The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

slide_261104_1717754_free.jpg
 
Mtoto wa mjini naona unamtetea sana Obama mna uhusiana au!

BTW mimi nimeisha ota kisha shinda, nimeona kashinda Florida pia lakini kwenye ndoto na mimi ndoto zangu huwa za ukweli :biggrin1:

:biggrin1: mimi hua natetea democracts siku zote hata wakati wa clinton, al gore, kerry na sasa obama...i hope ndoto zako leo zitakua za kweli, akichukua florida basi romney hana kitu tena
 
Tatizo hujui siasa za Dunia, Ghadafi aliuwawa na NATO na hili ni jeshi linaloongozwa na US na Commnder in Chief wa US army ni Obama sasa unakataa nini?!! you think wale wahuni wangeweza kumuua yule kamanda bila msaada wa hawa wanywa damu?!!! u cant be serious!! Hii ni nchi ya laan hata ungesema unaipenda ni sawa na kupenda mauaji ya mamilioni ya watu wanaouwawa kila uchao duniani kote!!! thats a shame...

kwa hiyo syria hawaui watu? libya, afghanistan, iraq,iran, somalia huh..hawa hawaui watu...isingekua marekani leo hii dunia kusingekua kuna kalika na bado..next assigment syria na iran
 
Kazi kwishnei!!!!

slide_258525_1671109_free.jpg




Watu mnahangaika na polls kumbe kuna mtu tayari kashamaliza mchezo huko mitaa ya kwao!


Witchdoctor predicts Obama win


witch051112_01.jpg
A witch doctor in Obama's ancestral village, Kogello, has predicted Obama win. [Photo:Courtesy]
-Adapted from AP


At President Barack Obama's ancestral village in Kenya, witch doctor John Dimo tossed some shells, bones and other items to determine who will win Tuesday's election.

After throwing the objects like so many dice outside his hut in Kogelo village, Dimo, who says he is 105-years-old, points to a white shell and declares: "Obama is very far ahead and is definitely going to win."

It's not a surprising result in Kogelo, Obama's late father's hometown in Western Kenya, where expectations of an Obama election victory over Republican presidential candidate Mitt Romney were high on Monday.

While pollsters in the U.S. are using interviews, statistical analysis and the technology to predict the outcome of the election in America - one that is expected to be close - Dimo uses techniques he learned from his father, and is confident of his predictions.

Obama is the son of a white mother from Kansas and a black father from Kenya and has five Kenyan half-brothers and a half-sister.

Half-brother Malik Obama said Sunday the family sees no reason why Obama shouldn't be elected for a second term. He was speaking during a sports tournament he organises every year in honour of their late father, Barack Obama Sr.

Standard Digital News : Kenya : Witchdoctor predicts Obama win
 
  • Thanks
Reactions: BAK
iwapo obama atashinda, kwakuwa ni kipindi chake cha mwisho, atatembelea kenya na labda tanzania. alijitenga na kenya kuwapotezea wamarekani.
 
Atakayeshinda yeyote kwangu mimi ni sawa tu, hanipunguzii wala haniongezei lolote, naona Wabongo wana Ugonjwa wa Kiobama Obama.
 
470_2534086.jpg


Just days before Nov. 6, Yahoo! asked voters to reveal whichcandidate they're backing -- Barack Obama or Mitt Romney or another candidate -- and, briefly, why. Here are one voter's thoughts.
He may have gone in like a lamb during that first debate. But he's coming out like a lion toward the finish line. I'm voting for Obama because he's smart. He learns fast from his mistakes.
Initially, I was disappointed, like many who had voted for Obama the first time, because I thought he hadn't accomplished much. But after his health care reform survived the predominately Republican Supreme Court ruling, I realized that he really did accomplish something.
Who can fix the mess -- in just four years -- that Obama inherited? No one. Probably not even in four additional years. But we should give Obama a chance to continue what he started. Obama is a fast learner and that's why he should be president again.
-- Ilene Springer, Dover, N.H. (living in Malta as an American expat)

Voters' Picks: Obama Takes the U.S. by Storm on Nov. 6 - Yahoo! News
 
Kwa wakenya naweza kusema wana endeshwa na hisia na wanampenda sana Obama , kwa hiyo sitegemei mkenya kusema tofauti na hayo!

Sina wasiwasi na jua Obama might win lakini hawawezi wakawa watabiri wazuri!
 
Back
Top Bottom