The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Will race be a fact on this election?


Obama-Romney election: Is race a factor

My Take:Race is always the factor and has always been.Ninachoamini,ni kwamba weusi wengi sana wanamsapoti Obama kwa nguvu zao zote.Hilo linaweza kuwa limechangia propaganda za tea partiers kuhusiana na watu weusi,hivyo ni wazi kuna wengi zaidi watakaopiga kura za race.Ni wazi baada ya Obama kushinda,ile moevement ya tea party ilikiteka chama cha republicans,na moevement hiyo ilibase kwenye uongo kwamba Obama siyo mmarekani na kwamba ni mkomunisti.Hivyo walijikusanya na kuhakikisha wanapata wawakilishi wengi kwenye congress,na waliposhinda,walisema wazi kabisa kuwa nia yao kuu ni kuhakikisha kuwa Obama hafanikiwi kwa lolote lile na kwamba hii itakuwa term yake moja.So hapa kwa maoni yangu ni kwamba advantage ni Romney.

Race itakuwa facts kwenye huu uchaguzi ata ukiangalia campaign zao utagundua hili. Kwa hapa pia me napata wasiwasi na ndipo naweza sema obama may loose popular vote! Ila kwa njinsi watu walivyo jitokeza tusishangae matokeo yakawa tofauti na tunavyo tegemea, Romney ana onekana kuwa na nguvu japo vyombo vya habari kupitia polls vinaonesha kumpa matumaini Obama!

Kwangu mimi Obama will win election, lets wait!
 
"Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za "erection" limekamatwa Tundunyuma" - Katibu Mkuu

Hatukushindwa "erection", Magamba warituvuwa "erection" zetu wakazitumia wao, tumesusa kufanya erection tena, mpaka kiereweke.
 
Uchaguzi wao mimi siuelewagi,kunawatu 530,na kuna wananch na kuna mizunguko mingi mno.vip kunaanae elewa utaratibu wa huko?i like mr obama cbe a king of world God bless him
 
Obama akishindwa tu wanazi wake watasema kashindwa kwa ajili ya race na si vinginevyo as if hawezi kushindwa kwa sababu zingine. Hili nilishalisema siku nyingi sana hapa.
 
race plays part of coz...kuna watu kama akina donald trump na wazungu wengi hasa republicans wanahoji u marekani wake...wanataka aonyeshe birth certificate, wengine wanasema ni muislam, utafikiri kua muislam ni crime, mambo mengi wanamzushia we angalia tea party na mambo wanayoongea ndio utajua...republicans toka 2008 obama alivyoshinda walisema their motto is to make sure obama is a one term president so jamaa hata kwenye senate ameshindwa kupitisha mambo mengi aliyotaka kwa sababu republicans wame block.
 
Ukweli ni kwamba habari kama hiyo hapo chini,ni miongoni mwa habari ambazo hazijaandikwa na wana JF,bali zimeandikwa na respectable and reliable source ndani ya Marekani kwenyewe...Race issue ipo na ni relevant,taka tusitake.Hata wazungu wenyewe wana acknowledge.Na ni a both way issue.

4 Years Later, Race Is Still Issue for Some Voters

STEUBENVILLE, Ohio - This is the land of die-hard Democrats - mill workers, coal miners and union members. They have voted party line for generations, forming a reliable constituency for just about any Democrat who decides to run for office.

But when it comes to President Obama, a small part of this constituency balks. "Certain precincts in this county are not going to vote for Obama," said John Corrigan, clerk of courts for Jefferson County, who was drinking coffee in a furniture shop downtown one morning last week with a small group of friends, retired judges and civil servants. "I don't want to say it, but we all know why."

A retired state employee, Jason Foreman, interjected, "I'll say it: it's because he's black."

For nearly three and a half years, a black family has occupied the White House, and much of the time what has been most remarkable about that fact is how unremarkable it has become to the country. While Mr. Obama will always be known to the history books as the country's first black president, his mixed-race heritage has only rarely surfaced in visible and explicit ways amid the tumult of a deep recession, two wars and shifting political currents.

But as Mr. Obama braces for what most signs suggest will be a close re-election battle, race remains a powerful factor among a small minority of voters - especially, research suggests, those in economically distressed regions with high proportions of white working-class residents, like this one.

Mr. Obama barely won this county in 2008 - 48.9 percent to John McCain's 48.7 percent. Four years earlier, John Kerry had an easier time here, winning 52.3 percent to 47.2 percent over George W. Bush. Given Ohio's critical importance as a swing state that will most likely be won or lost by the narrowest of margins, the fact that Mr. Obama's race is a deal-breaker for even a small number of otherwise loyal Democrats could have implications for the final results.

Obama advisers acknowledged that some areas of the state presented more political challenges than others, but said that the racial sentiment was not a major source of worry. The campaign's strategy relies in large part on a strong performance in cities and suburban areas to make up for any falloff elsewhere among Democrats in this or other corners of Ohio.

