The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

mashabiki wa romney taratiibu wanatimua.....ABC inawaonyesha kavu kavu....now live from NYC
 
Kwa sasa hakuna jinsi tena kwa Romney Senate Democrats wana 48 seats na Republicans wana 42, na inahitajika 51 seats ili kucontrol senate na inaelekea Democrats watashinda.......

Kwa upande wa urais OBAMA 244 Romney 203 na inahitajika 270 kushinda, matokeo ya Ohio na Florida.....ohooo OBAMA ameshinda IOWA.....

Namba zimeshabadilika kule mkuu, OBAMA 290 na Romney 203
 
Jaluo kaingia kudadadadeki watu weweee ulishaona mtu anakuwa na furaha mpaka ajipigia bao mwenyewe aisee....
 
mmenyongorota kweli nyie....





lol ... we!.. niveasikuelewe bana ... ur flip-flopping faster than an american presidency candidate two days before the erection..

Rates erect our readers now..........Mkurya mwingine alisikika

du ina maana hawajawahi kuerect?aisee wanawake wa huko walikua wanapata taabu

They do have ERECTIONS after every four years

"Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za "erection" limekamatwa Tundunyuma" - Katibu Mkuu

Hatukushindwa "erection", Magamba warituvuwa "erection" zetu wakazitumia wao, tumesusa kufanya erection tena, mpaka kiereweke.

So Obama was ERECTED yesterday.....congratulations to him
 
Back
Top Bottom