Yeh usiseme chochote usije ukavujisha utamuHahahaaaaaaa! mimi sisemi mwayaaa
Ronny anazidi kuua.. Kha! Sio kwa utamu huo MTU anajali mpaka dhambi?!I see, so now HOM is talking about " HUMANITY "....ok. Ila Ronny ananishinda tabia mimi jamani. Linda naye kama Karudi kwenye kujitambua hivi...
Hahaha Ronny ni bad news kwenye kucare. lara 1 tafadhali, Ronny awe na good ending, ntalia mie mweeRonny anazidi kuua.. Kha! Sio kwa utamu huo MTU anajali mpaka dhambi?!
Oraaaa! Kha! Shkamoo lara 1. Huyu HOM sio MTU mzuri n'nini hicho kumpa kigugumizi cha maamuzi mwenzie???TAYARIIII. Mambo kwivaa
This time huu uvumilivu won't do him any good..Ndo kusema HOM atakuwa kama KLM au???????? Ka Ronny kanatia huruma maskini, "Mungu ni mwema, mimi ni mvumilivu sana"
Kwa kweli hata me nitalia..Hahaha Ronny ni bad news kwenye kucare. lara 1 tafadhali, Ronny awe na good ending, ntalia mie mwee
Hahaha chonde chonde jamani, Ronny mwee. Haya ngoja nisubiri tu huo mwisho, ntafanyaje sasaEnding yenyewe kesho jioni mbonaaa,bado episode kama 2 tu,zikizidi sanaa 3. Sipokei Rushwa kubadilisha ending! Yoloooooooooo!
Yani naziona hizo dalili mmmhThis time huu uvumilivu won't do him any good..
Acha tu! Haya asante Lara kwa kunilaza SAA kumi alfajiri hii!Ligi kuu imepandishwa vigezoooo! Hahahaaa! Mnavojamba jambaa mpaka nawaonea Imaniii.
Jamaa mbaya aisee! HOM ni mshenzi hakunaga yuko kama panya yani.. Ila ningekua Linda hii chance ningeacha inipite sio kwa ushenzi ule.. Ukifanya maskhara unajimurder!Unachoona sio dalili ispokuwa YOUR PERSONAL REFLECTION kuwa katika situation kama ile usinge chomokaaa. HOM ni nuksi balaaa.
Mimi kuna ofisi nilikua nafanya, mala wakajiliwa wadada wawili kwa siku moja, basi wakaanza u Shost kama wanajuana kitambo. Mmoja alikua mwepesi kutoa siri za ndoa yake hadi mahawala zake anamwambia Shost wake. Na shost mwingine mmbea hatari, basi ofisi nzima tunajua anatoka na dreva mala yeye wala hajui. Kweli ma ofisini ni sehem ya kua mwangalifu sana na ma shostKuna wengine hawajali.....mie nakumbuka naanza tu intern baada ya kumaliza chuo.......nilipoingia ofisini hiyo kazi ilikuwa ya kusafiri........baba mmoja akaniita akaniambia jitahidi unaposafiri usije ukajisahau ukalala na dereva ama mtu unayesafiri nae ukirudi hapa utajikuta kwenye notice board kila mtu atakujua......
Na nilifwata ushauri wake nilivyorudi nikaambiwa eeh mtoto mgumu utadhani umewekewa dhahabu hiyo mbunye.......kuanzia hapo ndo nikajua ukijisahau ofisini utapata aibu ya milele.......
Mpaka leo wanaume wa ofisini big NO......