The Obama campaign aggressively monitors any racial remarks made against the president, but officials rarely openly discuss Mr. Obama's race. The president released his birth certificate last year in an effort to quell a growing controversy about whether he is a United States citizen. He said last month that race in America was still "complicated."

"I never bought into the notion that by electing me, somehow we were entering into a post-racial period," Mr. Obama said in an interview with Rolling Stone.

"I've seen in my own lifetime how racial attitudes have changed and improved, and anybody who suggests that they haven't isn't paying attention or is trying to make a rhetorical point," he said. "Because we all see it every day, and me being in this Oval Office is a testimony to changes that have been taking place."

Researchers have long struggled to quantify racial bias in electoral politics, in part because of the reliance on surveys, a forum in which respondents rarely admit to prejudice. In 50 interviews in this county over three days last week, 5 people raised race directly as a reason they would not vote for Mr. Obama. In those conversations, voters were not asked specifically about race, but about their views on the candidates generally. Those who raised the issue did so of their own accord.

"I'll just come right out and say it: he was elected because of his race," said Sara Reese, a bank employee who said she voted for Ralph Nader in 2008, even though she usually votes Democrat.

Did her father, a staunch Democrat and retired mill worker, vote for Mr. Obama? "I'd have to say no. I don't think he could do it," she said.

But the main quarrels Democratic voters here have with Mr. Obama have nothing to do with race. They include his rejection of one proposed route for the Keystone pipeline, a stance they say will harm this area, whose backbone, the Ohio River, is lined with metal mills and coal mines.

And the economy, on the rise nationally, is still stuck here. About one in three residents in Steubenville live in poverty, double the national rate. Shale gas, which has begun to bring profits to some counties in Ohio, has yet to take off here, and downtown is a grid of empty storefronts behind dusty glass.

The big word was ‘change,' but there's not been much of that," said Christopher Brown, a union leader in Steubenville, who said more than 200 of his members were still out of work. "Members are saying, ‘What has President Obama done for us?' "

As for race, he said, "It's not on the front table, it's in the back seat."
Just how far back is a question no one can definitively answer. "Race in America is always a work in progress," said Clement A. Price, a professor of history at Rutgers-Newark. "It's often a proxy for social anxieties, such as this long recession, joblessness and the war abroad."
Stephanie Montgomery, who is black and a graduate of Franciscan University in Steubenville, said her race came up so often in her job search in this area that she developed a technique for recognizing when it was happening. The sign: when warmth on the phone turns cool in person, and "they lose eye contact with you."
"You almost need a corporate environment to get a fair shot," she said while standing at a job fair in the Steubenville mall. She said that she did not vote for Mr. Obama in 2008 because she preferred Mr. McCain's more conservative platform, but that Mr. Obama seemed to be a lightning rod for criticism, in part because of his race.
"He's everything they hate," she said, referring to ultraconservatives. "An affirmative-action baby. Got the Nobel Prize without deserving it."

Many who raised race as a concern cast Mr. Obama as a flawed candidate carried to victory by blacks voting for the first time. Others expressed concerns indirectly, through suspicions about Mr. Obama's background and questions about his faith.

"He was like, ‘Here I am, I'm black and I'm proud,' " said Lesia Felsoci, a bank employee drinking a beer in an Applebee's. "To me, he didn't have a platform. Black people voted him in, that's why he won. It was black ignorance."

Louis Tripodi, a baker in Steubenville who voted for Mr. Obama, blames talk radio and Republican rhetoric for encouraging such attitudes. " ‘He's a Muslim, he's a socialist, he's not born in this country,' " he said. "It's got a lot to do with race."
Race has also helped Mr. Obama. It increased voter turnout among blacks in 2008, and some younger voters said it was part of why they voted for him. But now that history has been made, it is less of a pull.

"It was kind of like a bandwagon that a lot of young people jumped on because it was history," said Dee Kirkland, a 22-year-old working in a pizza shop in nearby Yorkville. "It was a fad to like him," she said, adding that "race shouldn't hinder you, but it also shouldn't help you."

Mr. Obama still has a number of enthusiastic supporters here. Diane Woods, the owner of Pee Dee's Brunch and Bar, a diner in downtown Steubenville, described him as "regal, and presidential," and said she would vote for him again because "when he talks, it makes sense to me."

The fact that race came up at all in 2008 "really showed how divided we still are," she said, cooking eggs one gray morning last week. "Blacks came out to vote for the first time because he was black, and you had all these whites saying, ‘Oh, there's another vote from some drug addict.' "

Mr. Corrigan, who supports Mr. Obama, said he believed that the president would ultimately win this mostly Democratic county but that it would be very close, a prediction he said was underscored by a recent flurry of Republican visits. Rick Santorum came here twice during his campaign, and Gov. John R. Kasich, a Republican, gave his annual address here this winter.
"It's going to be a nail-biter," said Mr. Brown, the union official.
http://www.nytimes.com/2012/05/04/u...still-issue-for-some-voters.html?pagewanted=2
 
