The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

Union Jack imetawala lakini pia nimeona Stars and Stripes, ya Brasil, Spain, na zinginezo....
 
jamani wana jf kwa yeyote aliye karibu na tv basi a tune chanel 10 ajionee vimbwanga ya hii harusi ya kifalme. Ijumaa njema wapendwa!!!!

...eeehhh.... Naomba safari weita
 
Hahaha! apo ungekuwa ww au Michelle najua kudadadeki UK waTZ wote tungekuwa tunatinga bila VISA wala 'is was' sentence zetu zisingekuwa kigezo cha kutunyima kuingia London...si twaend a kwa shemeji bana?.

Lete alone Man Utd na Arsenal bongo ingekuwa kama uwanja wa nyumban, kila pre season wanakuja kucheza na simba na yanga...lmao!

Mlizubaaje na nyie?

Acha tu kamanda, kuna watu wanaishi ulimwenguni na wengine kusindika tu duniani kwenye haya maisha!!..huyu royal ningemwonea wapi wakati ukoo wangu hata siyo wa kichifu🙂)
Ila ulivyosema nimetafakari, mbona ingekuwa rahaaa..in our dreams of course!!!
Mi na Michelle tutabaki kushabikia timu zao, huwezi jua Walcott anaweza nasa🙂
 
You never know you could be the next Camilla!!!!

He he..that will be a life bonus🙂

Hivi unafikiri kama ninavyofikiria kuhusu hawa maharusi leo? mmh, I think kazi kubwa wanayo baadae wakiwa wawili!!he he
 
Acha tu kamanda, kuna watu wanaishi ulimwenguni na wengine kusindika tu duniani kwenye haya maisha!!..huyu royal ningemwonea wapi wakati ukoo wangu hata siyo wa kichifu🙂)
Ila ulivyosema nimetafakari, mbona ingekuwa rahaaa..in our dreams of course!!!
Mi na Michelle tutabaki kushabikia timu zao, huwezi jua Walcott anaweza nasa:-)
Haya bana BJ lol
 
Ajabu Kate hajamvesha pete William tofauti na ndoa za kibongo.
 
Damn Tanesco yaani wamenikosesha ka histori ya kua miongoni mwa watu billion mbili watching live.
 
Nimeisubiri kwa hamu kubwa sana hii harusi kutokana na mizengwe na maneno kibao ya walipa kodi kule kwa Malikia..Prince William na Catherine Middleton good and beautiful wedding
Will and Catie, I wish u long life and full of joy .
Care and love for each other always
Kate%27s-wedding-look.html

300Katedress.jpg

Kate%27s-wedding-look.html

The-royal-wedding-party.html

The-royal-wedding-party.html

r2741361182.jpg

r2771246045.jpg



capt.8822dcb95d7443b9bf247294a1aebf32-8822dcb95d7443b9bf247294a1aebf32-0.jpg


capt.2327f0ba980d438db4c41f966db457cc-2327f0ba980d438db4c41f966db457cc-0.jpg


r619779046.jpg


r3834038249.jpg


capt.933d45966dab4d149608239de23971f2-933d45966dab4d149608239de23971f2-0.jpg

Netherlands' Crown Prince Willem-Alexander and Princess Maxima arrive at Westminster Abbey
capt.93c26e9ea56c4dae971f6fb5439c1c63-93c26e9ea56c4dae971f6fb5439c1c63-0.jpg

English soccer player David Beckham arrives with his wife Victoria Beckham for the wedding
 
Hahah naona commentator wa ITV (UK) amepiga dongo hapa anasema William and Kate wako well behaved maana huwasikii wakigongana club na kina Paris Hilton.

Naona amemsahau kichaa Harry... nimesoma pahala yeye ndiye anaye organise stag party... humo lazima misumari iwe smuggled ndani, watu wakapulize kidogo... lol
 
Hamna urithi wa ufalme tena, ndio bibi yao mwisho, watu wanataka republican sasa
 
He he..that will be a life bonus🙂

Hivi unafikiri kama ninavyofikiria kuhusu hawa maharusi leo? mmh, I think kazi kubwa wanayo baadae wakiwa wawili!!he he

...Naam. Kama Arch. Rowan William aliposema "...Transform, Not Reform!"
 
FL1 najua umevutiwa zaidi na gauni la Kate kwa kuwa unamapenzi mno na ubunifu wa mavazi.
 
Back
Top Bottom