The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Ni kwa vile alikuwa anahutubia wakati upepo mkali ukivuma, sio kwamba alitoa machozi. Jana kulikuwa na baridi kali na upepo mitaa hiyo ya Iowa. Hata hivyo, jamaa atashinda tena.
 
Erection ndo nini

Like this bridge has been magnificently ERECTED here.........understand?

peace-bridge-1.jpg
 
damn Malia is growing to be a fineee lady :A S-heart-2: BTW he must be really missing Teddy Kennedy in this campaigns
 
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...

Mna lalamika sana! aliyekuambia Obama kamuua Gadhafi ni nani mkuu!? na aliyekuambia kama rais angekuwa Romney angemtetea Gadhafi ni nani??? Toa sababu nyingine za chuki kwa huyu genius lakini sio hiyo mkuu!
 
Obama has nothing to do with dieth of Gaddafi

Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...
 
''ERECTION!!!!''
Duh! Hilo neno au mimi sijalielewa??????????????? Maana kwa mtu unayeelea kiingereza sawa sawa neno ERECT= Ni kitendo cha mhogo kusimama!!1 Au nakosea wadau?!
swali linakuja nani anaerectisha huo mhongo???wala hujakosea
 
Where can I get a Kuryan girl to erect me good before erection..?
 
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...

wewe utakuwa uamsho,gadafi aliuawa na walibya wenyewe ambao gadafi aliwait wadudu na gadafi alianza kuua raia wake,alivuna alichopanda,sasa unamsingizia obama
 
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...

Pole sana mkuu! Hata hivyo, dua la kuku halimpati mwewe!
 
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...

Well stated mkuu, whatever happens ni sawa hawa jamaa wanajijali wenyewe na kutifua nchi nyingine, good riddance
 
Back
Top Bottom