswali yasiyohusiana moja kwa moja na mjadala kama vile,unajua why do we EXIST?Kuna time ana imply kama vile tumedanganywa maisha ni kula kulala,kutumika na kufa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unachoamini umekitoa wapi,issue sio wazungu issue ni viumbe wa duniani,kama unaona wazungu wapo different basi we ni mtumwa wa fikra,hii sio issue ya mzungu,mwafrika na mchina ni issue ya umbo la dunia yetu,kila nchi duniani kuna flat earthers ambao si wanaamini ,ni tunaona kwa uhalisia every evidence about our nature,na issue sio information issue ni kuwa una hoja gani ya kupinga hizo information ambazo kwetu sisi ni valid at all angles.
Inaonekana unatumia machapisho ya haohao wazungu kuleta porojo zako hapa.

Nilitegemea ungeweka mitambo yako pembe zote za dunia, upo na timu yako mnafanya tafiti.

Kama unatumia vitabu vya wazungu bado na wewe upo brainwashed tu.

Sio kila kilichoandikwa kwenye mitandao ni cha kukiamini. Vingine soma kama kujifunza halafu pita pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Camera inaona,kwanini ukiweka cctv camera baadae unakuja kuliona tukio toka kwenye kumbukumbu ya ile camera,je wewe ndo ulikuwa unaliona lile tukio kwa wakati ule ama camera?

Sent using Jamii Forums mobile app
Camera haioni bali inachukua kumbukumbu ya sehemu au kitu au mahali husika. Hapa kuna shida ya matumizi ya maneno.
 
Camera haioni bali inachukua kumbukumbu ya sehemu au kitu au mahali husika. Hapa kuna shida ya matumizi ya maneno.
Sasa mkuu mbona unaminyana kwenye maneno ilhali makusudio yameeleweka?


Au ndo yale yale ya kuwwaambia watu wamefungua kisa kwenye bao wakicheza wanasema wamekula kete kwa hyo wamefungua mkuu.

Matumizi ya maneno hayamati sana kama lengo limekusudiwa.

Kwa sababu maana itabaki inafahamika,na kinachoelezwa hapa unakielewa.

Kwamba mtu unaweza kuona kitu kupitia camera na hyo kamera ndo inatuonesha matukio.

Kusema kuwa camera inaona sio tatizo ikiwa malengo yanafahamika na maana kusudiwa,sasa kuanza kuturudisha kwenye matumizi ya maneno mkuu mbona hatupo kwenye mjadala wa kiswahili.

Hata tukibadili maneno tuweke unayotaka bado maana ile ile tu so ni bora ukastiki kwenye maana yenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu inatoka wapi bila kunasa taswira?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mkuu zurri anataka aturudishe darasa la kiswahili bila kusahau kuwa maneno yanaweza kuwa tofauti ila maana ni ile ile.

Hapo anataka utumie neno lingine kinyume na kuona alafu wakati huo ukishatumia hvyo hakuna kinachobadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbukumbu inatoka wapi bila kunasa taswira?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naona tunarudishana tulipotoka.

Ukomo wa Camera husika ni upi na unakupa taswira gani ? Hoja ya msingi ni dhati ya kifaa kinacholeta taswira ili kupata hitimisho.

Kama unajua ya kuwa kifaa kimsanifiwa kwa lengo la kuona kitu katika hali nyoofu vipi kinaweza vipi kukupa hali halisi ya jambo kinyume na kanumi ya dhati ya kifaa hicho ? Ni sawa na kutaka kivuli kilicho nyooka katika mti ulio pinda.

Hoja yangu iko pale ambapo mnatumia vifaa ambavyo vinafata kanuni fulani ili kupata hitimisho la jambo kamili, Sayansi yoyote huwa inakwama hapa.

Sasa kama hamtanielewa hapa itabidi mnipe muongozo wa njia gani nitumie ili mjue nini nakusudia.

Uwezo wa macho kukupa uhalisia pindi unapo kidiriki kitu ni mkubwa sana kulingana na kamera hiyo, tofauti ni kuwa Camera inakuletea kitu karibu lakini uhalisia ni tofauti. Hapa nawajibu nyinyi mnaohitimisha kwa kutegemea kifaa kilichosanifiwa katika misingi dhaifu.

Ama hao wanaosema mambo ya curvature na kuzama kwa meli nchi 8. Pia, wanazua maswali kadhaa.

Mimi, nipo kati na kati, kwa maana ya kuwa nakubali dunia ni "round" na tunaiona tambarare kutokana a ukubwa wake, kuona tambarare dunia hakubadilishi umbo lake, ila napingana na maelezo yenu wote kwa namna mnavyofikia hitimisho ya jambo husika.
 
Sasa mkuu mbona unaminyana kwenye maneno ilhali makusudio yameeleweka?


Au ndo yale yale ya kuwwaambia watu wamefungua kisa kwenye bao wakicheza wanasema wamekula kete kwa hyo wamefungua mkuu.

