Udt Sangatit
Member
- Sep 24, 2012
- 53
- 9
dats a clear point.
Tarehe 3 mwezi ujao.Hadi sasa Obama ndo anaongoza kwenye kila poll hadi zile ambazo ni pro republicans kutoka fox news.Wao wanaminya na kuonyesha ni very close,lakini bado anaongoza.Wamebaki kulalamika tu.President Obama leo katoa hotuba safi sana huko UN,na sasa anaongea kwenye Clinton Global Initiative ambapo Romney ndo katoka kuzungumza,kama kawaida kuna vijembe vya hapa na pale.mdahalo wao n lini
Tarehe 3 mwezi ujao.Hadi sasa Obama ndo anaongoza kwenye kila poll hadi zile ambazo ni pro republicans kutoka fox news.Wao wanaminya na kuonyesha ni very close,lakini bado anaongoza.Wamebaki kulalamika tu.President Obama leo katoa hotuba safi sana huko UN,na sasa anaongea kwenye Clinton Global Initiative ambapo Romney ndo katoka kuzungumza,kama kawaida kuna vijembe vya hapa na pale.
Then unakubali kwamba uchumi sio kikubwa kuliko yote! Au kama uchumi ndio kitu kikubwa na Romney ndio ana mashiko kwenye uchumi kama ulivyodai basi polls zingeonyesha Romney yuko juu!Ni uchumi,lakini other things are unfolding!
Ukisema "wamarekani siyo wajinga" na kwamba "it is the economy stupid" maana yake uchumi ndio kitu cha kwanza kabisa na muhimu kwa Mmarekani na kwamba hawa wazungu wenye akili saaaaana wanapo employ uwezo wao wote kitu cha kwanza kukitilia maanani ni uchumi na hawawezi kuushindwa na kuona unaangamia....Its the economy stupid, Wamarekani siyo wajinga.
Hii ya Clinton Global Initiative...aisee Mangi ee umenifanya nikuamini kweli, hebu nipe link gani nipate video za hizo hutuba mkuu. asante sana Mushi,
Hii ya Clinton Global Initiative...
Obama speaks at Clinton Global Initiative - FULL SPEECH - CBS News Video)
http://www.google.com/url?sa=t&rct=...hYHACw&usg=AFQjCNHiUQkZfErss5fVfQL1vgPv-4y9Lg
Halafu chini ni ile ya UN...
http://www.google.com/url?sa=t&rct=...hYHACw&usg=AFQjCNFvJDCSIN1FZmvaCW6fy-TxnKRn-Q
Ya Romney...
http://www.google.com/url?sa=t&rct=...hYHACw&usg=AFQjCNFK3D9MpKOQ1I4jbSG-OjO26F6vrg
first debate takes place oct 3rd the major issue is domestic policy then sometime in mid oct the vice presidential debate and all major US news outlets will provide coverage.MDAHALO WA HAWA MAGURU WA SIASA ZA USA NI lini?NA TV GANI ZITAONYESHA ZAIDI YA CNN WILL LIKE TO WATCH THAT
obama is fake like jk.marekani kwa sasa haina hadhi iliyokuwanayo b4 utawala wake,wakimpa miaka mnne mingine,patakuwa ovyo zaid.asipewe kwa kuhurumiwa kisa mweusi,kashindwa kazi,ni msemaji mzuri bt sio mwajibikaji.
...Mkuu Sikonge, mchezo umekwisha huu sasa hivi ni formalities tu kabla ya Obama kutawazwa rasmi mnamo January 20, 2013.