Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
eeeh bana dah kumbe masai kam ilivyo ada kuua ng'ombe sio issue, ndo anataka kuteketeza watu wetu eeenh, waambieni nc
mkuu topthinker kama id yako inavyijieleza binafsi naomba uniambie amefanya yapi mazuri au mabaya mpaka ukonclude hivyo?????????na nikuambie hivyo kufanya kazi na mtu sio tatizo ila jua kuwa MOYO NI KIZA KINENE HUWEZI TAMBUA ,YUPI MKWELI YUPI MWONGO ANAYEZINGUA WASWAHILI WALISEMA ,NAHISI HUMTAMBUI KIKWETE VIZURI YULE NI MTU WAVISASI KWELIKWELI CHUNGUZA ALICHOWAFANYA WANAFUNZI WA UDSM WALE WALIOMZOMEA SIKU ILE THEN UJE HAPA USEME NI MTU MZURI,KILA WALIPOPELEKA KESI WALIAMBIWA TUNAJUA HAMNA KESI HAPA ILA MAAMUZI YAMETOKA JUU,KWANINI MLIMZOMEA KIKWETE??????????HUMJUI VIZURI MKUUHello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
It might be....je unataka tuamini TISS ni watiifu kwa Lowasa kuliko Kikwete.....
Hapo nilipoBOLD....unauhakika gani kuwa yeye ndiye Rais ajaye? Wewe ni nani hadi uwasemee watanzania wote?watanzania wote waelewe kwa sasa hivi Lowassa ndiye Rais ajaye na wasiwasi wake upo zaidi kwa chadema kuliko kambi tofauti ndani ya ccm
Hapo nilipoBOLD....unauhakika gani kuwa yeye ndiye Rais ajaye? Wewe ni nani hadi uwasemee watanzania wote?
Nashawishika kusema wewe ni muongo na pia yaonyesha uko kundi la mamvi na umekuja hapa kumpamba mtu wako.
watanzania wote waelewe kwa sasa hivi Lowassa ndiye Rais ajaye na wasiwasi wake upo zaidi kwa chadema kuliko kambi tofauti ndani ya ccm
Mbona halindwi na bodigadi pale bungeni?... serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa...
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly
It might be.
Kumbuka kwamba Lowassa alisema (na anazidi kusisitiza) kwamba yeye na JK hawakukutana barabarani. Walipokutania wanapajua wenyewe, kwa hiyo si ajabu statement hiyo hapo juu kuwa 'TRUE'
Mkuu TT naheshimu mawazo yako, lakini kwa vile ni wewe ndiye uliyeleta huu uzi hapa huna budi kufunguka kwa ushahidindugu yangu Mshikachuma,naomba ukubali na kama hutaki kukubali unaweza kuacha,kwa kuwa system yetu ni mbovu na kwa kuwa nguvu ni nguvu,basi elewa Lowassa ndiye Rais 2015
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo
update follow shortly