The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Kama dunia ingekuwa flat kama unavyodai basi watu wote duniani tungeliona Jua kwa mara moja na kusingekuwa na kupishana kwa muda kati ya eneo na eneo.
 
Kama dunia ingekuwa flat kama unavyodai basi watu wote duniani tungeliona Jua kwa mara moja na kusingekuwa na kupishana kwa muda kati ya eneo na eneo.
Jua ni dogo kama tochi linalimulika lidunia likubwa ndo maana mwanga haufiki sehemu nyingine sawia
 
NASA MUST DIE HIZO HELA WASAIDIE NCHI ZA VITA NA WAACHE UTOTO

Angalie movement ya rocket wanyooshe juu waone balaa lake hatoki mtu
Nilichoka pale jamaa mwansayansi wa Nasa alipoulizwa why now hamuendi mwezini?? Akajibu eti tulidestroy tech iliyotufanya tukaweza kwenda kipindi kile so sasa hivi hatuna nyingine.. i was like whatttt? Seriuos????
Nikajua hizi ni kamba tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
sdfe.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah akilindogosana yani unalinganisha diameter ya roller coaster, merry go around na diameter ya dunia???
Hem angalia torque Kwenye hivyo vitu na torque ya dunia respectively
Hivi unahisi bacteria aliyetua juu ya ngozi yako anajua unatembea au uko stationary hatakama unakimbia? Kumbuka yeye mkunjo wa ngozi yako anaona kama milima ya everest
Unamfananisha bacteria na mwadamu what kind of logic is this?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jua ni dogo kama tochi linalimulika lidunia likubwa ndo maana mwanga haufiki sehemu nyingine sawia
Duh! Mkuu mbona unaandika vitu vya kubuni yaani jua unasema ni dogo kama tochi?
Kipenyo (diameter) cha Jua ni 1,391,000 km na kipenyo cha dunia ni 12,742 km hivyo kipenyo cha Jua ni mara 109 zaidi ya kipenyo cha dunia vipi Jua liwe dogo kuliko dunia?

Kwa ukubwa huo wa jua ina maana Kama dunia ingekuwa sio duara (flat) Kama mnavyodai basi watu wote duniani tungeliona Jua kwa mara moja kusingekuwa na kupishana muda.
 
Embu uliza mambo ya msingi ,orbit ni nadharia na uwongo juu yake

Sent using Jamii Forums mobile app

We unadhan nan apaswa kusema ni uongo kati ya alietoka nje ya dunia akaja na hio prove ama mpuuzi mmoja wa jamii forum ? And ofcourse yes ni nadharia sio something we can see. Same as we can't see air but doesn't it qualify kuitwa nadharia because we don't see it?
 
Dunia imekingwa huwezi toka jesus!kuelekea juu
We unadhan nan apaswa kusema ni uongo kati ya alietoka nje ya dunia akaja na hio prove ama mpuuzi mmoja wa jamii forum ? And ofcourse yes ni nadharia sio something we can see. Same as we can't see air but doesn't it qualify kuitwa nadharia because we don't see it?
flat-earth-meme-30-18.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuzo ni kwa ajili ya mshindi katika kishindanio. Hata mshindi katika kutojua kusoma naye tuzo yake ni sawa kabisa.
Nacheka sana, hata wajinga wanapeana tuzo, hili halishangazi.

Ajabu ya watu kama nyinyi, yaani kwa ujinga huu mnapeana tuzo.

Kusema tu uelewa wako ni zaidi ya uelewa wangu, ni ishara ya kuwa wewe ni mjinga.

Wanao jua wanajua, haiwezekani tangu jana huweki hoja zaidi ya kutaj taja majina, na hii ni kazi rahisi sana.

Hujawahi kusikia tuzo za wanamuziki, wacheza mipira na wacheza filamu za ngono ? Sasa ujinga hauishi na huo wakwenu ni muendelezotu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Mkuu mbona unaandika vitu vya kubuni yaani jua unasema ni dogo kama tochi?
Kipenyo (diameter) cha Jua ni 1,391,000 km na kipenyo cha dunia ni 12,742 km hivyo kipenyo cha Jua ni mara 109 zaidi ya kipenyo cha dunia vipi Jua liwe dogo kuliko dunia?

Kwa ukubwa huo wa jua ina maana Kama dunia ingekuwa sio duara (flat) Kama mnavyodai basi watu wote duniani tungeliona Jua kwa mara moja kusingekuwa na kupishana muda.
Hicho kipenyo ni moja ya propaganda ulizolishwa shuleni
 
Kwasababu an earth is unmovable it is fixed ,dah hawa jamaa wameharibu kizazi totally.

Embu niambie asili yako?yani asili ya binadamu kwa upande wako
Tatizo LA huju jamaaa theory zake zote anawaza umeme tu ndo maana theory zake zilikuja kuonekana ni uongo, so na wewe umekubaliana na earth sio object

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom