The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Kwani wanaosema dunia duara wanafaidika na lipi?
Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare

Sent using Jamii Forums mobile app

Hit direct to the Ntonku
 
Dunia ni centre of universe ambaye in Nyota mbili jua na mwezi na wewe unaziona kila siku haina haja ya rockets kwasababu upo duniani

Mars and venus navyo ni jua na mwezi kwa dunia inayofata baada yetu ukivuka circumference ya southpole

Jupiter and saturn/mercury and uranus
Kitu kama hicho likewise

Ndo maana kuna ramani ina circumference tatu za extension

Thats why ziki meet in straight path of sight kutoka duniani tunaziona nazo ni ndogo hivyo hivyo ni akili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa mkuu. Endelea kupambana utuelimishe mpaka tuelewe. Kuwa kama yule kuku aliyeanza kampeni ya kuhakikisha kuwa anawapa elimu kuku wenzake juu ya nia ya binadamu. Good luck
 
Baba Swalehe tuambie hapa!

Theory ya rotation of the earth speed yake ni uniform na inachukua saa 24 kukamilisha mzunguko ambao unazalish usiku na mchana. Kama mwendokasi wa Dunia ni Uniform katika mzunguko wake wa saa 24 usiku na mchana unapatikana tafsiri yake ni kwamba saa zake inabidi ziwe pacha. Mchana utachukua saa 12 na usiku saa 12.

Equinox mnasema when the sun crosses the equator! Usiku na mchana unakuwa the same length. Tafsiri yake ni kwamba masaa ya usiku na mchana yanatofautiana kwenye Dunia hii hii ambayo speed yake ni Uniform ambao kila siku unachukua saa 24 kukamilisha mzunguko wake ambao tunapata usiku na mchana.

Ajabu ni kwamba the sun linakuwa overhead at the equator twice per year! Inatokea mwezi March na mwezi September. Hii hali inakuwaje?wakati earth rotates at a uniform speed in 24 hrs siku zote? Kwa nini equinox isiwe daily?

Tupatie majibu msomi.
Jibu hili hapa
IMG_20200127_112751_516.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200127_112751_516.jpeg
    IMG_20200127_112751_516.jpeg
    51 KB · Views: 14
Ok
Wewe na hao wafiti Wenzako uongo wenu umebuma na mwisho wa siku mtapuuzwa! tuliowahi kuishi maeneo ya Ziwani tulikuwa tunaona wakati mwingine maji ya ziwa yametulia kama ya kwenye dimbwi. sio Kila siku kuna upepo na mawimbi Ziwani mpaka Mtu ushindwe kuona kinachokuja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshasema hata kitu kinachoitwa gravity hakuna.

mwanzoni niliona ana akili na nikawa interested kupata kitu kipya maana Anataka kuamini tofauti badala ya kuamini anachoambiwa na wanasayansi na videos na machapisho, that is good maana inawezekana kuna mambo kweli yanafichwa, ila prove anazotoa nazo ni za kuambiwa na za kusoma vitabuni na machapisho, hapo ndo nijawaza hizi ni akili za nzi kutaka kutengeneza asali kwa kutumia kinyesi.

In short tuishi ishi tu kama tulivyozoea maana hata tukiamini kuwa dunia ni flat tutabadili nn? Mleta mada unapigania watu wajue dunia ni flat ili wabadili nn? Imani na mtazamo tu? Au kuna manufaa ya kuamini dunia ni flat?

Hapa tu tunaamini ni duara hakuna tunachofanya kunufaika na uduara wake. Wazungu ndo wanapambana na sa hizi wanatengeneza kifaa kitakachoweza kudhibiti jabali endapo litakosea mwelekeo na kuhatarisha dunia.

kuna watu wanaamini JUA ni Mungu na usiku analala maana kachoka na dunia ni kama chupa ndo maana tunaona jicho moja tu la Mungu sababu anatuchunguliaga?
Huyu Jamaa ni tatizo sana! Sijajua kama Dunia itakuwa ni flat. Wanasayansi wana tuficha kutuambia ili wapate maslahi gani! Alipaswa kutuelewesha tujue sababu!
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Flights za Sydney to California zipo na za kupitia ulaya to New York zipo pia.
Qantas and United Airlines fly direct from Sydney only in 13 hours and 35 minutes, traveller.com.au says
mimi nijuavyo, uchina ipo jiran na marekani upande wa magharibi (wa us) na england ipo jirani na marekani upande wa mashariki (wa us)........


