The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Since last week, however, Eyde's statue has gazed out upon a sight that even the eminent engineer might have found startling. High on the mountain opposite, 450 metres above the town, three large, solar-powered, computer-controlled mirrors steadily track the movement of the sun across the sky, reflecting its rays down on to the square and bathing it in bright sunlight. Rjukan – or at least, a small but vital part of Rjukan – is no longer stuck where the sun don't shine.
"It's the sun!" grins Ingrid Sparbo, disbelievingly, lifting her face to the light and closing her eyes against the glare. A retired secretary, Sparbo has lived all her life in Rjukan and says people "do sort of get used to the shade. You end up not thinking about it, really. But this ... This is so warming. Not just physically, but mentally. It's mentally warming."View attachment 1335631

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii ni fiction mimi nilidhani tuna ongea vitu ambavyo ni halisi na vipo...endelea na mdahalo ufurahishe barza
 
The fact kuwa "flat-earthers" hawaamini katika simple science na physics na mathematics ambazo kimsingi ndio building blocks za maendeleo ya mwanadamu wa kisasa, inashangaza!

The fact kuwa umeshika smartphone yako unaandika hapa JF ni proof tosha the earth is not flat,how? jifunze how telecommunication works, antena zinavohusiana na earths magnetism, accelerometer sensors, gyroscopic sensors zote zimekaa kwenye simu tu hata tusiende mbali.

Atheists afadhali huwa wana point ya ku-argue ila flat-eathers ni wavivu sana wa kufikiri. Theory wanatoa wao, wana research wao, wanai-prove wao then wanataka kutulisha uchuro.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
The fact kuwa "flat-earthers" hawaamini katika simple science na physics na mathematics ambazo kimsingi ndio building blocks za maendeleo ya mwanadamu wa kisasa, inashangaza!

The fact kuwa umeshika smartphone yako unaandika hapa JF ni proof tosha the earth is not flat,how? jifunze how telecommunication works, antena zinavohusiana na earths magnetism, accelerometer sensors, gyroscopic sensors zote zimekaa kwenye simu tu hata tusiende mbali.

Atheists afadhali huwa wana point ya ku-argue ila flat-eathers ni wavivu sana wa kufikiri. Theory wanatoa wao, wana research wao, wanai-prove wao then wanataka kutulisha uchuro.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani
Atheists,alien seekers,Freemason wanna be's na flat earthers wana tofauti gani kwenye bongo zao?
 
Huwezi kunielewa kama hukumwelewa mwalimu wako

Siwezi poteza muda wangu kuongea na wajinga wasio tayari kujifunza

Yoi have never been ready to learn zuri never

You are mr criticize

I can't waste my time

Nisiongeze tu frustration hapa

Jioni nisije kosea kumfanyia operation mtoto wa watu
Hapo nimekuelewa, huyu jamaa zuri Ni close minded namba 1 dunia nzima na hata all over the universe

ARUSHA KWETU
 
Wengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.

Unavyosema wote watakutana US Yakupasa kufahamu ndege zina slight flight direction point moja ya East!

Na hii inadhihirisha hata mpangilio wa continent's kwa (Round/Spherical Earthers) sio sahihi.
Sote tunajua USA iko magharibi mwa Dunia na Russia iko mashariki mwa Dunia na Kama Dunia siyo spherical au duara ni kwanini Siberia ya Russia inapakana na Alaska ya Marekani kwa tofauti ya kilometers 80 na bado kati ya bahari hapo kuna Visiwa vidogo mpakani
na umbali wa kilometers 3.7 kati ya USA na Russia?!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Wengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.

Unavyosema wote watakutana US Yakupasa kufahamu ndege zina slight flight direction point moja ya East!

Na hii inadhihirisha hata mpangilio wa continent's kwa (Round/Spherical Earthers) sio sahihi.
Flight direction ya east ni sababu za kibiashara tu hawawezi pitisha ndege bahari kubwa ya pacific pasipo ishi Watu bila faida yeyote !ambapo bahari hiyo ni kubwa inachukua 1/3 ya Dunia!
 
Duh
The fact kuwa "flat-earthers" hawaamini katika simple science na physics na mathematics ambazo kimsingi ndio building blocks za maendeleo ya mwanadamu wa kisasa, inashangaza!

The fact kuwa umeshika smartphone yako unaandika hapa JF ni proof tosha the earth is not flat,how? jifunze how telecommunication works, antena zinavohusiana na earths magnetism, accelerometer sensors, gyroscopic sensors zote zimekaa kwenye simu tu hata tusiende mbali.

Atheists afadhali huwa wana point ya ku-argue ila flat-eathers ni wavivu sana wa kufikiri. Theory wanatoa wao, wana research wao, wanai-prove wao then wanataka kutulisha uchuro.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fikirishi
_joy__joy_%20Follow%20_point_right_%20%40slumpods%20for%20more%20_white_check_mark__white_che...jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh unaamini hadi time travel..

Hebu elezea kidogo ulivyoona hiyo ndege yao ikoje ikoje??

Aliens wapo sehemu nyingi sana binafsi ndege zao nimeziona zikikatiza,siku hiyo nilikuwa dar nafunga dish zilipita 3 zikitoa mwanga mkali,halafu tafiti zinasema pale ni kwamba ni time travelling either wanaenda miaka ya mbele au nyuma,watu wengi washatoa ushahidi ila website ya youtube huzifuta na kupoteza ushahidi huo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu hapo juu alisema ina rotate at 1000km/hr,je hiyo ni too slow to notice the motion?
Na kwa utetezi wake ni kwamba tunashindwa kutambua sababu ina spidi kubwa sana.
Wewe umesema kinyume chake,unajua mnanipoteza kwenye mjadala!
Msipokuwa makini REALITY anaweza kuchukua point zote watu tukahamia flat earth 😀
Upo sahihi dunia ni 'flati'.
 
You are illiterate.

Hata hujui kusoma.

Hujui kwamba huko kwenye error nilishakuacha.

Hujui swali gani nimekuuliza.

Hivyo siwezi kutegemea ulijibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuambia with no variables and spinless au unataka nikuambiaje na unauliza hilo swali unatumia gezo gani au wapi kuthibitisha wewe ndo upo sahihi unaposema "hujajibu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nihizo sauce planes kama visahani ili vilikuwa vidogo meaning mbali,na kwa mda huo nilikuwa nishajua kwa kupitia self investigation maana kila mtu ana namna yake ya utafiti na uthibitisho kwa ufahamu wake binafsi..

Mtu anayekata time travel naye ana tatizo sehemu ,hii dunia nipana sana mi naona watu wanafanya kejeli ,lakini hata si shangai
Kwani watoto wako wakiwa sebuleni wanacheza si unawaangalia ,wakichoka wanaenda kulala,halafu kesho shule wakapambane na mfumo.
Duh unaamini hadi time travel..

Hebu elezea kidogo ulivyoona hiyo ndege yao ikoje ikoje??



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom