Binafsi mimi ni mwafrika safi kabisa lakini sishabikii uchaguzi wa Marekani hata kidogo, nasema hivo kwa kuwa rais wa Marekani anaongozwa na policy zao. Kwa hiyo kwangu mimi hata akichaguliwa Obama au Romney haitanipunguzia kitu kama Mtanzania au mwafrika. Kwani tokea Obama achaguliwe kuna nini cha ziada sie waafrika tumefanyiwa na mwafrika huyu mwenzetu zaidi ya kuona Ghadafi wa Libya akiangushwa na utawala wa Marekani huku wakiiacha Libya nchi isiyotawalika? So US president has nothing to do with Africa so long as he will be guided by US foregn policy and he has to follow them whether he like or not. So to me whether Romney or Obama elected it won't change anything in African daily life