The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Hahahaha NN umeuaShe is flat as a pancake. She suffers from Noassatall.
Hahahaha NN umeuaShe is flat as a pancake. She suffers from Noassatall.
Prince William angefaa apate demu kama vile wakina Amber Rose naona bibi angemtoa ndukiiShe is flat as a pancake. She suffers from Noassatall.
Ni bank holiday uk. Yeah Kate sio mzuriii kihivyo?Hivi UK leo ni siku ya mapumziko au?
Ila sijaiona tu ASTON MARTIN.
Labda Mchungaji Masa ambaye yupo hapo Mjengoni kuwakilisha kanisa lake atatueleza kwanini AM halipo kwenye list ya magari yaliyopo hapo kwenye harusi. Watakuwa na bahati mbaya sana kama ma PM Tony Blair na Gordon Brown.....
ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! kampiga bonge l a denda mbele ya watu tena
Hivi hilo lilikuwa denda?