The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Kama alivyogaragazwa Mbowe na Hamad Rashid?

Natamani siku Mwenyekiti wa Chadema aombe mdahalo na Mwenyekiti wa CCM.
 
Kama alivyogaragazwa Mbowe na Hamad Rashid?

Natamani siku Mwenyekiti wa Chadema aombe mdahalo na Mwenyekiti wa CCM.

Makamba Sr. Sialishawakataza Magamba kuhudhuria midahalo???
 
Kama alivyogaragazwa Mbowe na Hamad Rashid?

Natamani siku Mwenyekiti wa Chadema aombe mdahalo na Mwenyekiti wa CCM.
mbona hamtoe majibu ya thread?? pelelekni huko u ccm na uchadema wenu hapa tunaongelea uchaguzi wa wenye akili....
 
Kama alivyogaragazwa Mbowe na Hamad Rashid?

Natamani siku Mwenyekiti wa Chadema aombe mdahalo na Mwenyekiti wa CCM.

THUBUTU!! Mwenyekiti wa MAGAMBA ana "UBAVU" huo? Si atatafuta safari hata kama ni ya msiba kuliko akutane na Kamanda Mbowe?
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?QUOTE]

MAJIBU;

Hakuna Channel local itakayoonesha mdahalo mpaka sasa. Lakini kama unatumia king'amuzi cha STARTIMES wataonesha kupitia kituo kinaitwa MSNBC, kwa saa za Africa Mashariki ni saa 10-11 alfajiri. Wanategemewa kulumbana kwa dakika 90
 
Romney ni debe tupu...atagaragazwa leo vibaya sana ..hana kitu kichwani ..yaani kwa kifupi republican hawana mgombea ni pazia tu lile
Mkuu, kiu ya mleta uzi bado hujaijibu! Nikukumbushe tu, anachotaka ni hiki-
"Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?"
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?QUOT

MAJIBU;

Hakuna Channel local itakayoonesha mdahalo mpaka sasa. Lakini kama unatumia king'amuzi cha STARTIMES wataonesha kupitia kituo kinaitwa MSNBC, kwa saa za Africa Mashariki ni saa 10-11 alfajiri. Wanategemewa kulumbana kwa dakika 90

Thanks Mkuu!
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?

Not sure of any local channel that will brodcast live the debate. Muda wa debate ni 8pm ET = midnight GMT = 3pm EAT.
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?

kama una link ya online ya primetime tv ya U.S.A Watarussha live kuanzia saa 9 p.m u.s.a time. leo watazungumzia domestic policies. venue ni DENVER University.

TRIVIA: Naambiwa hapa hata JK ndio kilichompeleka marekani ni kufuatilia hii debate akiwa hotelini alipofikia
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?QUOTE]

MAJIBU;

Hakuna Channel local itakayoonesha mdahalo mpaka sasa. Lakini kama unatumia king'amuzi cha STARTIMES wataonesha kupitia kituo kinaitwa MSNBC, kwa saa za Africa Mashariki ni saa 10-11 alfajiri. Wanategemewa kulumbana kwa dakika 90

Ahsante KGARE
 
Last edited by a moderator:
Romney ni debe tupu...atagaragazwa leo vibaya sana ..hana kitu kichwani ..yaani kwa kifupi republican hawana mgombea ni pazia tu lile

Mkuu sidhani kama Romney ni debe tupu. Kama angekuwa debe tupu asingepata uungaji mkono wa karibu asilimia 50, in fact he is way much better than George Bush, kwa hiyo sidhani kama ni debe tupu anaongea point nyingi tu (kufanya makosa madogo madogo hakuna maana ya kuwa debe tupu)

Jana alisema debate si issue ya uchaguzi, uchaguzi una issues muhimu zinazotakiwa kufuatiliwa, na si debate yenyewe. Amesema hadhani kama Obama au yeye wana mataumaini makubwa ya kupata points kutokana na debates.
 
"Domestic Policies Only". Sasa huyu Mitt Romney ataongea nini??
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?

Kaa sambamba na Runinga yako kuanzia saa 10:30 alfajiri; Kama una king'amuzi cha star times jaribu channel 10 kama watahook-up na Sky News au tafuta Aljazeera, BBC na MNSBC; best wishes!
 
Wakuu naomba anayejua debate ya Obama na Romney itaanza saa ngapi kwa saa za bongo anijulishe, kuna local tv channel yoyote itakayoonyesha?

Mkuu heshima mbele. Kama unapata BBC na Aljeezira utapata kitu live.
 
Back
Top Bottom