Matumizi ya maneno hayamati sana kama lengo limekusudiwa.

Kwa sababu maana itabaki inafahamika,na kinachoelezwa hapa unakielewa.

Kwamba mtu unaweza kuona kitu kupitia camera na hyo kamera ndo inatuonesha matukio.

Kusema kuwa camera inaona sio tatizo ikiwa malengo yanafahamika na maana kusudiwa,sasa kuanza kuturudisha kwenye matumizi ya maneno mkuu mbona hatupo kwenye mjadala wa kiswahili.

Hata tukibadili maneno tuweke unayotaka bado maana ile ile tu so ni bora ukastiki kwenye maana yenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uone kuna tofauti naomba ujibu swali hili.

Ili kitu kiitwe kinaona au kimeona kinatakiwa kikidhi vigezo gani ? Ifikie hatua tuache mbwembwe za maelezo yaliyojengeka katika dhana, mfano mzuri leo hii ukimuuliza Mwanasayansi nini maana ya mbingu au mbingu ni nini,majibu yake yataanza "Ooo unajua katika sky sijui kuna charge fulani mara ile color ya mbingu imetokana na nini" maneno yanakuwa mengi.

Mfao kuna maelezo uliyatoa kuhus mchakato wa miyale/miale hakika hayalengi shabaha ya uhalisia.

Kwahiyo mimi nipo kati na kati na ninatofautiana na nyinyi kwa ile namna mnayotumia kuyaelezea haya mambo na kufikia hitimisho.
 
Ili uone kuna tofauti naomba ujibu swali hili.

Ili kitu kiitwe kinaona au kimeona kinatakiwa kikidhi vigezo gani ? Ifikie hatua tuache mbwembwe za maelezo yaliyojengeka katika dhana, mfano mzuri leo hii ukimuuliza Mwanasayansi nini maana ya mbingu au mbingu ni nini,majibu yake yataanza "Ooo unajua katika sky sijui kuna charge fulani mara ile color ya mbingu imetokana na nini" maneno yanakuwa mengi.

Mfao kuna maelezo uliyatoa kuhus mchakato wa miyale/miale hakika hayalengi shabaha ya uhalisia.

Kwahiyo mimi nipo kati na kati na ninatofautiana na nyinyi kwa ile namna mnayotumia kuyaelezea haya mambo na kufikia hitimisho.
Macho ni reality,camera ni virtual ila vyote vinadecode photography,macho kuona uhalisia kamili ni kawaida ila camera imetengenezwa katika mfumo ule ule kama macho katika utekelezaji,na tunatumia camera kama kiwakilishi na chombo cha kuhifadhi kumbukumbu katika virtual aspect resembling reality at maximum point badala ya macho.

Mfano umeona nyumba,mtu akapiga picha ile nyumba akakuletea picha,akakuuliza je unaifahamu hii nyumba?utamjibu vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa mimi najifunza kitu, huenda watu wanataka kulazimisha kilichoandikwa katika vitabu vya imani kionekane ni kweli, kwa sayansi ya mpaka sasa dunia ni ya duara.

Na ingekuwa kuna hayo sijui ma germinia, na ni dili kuna mataifa yaliyopinda hayaskii la mkuu yangesanua projects huko, kama vile Russia,North Korea,Iran e.t.c....Hizo zitabaki kuwa nadharia tu until tutakapo prove.Kabisa yani unaweka mchoro wa kisayansi halafu juu kabisa unawe "God" sijui Heaven Of Heaven😃😃.

Jamani watu weusi hizi habari za ukifa sijui ukaishi tena ni za kusadikika tu zifwate kwa maslahi ya jamii na siasa, na labda kukidho haja ya hofu ya kifo.Ukifa hauwi mtu tena GAME OVER(Ukweli mchungu sana).
words
 
Human beings and other species under the dome are just samples for experimental purpose....

Tushalisema hili na hapa kuelewa kuwa ,we are something else inahitaji akili nene sana...

We are slaves eclosed under the dome ,no body to escape until your mission is over ...hapa kuna uelewa mpana sana mtu kunasa point...

something( beyond mind) control s our minds who reside under the dome)
If you cant understand where you came from probably ni ngumu kuelewa where you will be after ....

What the fantasy paradox game being upheld above our thinking capacity, ?? it's a marvellous moment ever your mind has to think on the importance of you being here and the paradoxy surviving hoax being spread to us....