Soma vizuri thread yangu, usitoe povu tuuu..mimi sijasema Romney anafaa, rudia kusoma wala hakuna sehem nimesema Romney asingemuua Ghadafi!!! povu linakutoka bila sababu, nilichosema US is all the same come Obama au Romney na mm kama MTanzania nina mambo ya msingi ya kusaidia nchi yangu US politics have nothing to do kwenye maisha yangu....YES he killed Ghadafi i hate him...[/QUOTE]

On the red highlight, You can believe what you obliged to! i can not educate or change what you have concluded sababu ya weird attitudes zako following your previous posts! on the blue highlights what are you trying to suggest?? what have you done to help your sorry Tanzania mate!
 
duh! abortion ? obama amefanya mengi akashidwa kusimamia haki ya watoto wa siku 0 - 270 ya kuishi . namuombea MUNGU arudi lkn atafakari sana kuhusu hili......
 
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...

Mkuu hata mimi kitendo cha kuuwawa Gadaffi kilinisikitisha sana, lakini OBAMA hakuhusika na mashambulizi ya ndege ndani ya Libya - Engineer mkubwa wa operation hiyo alikuwa Rais wa Ufaransa Sarkossy na Uingereza, Wajerumani walikataa kushriki katika mashambulizi ya ndege.

Sarkossy alikuwa na usongo wa kumuondoa madarakani/kumuua Gaddafi ili afiche kashifa ya kuongwa na Gaddafi, kwa ajili ya kampeini zilizo muweka madarakani kwa mara ya kwanza Raisi huyo wa Ufaransa, sasa katika kampeini ya kipindi chake cha pili Mfaransa huyo alifikili siri itafichuka na kumfanya akose Uraisi wa term ya pili.

Watu wengi walifikili Walibya ndio walimpiga risasi Gaddafi, ukweli wa mambo ni kwamba muuaji wa Gaddafi alikuwa ni spy wa Ufaransa ambaye alipewa kazi mahalumu ya kumuua Gaddafi, kwa kuwa alikuwa amevaa kama wapiganaji wa Libya ilikuwa vigumu kumtambuwa ingawa baadhi ya wapiganaji walikuwa wanajua njama hizo za Raisi wa Ufaransa.
 
Kweli hili ni tatizo sana na ndio mbinu wanayo tumia Republican, unajua hawa wenzetu hawana imani sana na mtu asiye mmarekani mwenzao kuwaonoza na ndio maana wana muundia zengwe kumuangusha na hili nafikiri litashindwa kama walivyo shindwa uchaguzi uliopita!

Obama will win!
race plays part of coz...kuna watu kama akina donald trump na wazungu wengi hasa republicans wanahoji u marekani wake...wanataka aonyeshe birth certificate, wengine wanasema ni muislam, utafikiri kua muislam ni crime, mambo mengi wanamzushia we angalia tea party na mambo wanayoongea ndio utajua...republicans toka 2008 obama alivyoshinda walisema their motto is to make sure obama is a one term president so jamaa hata kwenye senate ameshindwa kupitisha mambo mengi aliyotaka kwa sababu republicans wame block.
 
Vichekesho vya wiki! Eti wanaotumia race ni GOP tu. Very narrow mindedness....yale yale ya malaya mmoja kumuita malaya mwenzie malaya!
 
Nimeangalia citizen kuna kitu cha ajabu nimekiona yani kuna jamaa wameandaa mabox kwenye kijiji na yameandaliwa kwa pande zote, kuna upande wa MattRomney na upande wa Obama mwisho wa siku obama ameibuka mshindi hili eneo. Na wamesema watu wanaweza wakaona ni kama utani lakini wanaamini ita reflect matokeo ya uchaguzi huko America. Huwezi amini baada ya kumaliza kupiga kura na kura zikahesabiwa Obama alivyo shinda wameshangilia utadhani ndio wako America na wamesema hawatalala mpaka wasubiri matokeo ya America wanaamini Obama amesha shinda!

Jama wana hisia sana na obama, huwezi amini hata kenya huko Obama alipata wakumpinga!

Was so fun but they have faith on it!
 
slide_260985_1723874_splash.jpg



slide_260985_1723875_splash.jpg





slide_260985_1723853_splash.jpg




slide_260985_1715590_splash.jpg




slide_260985_1715628_splash.jpg

 
USA/CIA ndo ilikuwa nyuma ya hao Walibya mbona miaka yote hiyo hao Walibya hawakumuua?

Ni kweli, Merikani na nchi nyingine za magharibi specifically Ufaransa na Uingereza walihusika sana kwa kutoa pesa na silaha kuwapatia waasi, lakini waasi wasigeweza kufanikiwa kumuondoa Gaddafi madarakani bila ya misaada ya mashambulizi ya ndege za kivita za Ufaransa na Uingereza, hizo ndizo zilifanikisha kusambaratisha Air Defence System za Gaddafi, kulipua maghara ya silaha , kushambulia vifaru na kuangamiza ndege za Gaddafi.
 
Back
Top Bottom