Niliona opinion polls katika kipindi cha Jonathan Mann, political Man Obama anaongoza kila jimbo kwa zaidi ya 10% ya Romney, wamarekani hawapendi tena vita wameshapoteza ndugu na jamaa Iraq, Afghanistan na kwenye 9/11 kuitetea Israel si kigezo baba, Obama yupo juu sana
when it comes to America - Israel relationship, basi tunaongea kuhusu issue tofauti sana, believe it or not, Msimamo wa mtu kwa taifa la Israel ndio utayompa au kumnyima nafasi ya Urais, tusubiri tuone!
Bwana Romney kumshinda Obama ni ndoto za alinacha.Nikwambie tu wamarekani wako very sensitive na masuala ya dini. Romney ni Mkristo wa madhehebu ya MORMON ambayo wamarekani wengi hawayaamini kabisa. Na UKUMBUKE HAIJAPATA kutokea Mormon kuwa raisi wa Marekani,Hii kwa Wamarekani ni isssue kubwa ya kufanya Romney kushindwa. Na pia ukumbuke kwamba Republican huwa wanategemea sana wapiga kura wanaoitwa Conservative christian, ambao kwa kipindi hiki hawatajitokeza kwa wingi kumpigia chapuo Romney kwa sababu si mtu wao. Mtu wao alikuwa George Bush Junior. Na ukumbuke hao ndio base kubwa sana ya wapiga kura wa Republican. Kwaiyo nakuhakikishia kwamba Romney hatafua dafu.Obama atakuwa na kura nyingi sana za Weusi, na wanawake wazungu, mashoga,wasagaji,wahispanic, na atashinda SWING STATES ZA OHIO,PENNISLIVANIA, NA FLORIDA. Ukumbuke hakuna wanarepublican aliyepata Raisi wa Marekani kuanzia Mwaka 1960 bila kushinda OHIO.
Jews are only 2% of all people in USA , even if all Jews votes goes to ROMNEY , won't be enough votes to make him elected,
Also Many Americans now have wake up, they don't give a damn about Jewish state as they understand many things which are done to favor ISRAEL but come bad consequence to their country
So if ROMNEY win I'm telling you they will 70% chances of the IRAN war to happen, IRAN war is one example of AMERICA favor to ISRAELI mighty happen
we ni mwigulu? akili zinafanana
Mleta mada kilaza kweli. Tangu lini Obama akashindwa? Huoni hata alama za nyakati? Weka ukilaza wako pembeni na fikiria kama great thinker. Obama is going to win this election. Just mark my words that he is!
Kama alivyo m.k.w.e.r.e ama?Romney ni debe tupu...atagaragazwa leo vibaya sana ..hana kitu kichwani ..yaani kwa kifupi republican hawana mgombea ni pazia tu lile
Romney ni debe tupu...atagaragazwa leo vibaya sana ..hana kitu kichwani ..yaani kwa kifupi republican hawana mgombea ni pazia tu lile