The Truth Behind The Scenes: Lowassa na Chadema!

Unahitaji kuwa na akili kilema kuamini kuwa TISS iko chini ya Lowassa....
Njaa tu hizi za watanzania.........ukiwa na njaa wewe ni mtumwa kwa mwenye chakula!

Lowasa got dough.......big time.....hela yake ipo kwenye Matank kama ya kuhifadhia maji....chezeya Lowasa wewe...!!:spy:
 
ndugu yangu Mshikachuma,naomba ukubali na kama hutaki kukubali unaweza kuacha,kwa kuwa system yetu ni mbovu na kwa kuwa nguvu ni nguvu,basi elewa Lowassa ndiye Rais 2015

Wewe unajuaje kuwa atakuwa hai? ana mkataba na Mungu? binadamu tuanalewa sifa na tunakufuru hadi kunafikia hatua ya kusema lazima muda fulani ukifika nifanye hivi.
 
Usiwaze sana mwanakwetu EDWARD hana kufikiri ila akiamua kusema leo hii jinsi bosi wake alivyo leta richmond na mambo kina 6 na mawembe waliyo mfanyia basi hata wewe utampatia kura yako tusubiri wakati ukuta ata yazungumza yote hayo.

Nachelea kuamini Lowassa kuwa mgombea 2015, na pia kuwa
Rais, okay yawezekana wanaosema haya wanajua zaidi ama wana
data zaidi kuliko, lakini Watanzania ni wepesi kuamini kitu bila
hata kufanyia uchunguzi ama kuumiza kichwa kidogo kisa tu,
labda ameambiwa na mtu kutoka Ikulu au cjui babake ni kigogo huko TISS.

Okay mnataka niamini Lowassa anahodhi hisa 75% huko TISS, kimahesabu
maana yake hyo TISS ni ya kwake, swali langu ni dogo tu..
Kuna mtu amgeamini kama Lowassa angefika mpaka kujiuzulu
kwa ushawishi huo alio kuwa nao huko TISS bila kuzuia hyo
saga???? Ni vigumu kuamini lakini najua wenye data zaidi yangu
watakuwa na jibu la hili kama kawaida yao! Au jamaa alipata hzo hisa
baada ya kujiuzulu?????

Tatizo la nchi hii sio mtu ni mfumo ndio unaotutesa, lakini
mfumo huu umewekwa na watu hao hao, sasa tunahitaji mtu mpya
atakayerekibisha hii mifumo dhalimu na kukaa kwenye mstari.

Nakiri kwamba ni vigumu kumpata huyo mtu katika mazingira haya
lakini ukweli ni kwamba watu makini wapo japo ni wachache.

Taifa letu limekos mustakabali, kuna watu wachache ndio
wanatuchagulia Rais na hii inatokana ya kuwa watu wengi
ni wajinga na walioenda shule wanafanya mambo kwa maslahi
yao, lakini muda unakwenda mambo yanazidi kubadilika.

Sisi ni wanafiki na ndio maana, mabadiliko yanatukimbia...
Kitendo cha kukiri tu kwamba jamaa anaikamata TISS tayari
ni kukubali unyonge, yaani hyo stori imekuwa kama nyimbo
yaani kila sehemu inapigwa watu hatuna reaction nayo bali tunaona
ndio sawa, mabadiliko ya kweli huanzia kwenye nafsi na sio laxima kwenda
barabarani.

Tunapenda changes, lakini fikra zetu bado si changamfu.
 
Lowasa kuwa Rais ni mwaka 2015....ni ngumu kama nabii kuzaliwa TANDALE KWA MTOGOLE
 
Mtoa mada ni dhaifu kwa sababu hili picha alijakamilika ni jinsi anavyoelewa yeye ni tofauti na ukweli jinsi ulivyo, ni kweli zaidi ya 75% ya usalama ni wafoasi wa lowasa ila hii njama haipo chini yake ni ndio maana imekuwa raisi sana kwa chadema kupata hizi taarifa kabla ya utekelezaji. kunakitu ambacho kunasiku kitajulikana na mm hapo ndio nitakuwa huru kuwaelezea ni nini kinachoendelea ndani ya hii nchi yetu, najua watu wengi watakuwa wanapenda kujua ni nini ila muda sio muafaka maana naweza nikaulimbokarized.
 
