The Truth Behind The Scenes: Lowassa na Chadema!

The Truth Behind The Scenes: Lowassa na Chadema!

kwa hiyo umesema JK unamjua vizuri na umefanya naye kazi, taabu sana. Ukasema nchi hii penda usipende inaendeshwa na Lowasa ili hali sisi tunajua rais ni huyo rafiki yako. Sasa mimi najiuliza wewe unamfahamuje JK? kwamba ni under performer au nini? imenichanganya sana
 
Nchi inaongozwa na Kikwete ila akitoka ndio kijiti atapewa Lowassa
 
Mkuu TT naheshimu mawazo yako, lakini kwa vile ni wewe ndiye uliyeleta huu uzi hapa huna budi kufunguka kwa ushahidi
mzuri ili tukuamini. Hapo nilipoBOLD hivi ni kweli kwa akili yako wananchi wa dunia ya sasa wanaweza kuwa makondoo kila
siku kwa kuchaguliwa Rais na usalama wa Taifa? hivi unafikiri hao usalama wa Taifa awasomi alama za nyakati? Umesema
Lowassa ana nguvu kushinda umma....hebu nipe nguvu moja tu ya Lowassa

Mshikachuma usifikiri ccm na usalama wa taifa hawajui nini kinaendela,na usifikiri hawajui kuwa watanzania wameamka kutoka usingizini,basi kwa kuwa wanaelewa hilo tambua kuna mambo yanawekwa sawa kwa gharama yoyote ile kwa kushiriana na intelligence za baadhi ya mataifa rafiki,kumbuka pale juu niliongelea neno "nguvu"sidhani kama ulinielewa vizuri
 
Kwa nn watu wana amini Lowassa ana nguvu sana huko TISS,
Je ni udhaifu wa TISS na Serikali, what so special that Lowassa offer to TISS,
Lowassa akiishika TISS ndio kaongoza nchi, wht about other Organs



Watu wengi wananena sana mtaani kuhusu hicho kitu, lakini sidhani kama
ni rahisi hivyo,Lowassa ana deni kubwa sana la kujisafisha na sio kwa porojo.

Nchi sio kasiri ya mtu eti kwa kuwa umeshika TISS tu basi ndio unaingia.

Sinema anayoianza Lowassa atajiua mwenyewe.
Usiwaze sana mwanakwetu EDWARD hana kufikiri ila akiamua kusema leo hii jinsi bosi wake alivyo leta richmond na mambo kina 6 na mawembe waliyo mfanyia basi hata wewe utampatia kura yako tusubiri wakati ukuta ata yazungumza yote hayo.
 
mkuu topthinker kama id yako inavyijieleza binafsi naomba uniambie amefanya yapi mazuri au mabaya mpaka ukonclude hivyo?????????na nikuambie hivyo kufanya kazi na mtu sio tatizo ila jua kuwa MOYO NI KIZA KINENE HUWEZI TAMBUA ,YUPI MKWELI YUPI MWONGO ANAYEZINGUA WASWAHILI WALISEMA ,NAHISI HUMTAMBUI KIKWETE VIZURI YULE NI MTU WAVISASI KWELIKWELI CHUNGUZA ALICHOWAFANYA WANAFUNZI WA UDSM WALE WALIOMZOMEA SIKU ILE THEN UJE HAPA USEME NI MTU MZURI,KILA WALIPOPELEKA KESI WALIAMBIWA TUNAJUA HAMNA KESI HAPA ILA MAAMUZI YAMETOKA JUU,KWANINI MLIMZOMEA KIKWETE??????????HUMJUI VIZURI MKUU

Nivea
Hebu niambie nini kilitokea kwa hawa vijana?
 
Siwezi ku-ignore ila wacha kwanza niyaweke kabatini haya.
 
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo

update follow shortly

Hili siyo jukwaa la kampeni,kama ni kampeni za chooni kazifanyieni hukoooo Monduli,LWS kitu gani katika nchi hii hachoki kujibaraguza tulishamsahau kitambo msiturudishe nyuma kukumbuka maovu ya Richmond,mbaya zaidi kufukuza watumishi kazi majukwaani,hivi kaharibia maisha watu wangapi na leo anataka kujisafisha kwao,Hatutaki hata kusikia jina lake mbali na yeye mwenyewe.
 
