The Working Class, Savages in Suits

The Working Class, Savages in Suits

ukiongeza hapo utakuwa una Haribu maana nzima ya stori.. Binafsi hata mimi kwa mtazamo wangu na vile nanavyoisoma Hii stori sipendi Linda Awe na Ronny wala huyo bosi... Nitafurahi sana


wivu umekushika ibra87 muache agawe tu kwani hata huyo uliyenaye wewe kuna binadamu hawapendi uwe naye!!
 
Viccencia kazi hajuhi... ata Common Sense Hana!!!
Nimecheka Sana.
 
wivu umekushika ibra87 muache agawe tu kwani hata huyo uliyenaye wewe kuna binadamu hawapendi uwe naye!!
hilo ni kweli ulisemalo lakini nimeshangaa nampenda sana Linda na kutamani nimmeliki mimi hapa
 
Thanks Lara1, nimechelewa hadi kufata watoto shule
 
hilo ni kweli ulisemalo lakini nimeshangaa nampenda sana Linda na kutamani nimmeliki mimi hapa


Haha aha a labda kwa ule ushamba wake kutokujua mambo ndio umekufanya uvutike nao..that's every man's wish..hata mie natamani! !
 
Haha aha a labda kwa ule ushamba wake kutokujua mambo ndio umekufanya uvutike nao..that's every man's wish..hata mie natamani! !
ha ha ha ha ha! Ni kweli mkuu kwani unapokutana na mgeni katika kiota cha utamu basi inakufanya umuelekeze kila aina ya Mkao.. Lakini ukitaka kumroga zaidi na asimuwaze huyo Home Zama Chumvini katika staili ya kushoto kulia na juu kati.. Nadhani hatakumbuka tena kwao.
 
ha ha ha ha ha! Ni kweli mkuu kwani unapokutana na mgeni katika kiota cha utamu basi inakufanya umuelekeze kila aina ya Mkao.. Lakini ukitaka kumroga zaidi na asimuwaze huyo Home Zama Chumvini katika staili ya kushoto kulia na juu kati.. Nadhani hatakumbuka tena kwao.
Kwahy maufund hpend..
 
Nimeona tittle ya uzi nikasema hii working class nini nini ngoja nipitie... Mejikuta nasoma yotee.. You are a talented artist Lara!
Will make a follow up.... ❤️
 
Haha aha a labda kwa ule ushamba wake kutokujua mambo ndio umekufanya uvutike nao..that's every man's wish..hata mie natamani! !

Mbona HAMSOMEKIIIII? Mnatka kungwi au goi goi. Amakweli wanaume hambebeki kama Zigo la Mavi, vovte utakavo libeba lazima likunukieee. Hahahaaaa!

Kobe mimisijui kituuuuu,njoo unifundishe! Hahahaaaa
 
Binafsi nimemuelewa Sana HOM....Mae Mae..

Kwamba yeye ni MTU ambaye akitaka kitu hakikosi.
HOM....mtifue tena Linda, ukioa au usipomuoa ni matokea tuu
Ila hamna mkate mgumu mbele ya chai.
 
Kwahy maufund hpend..
ufundi nautaka na kuupenda sana lakini ukipata mwanamke wa kumfundisha huwa ana raha yake.. Kuna mikito mix ambayo haihitaji fundi wala saidia fundi.. Hata ukitaka mguu dalini atakuwekea tu.. Ukitaka utamu wa chapati utapewa tu.. Hakika natamani linda awe wangu ili nimfanye awe fundi.
 
Binafsi nimemuelewa Sana HOM....Mae Mae..

Kwamba yeye ni MTU ambaye akitaka kitu hakikosi.
HOM....mtifue tena Linda, ukioa au usipomuoa ni matokea tuu
Ila hamna mkate mgumu mbele ya chai.

Naona sasa kuna UKAWA na CCM. ACT PIA WAMO AMBAO HAWANA UHAKIKA WAKO KWA RONNY AU HOM. Hapo chachaaaaa mmakonde anakwambia
 
Mbona HAMSOMEKIIIII? Mnatka kungwi au goi goi. Amakweli wanaume hambebeki kama Zigo la Mavi, vovte utakavo libeba lazima likunukieee. Hahahaaaa!

Kobe mimisijui kituuuuu,njoo unifundishe! Hahahaaaa


mmh we Lala1 nakuogopa kama ukoma japo nakupenda kikaka na dada labda tukutane kwa stori za mpira kama yule jamaa yako Lecturer aliyekufundisha uipende chelsea pale soccer city!!
 
Kwa kuwa period sina hela as well bado nipo upande wa Ronny ila kuna wakati nalazimika kusimama upande wa HOM maana anaakisi wanaume wengi...
 
mmh we Lala1 nakuogopa kama ukoma japo nakupenda kikaka na dada labda tukutane kwa stori za mpira kama yule jamaa yako Lecturer aliyekufundisha uipende chelsea pale soccer city!!
bora shetani unae nijua kuliko malaika usiomjua! oooohhhhh
 
Back
Top Bottom