Wanadamu tunazo hatari nyingi zinazotukabili kwa sasa.Abiria wa Malaysia Flight 370 waliamini siku ile kwamba wangefika majumbani kwao salama.Hata hivyo haikuwa hivyo.Ipo hatari mbaya iliyokuwa mbele yao.kwa bahati mbaya hatari ile kama zilivyo nyingi siku hizi ni za kutengenezwa.Google"The truth behind Malaysia Airlines Flight 370" kujua kilichotokea.