Mshikachuma usifikiri ccm na usalama wa taifa hawajui nini kinaendela,na usifikiri hawajui kuwa watanzania wameamka kutoka usingizini,basi kwa kuwa wanaelewa hilo tambua kuna mambo yanawekwa sawa kwa gharama yoyote ile kwa kushiriana na intelligence za baadhi ya mataifa rafiki,kumbuka pale juu niliongelea neno "nguvu"sidhani kama ulinielewa vizuri
TT, hapo nilipoBOLD ndiyo nilikuelewa....si ulisema Lowassa ananguvu kuliko mtu yeyote? Pia inakuwaje hao hao ccm
ambao hawamtaki Lowassa wafanye kazi ya kumpigania kwa gharama yoyote ile ili aingie ikulu? muongozo tafadhali
 
kwahiyo matamshi ya mhe.Mnyika kuwa tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa KIKWETE ni ukweli mtupu basi??!iweje yeye ni ndiye aliyekabidhiwa dhamana na watanzania alafu mtu mwingine ambaye amechafuka na kupoteza imani kwa watanzania walio wengi amburuze,Kwanini kikwete akubali kuburuzwa na Lowassa kama hoja inaukweli?
kwanini Kikwete anyamazie vyombo kama TISS/UWT na rasilimali zake kutumika kwa lengo la kuwadhuru viongozi wa watu?
 
watanzania wote waelewe kwa sasa hivi Lowassa ndiye Rais ajaye na wasiwasi wake upo zaidi kwa chadema kuliko kambi tofauti ndani ya ccm


hapa hapa Jf tumeambiwa 2015 Lowassa atagombea kupitia Chadema.... sasa mnatuchanganya
 
Taraaaaaaaaa!!! directed by Wakwere. kama ni kweli basi mwisho wa hii picha nadhani movie itatoka kwenye TV na kuwafata watizamaji kumalizia ng'we yao....
 
Jamani kuweni ma great thinker ni ninyi wenyewe mlileta thread hapa kuwa tiss walitaka kumuua lowasa mpaka mwanae fred akampandishia mheshimiwa wa tiss Arusha Swali kama yeye anaweza tumia tiss kwanini walitaka kumrudi?2 Je edward ndie mkuu wa nchi?. Kwa taarifa zisizo rasmi huyu ed na jk hawapo tena jirani kulingana namambo yalivyo ilaa Edward kaamua kuto mwachia mlevi pombe na baa watabanana humohumo mpaka kieleweka hivyo achane kumpikia majungu EDWARD:israel:

Ukipitia vizuri thread za kisiasa, utasoma kwamba Tiss ina makundi kadhaa ambayo huwajibika kwa watu kadhaa pia. Wapo wanaomtii mtawala aliyepo na kufanya kile wanachoagizwa na wapo wasiopenda yale mabaya yanayotendwa na wakubwa. Hawa wa kundi la pili ndio hao ambao hutuvujishia habari zingali za moto toka jikoni ili tujiandae kwa lolote. Nadhani unanielewa
 
Kwa nn watu wana amini Lowassa ana nguvu sana huko TISS,
Je ni udhaifu wa TISS na Serikali, what so special that Lowassa offer to TISS,
Lowassa akiishika TISS ndio kaongoza nchi, wht about other Organs



Watu wengi wananena sana mtaani kuhusu hicho kitu, lakini sidhani kama
ni rahisi hivyo,Lowassa ana deni kubwa sana la kujisafisha na sio kwa porojo.

Nchi sio kasiri ya mtu eti kwa kuwa umeshika TISS tu basi ndio unaingia.

Sinema anayoianza Lowassa atajiua mwenyewe.


well said
 
Mimi kiingereza sikijui,
Lakini hapo kwenye RED unasema kwamba Rais Kikwete ni DHAIFU sio??
Orait........sasa nimekuelewa.
Hello people!
Naomba ieleweke wazi kabisa tuhuma zilizotolewa na Chadema zitatikisa taifa letu na kuna mabadiliko makubwa yatatokea kutokana na tuhuma hizo,kwa taarifa ni kwamba hizi tuhuma zitakwenda mbali kuliko tunavyofikiri
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa Kikwete hausiki kwa namna yoyote ile na tuhuma hizi yeye binafsi,nimefanya kazi na Kikwete ninamjua vizuri japo sio Adequate to accomplish a purpose by any means!
Mhusika mkuu wa tukio zima au shutuma zilizoletwa na Chadema sio mwingine bali ni Edward Lowassa,
najua kuna watu wake hapa Jf na kama mnasoma hii tuingie moja kwa moja kwenye Hoja na Evidence!
Naomba ieleweke wazi kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa sasa inaongozwa na Edward lowassa,na hakuna mtu au taasisi yoyote ile hapa nchini kuzuia hilo

update follow shortly

 
Back
Top Bottom