The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Safari hii Gallup poll waliwekwa mfukoni na wale mamilionea 30 walioapa kuhakikisha Obama anahama White House. Karl Rove itabidi atafute pa kujificha la sivyo...!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole for loosing the battle, ni kawaida tu. Now focus on rutherford.
 
First Lady wa ukweli MO'


 
Last edited by a moderator:
Kiukweli mambo yanamwendea vyema Obama saana!Hadi usawa huu naweza kusema Obama ana uwezekano mkubwa wa kushinda urais kusema ukweli.Sitaki kuwa mtabiri,lakini Obama ana nafasi kubwa ya kushinda,on a scale of 10,ninampa a 9!
 
Kambi ya Obama pale Chicago wako very optimistic na wanashangilia sana kwasababu wanaamini mambo yanawaendea vyema!
Obama2012_041012.jpg
 
Kinachonifurahisha ni jamaa jinsi walivyokuwa wamemkamia kuhakikisha BO' hapati awamu ya pili. Agenda yao tangu 2008 mara tu baada ya BO kuchaguliwa ilikuwa ni kuhakikisha BO' is not reelected for a 2nd term, kitu ambacho ni cha kushangaza sana hasa ukiangalia matatizo mbali mbali tena makubwa yanayoikabili Marekani....sasa inaelekea itakula kwa Republicans.



Kiukweli mambo yanamwendea vyema Obama saana!Hadi usawa huu naweza kusema Obama ana uwezekano mkubwa wa kushinda urais kusema ukweli.Sitaki kuwa mtabiri,lakini Obama ana nafasi kubwa ya kushinda,on a scale of 10,ninampa a 9!
 
Naona Obama kajipati 10 electoral votes kutoka wisconsin.

Naona sasa anaongoza kwa 172 electoral votes dhidi ya 163 za mitt Romney lakini kazi bado ipo lets wait!
 
We Natalia vipi aisee.....mbona unakata tamaa...wakati ngoma yetu kabisa hii........
 
Oyaahh.....nyie kambi ya Obama....safari hii kwenu kimenuka....watch Mitt Romney taking the drivers seat.....watch!
 
LoL! Mkuu Ogah mnataka kuleta kura za wizi kama 2000!? akina hanging chad, pregnant chad and bush chad?

Oyaahh.....nyie kambi ya Obama....safari hii kwenu kimenuka....watch Mitt Romney taking the drivers seat.....watch!
 
Last edited by a moderator:
Hata Romney akishinda ****** lazima awe wa kwanza kutoka Afrika kwenda kutoa salam za pongezi kwa mgongo wa kualikwa na white house.
 
iwapo obama atashinda, kwakuwa ni kipindi chake cha mwisho, atatembelea kenya na labda tanzania. alijitenga na kenya kuwapotezea wamarekani.
So what?
Aje huku kufanya nini?
Unataka aje kugawa chandarua, kuzindua army bases, kushangaa mlima or what?

Kifupi hatumtaki kabisa uje huku East Africa kwani utatuongezea usumbufu mtupu.
 
Haya wakuu mliopo karibu na hizi media endeleeni kutudavuvulia yanayojiri huko kwa wenzetu.
 
Back
Top Bottom