Mtatajana Mmoja baada ya Mwingine hizi ni rasha rasha tu.....mchawi mpe mwana amlee!
 
inabid ubadlishe thrd name yako cz ww si hgh thnker kama unavyojiita..jaman huyu huyu lowasa asalitiwe na wenzake aliowasidia kuingia madarakan 2005 leo eti anawahujumu chadema...hilo ata unifanye nn sikubaliani nalo mmeshaona hali ya hewa imeshachafuka na embasy zmeshapata taarifa nw mnataka kubadili upepo si kweli...umetumwa ili upme upepo na wale waropokaji sasa wambie tumekukatalia...ss si wa mwaka 1947 mwacheni lowasa adili na jimbo lake..juz juz tulskia kwenye gazet moja kwamba anahujumiwa leo et awahujumu Chadema...UPEPOTEA NJIA kaendelee kufanya kaz
 
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo

update follow shortly


Tangu lini lowaasa kawa raisi? unajua nn maana ya kuongoza au unalopoka tu. ungesema namshauri. kikwete hapo poa na mwenye maamuzi bado ni kikwete hapo.
 
Mkuu cjakuelewa kwa taarifa yako, unaweza kuifafanua vizuri na kuleta evidence
 
ww top nanii huna haja ya kuwadanganya wanajf CDM mpaka wametoa fact mbaya wao wameshamjua uspoteze muda
 
THE UNCEREMONIOUS UN-MASKING OF PRESIDENT KIKWETE'S DOUBLE-FACE BETWEEN THE WEST AND IRAN SEND MAGOGONI TO DEEPEST EVER PANIC NOW BEING FORCED TO SPILL-OVER ON LIVES OF OPPOSITION LEADERS

Who does not know what levels of President Kikwete scandal and Magogoni nationwide panic in the recent days mean and prove of him in the face of the international community by choosing to clandestinely re-flagging the embargoed Iranian vessels in our name and without our prior permission as a nation??

Every other day some Kikwete-faithfuls forcefully seek to potray him as an angel of all years free from rots and doubts but merely easily GET CHEATED OR ILL-ADVISED by his assistants any other occasion. How I have of late found myself HATING that kind of phrase like KIKWETE MWENYEWE HAUSIKI / KIKWETE AMEDANGANYWA TU NA WASAIDIZI WAKE / NI LOWASSA, OH ni fulana ...

Bull-shit!!!! Go and tell this to the birds. Tangu lini Edward Lowassa, pamoja na mabaya yake yote, amekua Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hiii???????????? Pamoja na kwamba sikubaliani kabisa na mwenendo wa uongozi wa Lowassa, huwezi kunilishi huu ujinga nikaumeza hata kidogo.

Matumizi mabaya ya vyombo vyetu vya usalama nchini kuua ama kutesa sauti huru, President Kikwete is ROUNDLY ON THE SPOT and no passing the buck here as the whole nation is currently watching his every other move before a need to prevent all these could be called for nationally and or internationally!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

I just can not see how the heathens can come out of the self-imposed hooks ny sooner and any easier by mere killing of opponents. Yes, I just cannot see how a death of Dr Slaa, Mnyika and Lema would hand Zitto the country's presidency on a silver-plater to inherit the Iranian agenda in Tanzania.

No, no way here. If a mistake is repeated to use our security forces the religious-agenda way then a huge divide in the institutions shall just be unpreventable!

Hello people!

Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri

Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!

Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa, najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!

Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo

update follow shortly

 
ndugu yangu Mshikachuma,naomba ukubali na kama hutaki kukubali unaweza kuacha,kwa kuwa system yetu ni mbovu na kwa kuwa nguvu ni nguvu,basi elewa Lowassa ndiye Rais 2015

Topthinker hebu fikiria vizuri una uhakika kama hayo unayoamin na unataka sisi tuyaamin kuwa yatatimia? Vipi kuhusu uhai je nao una uwezo wa kuusemea hata japo kwa sekunde mbili? Kama sio basi nasi tunaamini yote yatatimia endapo MWENYEZI MUNGU atatujaalia uhai na afya njema pia kuruhusu hayo yatokee
 
Awe Lowasa awe Ngoiyai awe Kikwete awe nani yeyote wa upande wao hakuna anayemtakia mtanzania mema.
 
Jamani kuweni ma great thinker ni ninyi wenyewe mlileta thread hapa kuwa tiss walitaka kumuua lowasa mpaka mwanae fred akampandishia mheshimiwa wa tiss Arusha Swali kama yeye anaweza tumia tiss kwanini walitaka kumrudi?2 Je edward ndie mkuu wa nchi?. Kwa taarifa zisizo rasmi huyu ed na jk hawapo tena jirani kulingana namambo yalivyo ilaa Edward kaamua kuto mwachia mlevi pombe na baa watabanana humohumo mpaka kieleweka hivyo achane kumpikia majungu EDWARD:israel:

sasa naona wanataka kumchafua lowasa kwa kumsafisha Jk. Ni kitu kibaya sana kumtuhumu lowassa katika machafu yanayoendelea katika nchi yetu. Wakulaumiwa ni swaiba yake ambaye anataka kujishafisha kupitia Lowassa.
 
Acha uongo aliyekuwa anamfahamu Kikwete ni Julius Kambarage Nyerere tu. Wengine tunaona vimbwanga vyake tu.
 
Back
Top Bottom