na najua pia, uchina na england hazipo jirani kabisa, sasa hapa wanaposema ni flat ndio siwaelewi hawa ndugu zangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishakubali dunia ni mpira ina maanisha umekubali theory ya big bang kuwa vitu vimetoka at random ikiwemo dunia ambayo wao wanaita sayari(planet),ukikubali ni planet basi huna budi kukubali evolution ,kuwa tumeevolve kutoka simple cells mpaka kuwa nyani na kuhamia binadamu mpaka hapo ushamwacha MUNGU kilometre zote na ushaamini hakuna uwepo wake kwahiyo tafsiri ni kuwa upo kwasababu ulitokea kwa bila sababu just random,kwahiyo huwezi kujua asili yako na hatima yako ,sasa utafanyaje ushapotea ,utabidi utafute msaada kumbuka hapo dini haiwezi kuhusika maana ushakataa dunia haijaumbwa ila imetokea kwa mlipuko usiojulikana chanzo,itabidi umsikilize sasa yule anayejiita mwenye maarifa akusaidie kwa kutumia kigezo kinacho itwa sayansi,akupe teknologia ya kuishi,akupunguze mawazo kwa vilevi,akuburudishe kwa mziki,movie na anasa,akuchangamshe kwa michezo,akupe elimu yake,uitumikie umfanyie kazi zake mpaka kifo halafu ukifa ,uko wewe kama wewe maana ushakosea toka mwanzo.JESUITS ni watawala wa dunia ndio wanamkono wa haya yote kuna project fishbowl na dominic zilifanywa kupiga makombora kwenda juu kuangalia ukomo wa anga wakafanikiwa kugundua dome au kioo cha juu cha dunia ,wakafanya project high jump kule antarctic wakagundua kumbe dunia inaendelea nje ya kuta za barafu ,wakasema sawa wakakutana mataifa makubwa wakasign mkataba unaoitwa Antarctica treaty kuwa hakuna shughuli zote au makazi yanatakiwa yawepo southpole wakafanikiwa,kilichofata baada ya kugundua juu hapapitiki yani dome,wakajua hawataweza watawala walimwengu maana watafata imani zao na kuwa karibu na MUNGU WAO,kwakuwa ni mkono wa ibilisi na mkuu wa dunia wakabadilisha ramani kutoka duara tambarare kuwa mpira ama tufe halikadhalika na umbo la dunia,je umbo watabadilishaje na haiwezekani ikawa ni rahisi ni mahesabu na ushawishi,mnamo 1958 wakazindua NASA chombo cha anga kwasababu juu hapapitiki,ili dunia iwe mpira lazima watu waende juu na kupiga picha kuthibitisha umma kuwa ni mpira kazi ikaanza ila inafanyika ardhini sio angani,ukisoma vitabu vya imani dunia nzima vinasema aliumba dunia akaitenganisha na mbingu na ndani yake kuwa na jua na mwezi pamoja nyota sio nje ni ndani ,kwahiyo ndani ya dome kuna jua na mwezi na nyota na nje kuna mbingu yani celestial levels hata kwa macho si unajionea tu,sasa kuhusu hizi sayari zingine nazo ni jua na mwezi kwa dunia zingine mbele ya antarctica.

Anyway wakatafuta wanasayansi kama kina somebody cornepicus waliocheza mchezo wa rotation na revolution ,huku wakiwa na hofu kuwa sasa mbona dunia haitafeel hizi effect,wakaongezwa wengine and so .....ni project ndefu sana kwahiyo ili kudhibitisha uwezo wa NASA wakaanzisha project ya mwezini ambayo nayo game imechezwa ardhni,kuna kitabu cha moon landing hoax kinaelezea vizuri,kwahiyo wakafanikiwa kumanipulate ulimwengu kwa asilimia kubwa kwakuwa hawana uthibitisho na wao ni taasisi ya sayansi ya anga,hata ukisema wakupe records hawana,documents za utafiti wa chochote watakuambia classified au confidential ,kwakuwa sasa dunia imekubali vyote hivi imekuwa ni jela ya watumwa na ni mengi yanakuja na MWISHO WAKE NI MBAYA SANA.
Huyu Jamaa ni tatizo sana! Sijajua kama Dunia itakuwa ni flat. Wanasayansi wana tuficha kutuambia ili wapate maslahi gani! Alipaswa kutuelewesha tujue sababu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point ndogo tuh ambayo hutakiw kuumiza kichwa ni hii. ..dunia ni duara ndio maana ukianza safari point a na kunyoosha nayo utarudi hapo hapo point a .Kingine kama dunia ni flat bhc kusingekua na tofaut kati usiku na mchana means kama Tz ni mchana bhc na China inge kua mchana