Something to delive the quantum paradoxy ambayo imetufanya tusinzie tuone kama maisha ya hapa duniani ni kulala kisha kuota na kuamka tena hakuna jipya ambalo tunalifanya hapa zaidi ya kuwa host wa mambo yanatoendelea kwetu bila kujua....( believe all these kind of actovities every individual doing ni kama game tunapewa ili kupoteza muda na kusukuma muda kwenda mbele while internally every human body ikirun process mbalimbali )

watu wana akili bwana( watu wa sayari zilee za mbali) wakaona tutengeneze mazingira ambayo tutatengeneza viumbe kwa ajili ya kufanya majaribio mbali mbali ya maendeleo ya hatua za kiteknolojia zetu... wakaona ni kuconstruct a dome like structure then feed every condition to allow newer constructed organisms wenye uwezo wa kuundergo self replication huku tukicontrol survival rate yao basi tutakuwa na uwezo wa kumonitor kwa asilimia kubwa sana lakini tunatakiwa tuwe na close relationship na baadhi ya constructed model organisms kwa ajili ya kuendeleza mission ya maisha haya... tutatengeneza mazingira ambayo ni automatic prenishing kwa hao viumbe katika enclosed dome hiyo ili kisiwepo kiumbe hata kimoja kitakachochungulia nje pakoje na kisiweze kutuona kabisaa sisi ( The dome is highly protected with unknown concrete materials)
does this sound good to your mind? try to rethink why you are here and who is benefiting with you rather than sleeping and receiving some illusion concepts ? ( dream and you wake up in the morning while being at the original place!!! what the idea trying to overcome the illusion of perception??? do you get something over here??

Na tutengeneze false beliefs kisha tuzipandikize kwa hao new constructed species with self replicating ability ili viweze kuwa busy kusujudu kitu flan ili visiwe too much concetrating nini hatima yao na who is behind the control wa mawazo yao!!!

tutengeneze ahadi fake ya " Into the good island" ili iwe ni ahadi hewa kila kiumbe aogope kuhoji ukomo na nguvu iliyo nyuma yake inayomuwezesha kufanya chochote atakacho ....

hebu kaaa kama dk mbili empty your mind ufikirie kwanini the truth have been passing under series of paradoxy ,,, what then for !!

There is no longer "the island where we are promised " but we are here to fulfil others idea and experiments
Lifecoded umetisha sana hii post yako ina madini sana
 
Kutokuelewa kwa jambo fulani husababishwa na sababu nyingi, moja wapo ni yule anae elewesha akawa hajui kile anachokielewesha, hili huwa tatizo.

Na changamoto ambayo tunayo kutana nayo na watu kama nyinyi ni kushindwa kwenu kujibu maswali marahisi kwa kichaka ya kuwa hatutaelewa na kwamba mnapoteza muda, huku mnajidanganya wenyewe.
LOL
 
Naona mleta mada ana point za kutetea mjadala wake..kwa hilo anastahili Hongera sana.
Ila naomba nimuulize swali?

Kwenye flat earth?vitu vifuatavyo vinapatika kwenye kanuni zipi?

Sababu gani kubwa ukweli ufichwe??na ukweli huo ukijulikana utakua na madhara gani katika maisha ya kawaida?

Ili ufiche kitu ina maana una faida nacho, hiyo faida ni ipi ya kuficha ukweli??

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mleta mada ana point za kutetea mjadala wake..kwa hilo anastahili Hongera sana.
Ila naomba nimuulize swali?

Kwenye flat earth?vitu vifuatavyo vinapatika kwenye kanuni zipi?

Sababu gani kubwa ukweli ufichwe??na ukweli huo ukijulikana utakua na madhara gani katika maisha ya kawaida?

Ili ufiche kitu ina maana una faida nacho, hiyo faida ni ipi ya kuficha ukweli??

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli hauwezi kufichika ila unaweza kugeuzwa kwa kupandikiza uwongo.

Pili,lengo ni kufuta taswira ya uumbaji katika ulimwengu na kuaminisha watu kuwa tupo kwa bahati na hatuna hatma yetote zaidi ya kifo.

Tatu madhara yake ni kubadilisha mifumo yote ya elimu,uchumi,madawa,na tahamaki kwa ulimwengu mzima na hilo hawawezi liruhusu maana wamefika mbali kwenye mpango wao.

Nne hautakubali kuwa mtumwa maana utajua ukweli juu ya uhalisia wako kuanzia asili,mtazamo na hatma na sababu kwanini upo duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbali na kifo hatima yetu ni ipi?ww unaijua kama ndio tupe muongozo na sisi tufahamu
Ukweli hauwezi kufichika ila unaweza kugeuzwa kwa kupandikiza uwongo.

Pili,lengo ni kufuta taswira ya uumbaji katika ulimwengu na kuaminisha watu kuwa tupo kwa bahati na hatuna hatma yetote zaidi ya kifo.

Tatu madhara yake ni kubadilisha mifumo yote ya elimu,uchumi,madawa,na tahamaki kwa ulimwengu mzima na hilo hawawezi liruhusu maana wamefika mbali kwenye mpango wao.

Nne hautakubali kuwa mtumwa maana utajua ukweli juu ya uhalisia wako kuanzia asili,mtazamo na hatma na sababu kwanini upo duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom