Mkuu Safari_ni_Safari; kwa kuwa neno "erect" halina maana moja katika lugha yake ya asili, huenda wewe ndiye uliyelitafsiri vibaya kwa sababu mawazo yako muda wote yako kwenye mawazo ya kizazi cha nyoka. Huyu Mkurya alikuwa sawa kwamba Waamerika wata-erect Rais wao, kwa maana ya kumweka hadharani miongoni mwa wagombea wengine.
[/h]Today was an emotional day for obama when speaking to his fans in IOWA, President Barack Obama hosting the last campaign event of his political career in Des Moines, Iowa, is hard to top.
"I came back to ask you to help us finish what we started because this is where our movement for change began," Obama declared. "To all of you whove lived and breathed the hard work of change: I want to thank you. You took this campaign and made it your own ... starting a movement that spread across the country.
"When the cynics said we couldn't, you said yes we can. You said yes we can and we did. Against all odds, we did," he said.
Wiping the occasional tear from his eye, and looking over a crowd of 20,000, Obama concluded with the same story that he told on the last day of his '08 campaign: about the origins of his signature "fired-up-ready-to-go" chant. The arc of his first term in office was seemingly complete.
kama mnakumbuka IOWA ndio ilikua state ya kwanza iliyompaga ushindi kwenye primaries wakati anashindana na hilary clinton so his last ever campaign speech maana hata akishinda urais hii ni term yake ya mwisho so hata campaign tena for urais aliamua kurudi back to IOWA na kuwashukuru coz bila wao probably asingekua hapo alipo leo hii....it was quite an emotional speech...
Obama whatever the outcome tonight we're so proud of you, you have already made history in america and no one will ever take that away from you, not republicans(racists) not anyone else. All the best to you and your lovely family. GOODLUCK AND GOD BLESS!!
Mkuu, kulingana na maelezo hayo, anayekuwa erected (kuwekwa juu zaidi ya wagombea wengine - elect) ni mtu sio lisanamu lake. Mghani alikuwa na nia nzuri, ila wajabiaji/hadhira tumebadilisha maana yake.
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...
Alipomuua Ghadafi sitakaa nimsamehe huyu jamaa...lolote baya atakalopata kwangu mimi ni sawa, kwanini aliipiga Afrika akiwa madarakani?!! akaipiga Libya na kuisambaratisha kabisa.!!! akamuua Ghadafi kwa aibu kama yeye hatakufa..hafai kabisa huyu jamaa...
''ERECTION!!!!'' Duh! Hilo neno au mimi sijalielewa??????????????? Maana kwa mtu unayeelea kiingereza sawa sawa neno ERECT= Ni kitendo cha mhogo kusimama!!1 Au nakosea wadau?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.