The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

.The Antarctic Treaty was signed in Washington on 1 December 1959 by the twelve countries whose scientists had been active in and around Antarctica during the International Geophysical Year (IGY) of 1957-58. It entered into force in 1961 and has since been acceded to by many other nations. The total number of Parties to the Treaty is now 54.View attachment 1336685View attachment 1336686

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tunapishana uelewa wa nia na madhumuni ya Antarctic Treaty mkuu, rudi usome tena from credible sources.

Antarctica ndio bara pekee halikaliwi na watu kwa sababu mazingira si rafiki kuishi. Mataifa hayo walisign treaty kuhakikisha hakuna taifa litakalo-claim Antarctica ni mali yake na kuzuia nchi yoyote kuweka kambi na operation za kijeshi.

Hakuna anaezuiwa kwenda Antarctica, tena kuna scientific expeditions kibao wanaenda kila mara mkuu mpk NAT GEO na Discovery wanaonesha hizi mambo na wanafika mpk kwny geographical south pole. Hakuna ukuta wa barafu sijui hizo dome..... nehi nehi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tunapishana uelewa wa nia na madhumuni ya Antarctic Treaty mkuu, rudi usome tena from credible sources.

Antarctica ndio bara pekee halikaliwi na watu kwa sababu mazingira si rafiki kuishi. Mataifa hayo walisign treaty kuhakikisha hakuna taifa litakalo-claim Antarctica ni mali yake na kuzuia nchi yoyote kuweka kambi na operation za kijeshi.

Hakuna anaezuiwa kwenda Antarctica, tena kuna scientific expeditions kibao wanaenda kila mara mkuu mpk NAT GEO na Discovery wanaonesha hizi mambo na wanafika mpk kwny geographical south pole. Hakuna ukuta wa barafu sijui hizo dome..... nehi nehi

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG_20200126_145215_625.JPG
flat-earth-memes-80-7.jpeg
flat-earth-memes-74-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
paula bana
Sikia dunia inarevolve kwa speed ya hatari yani kubwa kwa lisa around the sun ikiwa inakata corner in a circular motion mbona hatufeel chochote kama gari,ndege and so ambazo zikikata tunafeel.


Unajua kwanini gari ikiwa inakimbia na haufeel chochote kwa sababu ina move straight na ipo kwenye flat road or plane kama ndege.

Anyway tutaelewana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gravitational force of sun on earth balances the centripetal force of earths movement around the sun , hivyo huhisi chochote.
 
Nadhani tunapishana uelewa wa nia na madhumuni ya Antarctic Treaty mkuu, rudi usome tena from credible sources.

Antarctica ndio bara pekee halikaliwi na watu kwa sababu mazingira si rafiki kuishi. Mataifa hayo walisign treaty kuhakikisha hakuna taifa litakalo-claim Antarctica ni mali yake na kuzuia nchi yoyote kuweka kambi na operation za kijeshi.

Hakuna anaezuiwa kwenda Antarctica, tena kuna scientific expeditions kibao wanaenda kila mara mkuu mpk NAT GEO na Discovery wanaonesha hizi mambo na wanafika mpk kwny geographical south pole. Hakuna ukuta wa barafu sijui hizo dome..... nehi nehi

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alivyo wa ajabu anapost picha ya Meli ikiwa pembezoni mwa ukuta wa barafu katika Antarctic! Angetupostia mbele ya huo ukuta ili tuone mwisho wa ardhi na chini ya Dunia ili tumwaminie!
 
Aisee kweli kuna watu wako stone age, na huwez kubishana nao maana hawajui kwa nini USA anachukizwa zaidi na silaha za nyuklia za north korea kuliko za iran.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom