by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
.....Nadhani atakuwa ni mti wa matunda......
matunda gani hayo maepo ya souz nini kama sio fenesi
.....Nadhani atakuwa ni mti wa matunda......
Weka part II
Lowasa hana mtandao unaoweza kumpa ushindi wa kushinda Uchaguzi mkuu na kama CCM inataka kuangamia wamuachie Lowasa awe mgombea wao, tunaelewa hata wakieka kumbikumbi CCM itaamka na ushindi lakini kwa Lowasa basi Nchi itagawika ,Lowasa hakubaliki na wala hauziki kwa wananchi. Ushindi wa Kikwete ulitokana naushauri wa Hamad Rashid.
muulize kapteni JACK ZOKA, huyu mtu ni hatari sana