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu tunazungumzia "world fact na sio theory "
Je ?kuna ujuacho kuhusu Flat earth Society. Pia usipende kukumbatia elimu ya shule ,fikiri nje ya box
 
Kuna Mdau ameuliza swali kuhusu muonekano wa Meli inapokuwa inakuja bandarini haujamjibu! Mimi pia natokea eneo ambalo linapakana na ziwa. Ninakubaliana na swali alilouliza, Kimsingi bahari na Maziwa maji yake yametulia! Swali linakuja hivi.... Kama Dunia ni flat,Ukungu na vumbi vinatuzuia kuona mbali zaidi Ni kwanini unapo kuwa unangoja Meli kwa mbali ikiwa inakuja utaona kwanza bendera inaibukia kisha tena ghorofa ya juu,ghorofa zingine nazo zitafuatia kuonekana,baadae Meli nzima itaonekana! kwanini Meli isioneka nzima nzima tokea mbali kama Dunia ni flat?!
Ila mkuu kuna hoja pia kwa vifaa vinaona meli ambzo ziko kilomita nyingi sana baharini kuonesha kuwa kama ingekuwa duara basi isingeonekana.

Sasa kwa nini vionekane vitu vikiwa umbali mrefu tena vinaonekana kamili pasi na kuanza kuonekana sehemu ya juu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachokueleza ni kuwa huo umbali ambao unaweza ukapata curvature na usione kitu kwa nadharia ya kuwa dunia ni tufe ni kuwa p9 camera inaona umbali zaidi ya hiyo nadharia na vitu unaviona mfano kila mile 1 ina mkunjo wa inch 8 progressively sasa watu washaona picha umbali wa mile 57 na hakuna curvature

Sent using Jamii Forums mobile app
Pythagorus imesha proove hichi sijui watu hesabu wanaitupa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Anasema hawataki twende Antarctica.
The Antarctic Treaty was signed in Washington on 1 December 1959 by the twelve countries whose scientists had been active in and around Antarctica during the International Geophysical Year (IGY) of 1957-58. It entered into force in 1961 and has since been acceded to by many other nations. The total number of Parties to the Treaty is now 54.
images%20(2).jpeg
Treaty-flags_master_52-flags_May15-400x250.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka hili unaweza kulithibitisha au kama una picha tuonyeshe humu.

Kutokuona curvature ndio inaonyesha ya kuwa ukomo wa kifaa ndio umeishia, kwahiyo, hoja ya kuwa dunia ni duara kwa kurejea matokeo ya kifaa hicho bado ina nguvu, sababu nikikuuliza ncha au ukomo wa dunia ni wapi, huwezi kujibu swali hili.
Bado haujamwelewa jamaa ni kuwa ipo hivi wanasema hao round earthers/globe earthers kuwa dunia inaji curve 8 inches for every one mile means nikiwa na kifaa cha kuvuta hadi mile 10 means naweza kuona mbinuko wa inchi 80 na object yoyote iliyo katika hiyo range either ionekane nusu au robo au isionekane kabisa, hii imekuja kupingwa kwa sababu mbili moja ni pythagorus theorem na pili ni ukiwa na camera zenye nguvu za miaka hii ya sasa.na ndo maana jamaa hapo akakuambia kuwa kwa kutumia p9 camera au any powerful camera na hali ya hewa nzuri watu waliopima waliweza kuona object iliyo hadi mile 27 ,ambayo arccoding to globe earthers tulitakiwa tusiione kwa kuwa mbinuko huwa ni 216 inches .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom